Good Job Watanzania, wow wow wow.
Hongereni Watanzania maana zamani hata kuwazomea hivi CCM tulikuwa tunaogopa ila sasa hivi hatuwaogopi tena hawa wauwaji na machawa wao.
Watanzania, video kama hizi zinatutia moyo wanaharakati wenu tuendelee kupambana kwa niaba yenu. Yani mimi personally nimeangalia video hii nikajiambia, it’s worth it kupigania nchi yangu, Acha ma cartel waje kuniua ila napigania watu ambao wako tayari kujipigania…..,
Mmejua kunipa raha mchana huu.
@tedcruz@SenatorShaheen@Europarl_EN This is the reality in Tanzania: the people have rejected Samia Suluhu and her regime. The moment her government was mentioned, the crowd erupted in boos. The minister wasn’t even given the chance to finish his sentence.
The only reason CCM remains in power is through killings, fear and force. Tanzanians are being held hostage at gunpoint, not governed with the consent of the people.
Kubaaaaabake. Masela wamekataa porojo. Zimeletwa stori za awamu ya sita, watu wamezomeaa balaa. Watu wapo kwenye burudani unawaletea habari za awamu ya sita. Tunajenga arenaaa. Tunajenga arenaaaa. Tuna, tuna, tuna miaka nenda rudi. Masela wamekataa porojo. 😁
‼️🚨THE END OF A REGIME IS NIGH‼️
Deputy Minister Hamis Mwinjuma whose stage name is Mwana FA took to the stage today to celebrate 30 years of Tanzanian hip hop known as Bongo Fleva
The minute he mentioned “the government” the Gen Z crowd booed him mercilessly until he had to leave the stage!
Samia Suluhu and her illegitimate govt are deeply unpopular but that is now the news! What is astoundingly clear is that the crowd that gathered for a rare entertainment moment turned collectively and openly so hostile at the mention of the government! The rejection is not only bar conversations or social media posts but now expressed fearlessly in public
When I say #SamiaMustGo it is not only my opinion but an urgent and necessary step to resolve this crisis in #Tanzania
Ninarudia mwisho wenu umefika Samia Suluhu na CCM - lini mmewahi kuona serikali ikikataliwa kwa kiwango hiki bila woga! Mnatutukana na kututisha ila tunazidi kutambua nguvu yetu kama umma na mkikaza fuvu kuna siku mtapopolewa mawe au makopo na kufukuzwa kwa aibu!
Nchi siyo kiosk yenu Kizimkazi
Hakuna amani hadi kimama kiondoke na tupate serikali ya mpito na hatua ya kwanza ni #FreeTunduLissu 🔥
Nasema #TutaelewanaTu
Amri ya Patrobas Katambi kuzuia mikutano na shughuli za kisiasa ni batili na haitekelezeki. Amri hiyo inapaswa kupuuzwa na kutendewa kama tamko la mtu mwendawazimu. Taifa letu siyo ghetto la mbogamboga, kwamba wataamua haki zipi tufurahie na zipi ziwe hisani. Aluta continua!
Things are getting worse in Tanzania.
@Europarl_EN@SenTedCruz@SenatorShaheen@SenateForeign@SecRubio
The government has now banned political rallies after the main opposition party drew massive crowds across the country.
When a government responds to overwhelming public support for the opposition by banning political rallies instead of respecting the democratic process, it should alarm everyone.
Alafu wanawanyooshea vidole wananchi kuwa wanataka kuharibu amani na wao watalinda amani…..
Waharibifu wa amani wanadai wao ndio wanalinda amani…..
Hapa ni MPANDA KATAVI.
Mkoa ambao miaka miwili nyuma WALINIOKOA na kutoka kwenye Mbuga yenye wanyama wakali (MBUGA YA KATAVI).
Walinilinda siku zote 2 nilizokuwa nimelazwa kwenye hospitali yao (WanaCHADEMA).
Leo wamepokea Makamu mwenyekiti HECHE ambae amebeba injiri ya kuhubiri HAKI za ndugu zetu wanaotekwa na waliouliwa kikatili MO29.
CHADEMA ndio chama pekee nchini kinacholia na watanzania wanaolia, KATAVI mpanda ni watu ambao wameumizwa sana na hawa wakoloni weusi-leo ilikuwa zamu yao kupokea IBADA YA HAKI.
Hii nyomi inaongea namna ambavyo watanzania wamechoka na wanataka MABADILIKO.
Hongera mpanda kwa IBADA NJEMA YA HAKI LEO.
REPOST 200
#FreeTunduLissu
#katibaMpyaFreeTunduLissu
Hang in there, my brother Tundu Lissu! Leo watesi wetu wamejitia tena kidole. Wamezuia mikutano kwa kukuhofia. Naomba Mungu akulinde na akutunze. Utatoka na utakuwa Rais wa Tanzania. Taifa letu litakuwa la kupigiwa mfano. Stay stronger, Idolo! Mungu ni mwema. Free Tundu Lissu!
Baada ya Mwenezi wao Ganja Mbichi na Wassira kushindwa kujibu hoja MAJUKWAANI… Yameona yarudi kwenye MABAVU ya kutumia polisi! PATHETIC!
#FREELISSU#KatibaMpyaNiSasa
Maandamano ya 7/7 yalioandaliwa na GEN Z binafsi nayaunga mkono asilimia mia mbili.
Kiuhalisia naona 7/7 yenyewe inachelewa kufika. Watu hawajazika wapendwa wao mpaka leo ni miezi 7 wanaomboleza hakuna MAJIBU KUTOKA Kwa wakoloni weusi.
Watanzania bado wanaendelea KUTEKWA NA KUPOTEZWA kila siku—wengine wakiwapata wapendwa zao wanawakuta hawana VICHWA wanazika kiwiliwili na hakuna majibu kutoka kwa WAKOLONI WEUSI.
TUNDU LISSU bado yupo jela na hakuna KESI dhidi yake zaidi ya siku 400 sasa, na wakoloni weusi wapo KIMYA tuu ni kama wanaona wanatumudu.
Haya maumivu tunayopitia watanzania lazima wajue tunaumia na sauti yetu lazima waisikie.
KICHWA CHA MWENDA WAZIMU HAKIOTI NYWELE.
Mwambieni Ndugu Paul Makonda kwamba Tulikuwa na watu kama Mzee Jella Mtagwa au Mzee Peter Agustino ( Peter Tino) Ngulungu au Hata Sunday Manara aliyefungua mlango wa TZ kucheza ulaya na kwa kizazi kipya akina Mbwana Sammata nk ndani ya Taifa hili .
Tunge kuwa na utashi wa kweli tunge wa enzi hawa kwa mchango wao katika Taifa hili kulipeleka Afcom kwa mara ya kwanza tuna Wallace Karia ambaye ametufanya tuzoee sasa kushiriki Fainali za AFCON na akina Mohamed Dewji kwa kuondoa vilabu vya Tanzania katika Unyonge kiasi kwamba kila klabu ikipangwa na Yanga au Simba inapata hofu.
Lakini kwasababu sisi nikichwa cha Mwenda wazimu usishangae kuona akina Didier Drogba au David Beckam wakienziawa. Ndiyo ukichwa cha mwenda wazimu wenyewe.
ANY WAY CHA MUHIMU TUJUE WALIOTEKWA WAKO WAPI,OKTOBA 29 NANI ALIHUSIKA NA ALIHUSIKA VIPI KABLA,WAKATI NA BAADA.
UKWELI,HAKI NA UWAJIBIKAJI VITALIPONYA TAIFA.
BAK Mwabukusi.
….. Jana nilibahatika kuonana na Mh. Lissu Gerezani Ukonga. Nilimuomba ujumbe kwa Vijana, akasema
“Keep fighting harder, but smarter. There is nothing worse than what we have already gone through that can happen to us.”
Akaongeza kuwa mbegu imekwisha kupandwa, Tusirudi Nyuma.
Hawa wapumbavu watatumaliza kwa UTEKAJI.
Yani gari ina plate number ya BODABODA “MC” na inatamba tuu mjini.
Humo ukifungua huko nyuma kuna NDOO ZIMEJAA RISASI NA BUNDUKI na wanatamba tuu mjini tutawafanya nini sisi wajukuu wa NYERERE.