@SAADA70589265 @SuluhuSamia Eti wanaleta mambo ya Bibi Titi 😒 mara sijui wanawake tuinuane - hebu aanze na kutenda haki kwa WOTE alafu tutaenda huko kwa jinsia
haki za kibinadamu. Maelfu ya vijana ambao walikuwa wanakufa huko vitani Tigray walikuwa wanazikwa kwa siri kama mizoga huko huko Ethiopia na kisha taarifa zao zote jeshini zinapotezwa ili kuficha ushahidi
Somalia yote ilizizima kwa mshituko baada ya Sanbalolshe kumwaga siri hii
↗️ HISTORIA YAKE.!!↖️
(Kabla hatujaendelea)
🔲Alizaliwa mnamo Agosti 01, 1938, huko Kilasho kijiji cha Emairete wilayani Monduli (Arusha). Wazazi wake ni SOKOINE OLE SEVERE (Baba) na NAPELEL SINYATI NOOMAYAKI (mama)
💨Mnaotokea Monduli Juu mnaweza kuwa mnaifahamu familia hiyo.
🔲Alianza Shule ya Msingi Monduli (1949-1953) na kisha akajiunga na Monduli Middle School (1953-1956). Baada ya kufaulu alichaguliwa Umbwe sekondari, ambapo alipata elimu ya upili na mnamo Januari 01,1961 alijiunga na TANU na ni miongoni mwa vijana waliopigania Uhuru wa nchi hii.
🔲Mnamo 1962, SOKOINE alienda nchini Ujerumani Magharibi kusomea mambo ya utawala na kurejea mwaka 1963. Baada ya kurejea alipangiwa kazi kama District Executive Officer (DEO) wilaya ya Maasai. Aliendelea kufanya kazi kwa weledi mkubwa na utendaji wake ulisifika sana.
🔲Mnamo Septemba 30, 1965 akiwa kijana mdogo miaka 27 na smart, aliamua kugombea ubunge jimbo la Maasai, mpinzani wake akiwa EDWARD CARLO BONIFACE OLE MBARNOTE aliyekuwa Chifu wa kabila la Wamasai. SOKOINE aliibuka mshindi kwa kura 6,977 dhidi ya kura 871 alizopata Chifu MBARNOTE
🔲Mnamo 1967, SOKOINE aliteuliwa na Mwl Nyerere, kuwa Naibu Waziri wa Mawasiliano, Usafirishaji na Kazi na ilipofika 1970 alipandishwa hadhi akateuliwa kuwa Waziri wa Nchi. Alijulikana sana kutokana na uchapakazi wake tangu akiwa Naibu Waziri kila kona ya nchi sifa zake zilipenya
🔲Mnamo 1971, ktk kikao cha NEC ya TANU EDWARD SOKOINE alizikonga nyoyo za wajumbe kwa hotuba nzito aliyotoa kuhusu nchi kujilinda. Baada ya hotuba hiyo Mwl. NYERERE alimuita chemba KINGUNGE NGOMBARE MWIRU na kumtaka maoni yake kuhusiana anavyomuona kijana huyu
🔲Kufuatia hotuba hiyo mnamo 1972, Mwl. Nyerere alimteua kuwa W/Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa.
🔲Chama cha Mapinduzi (CCM) kimezaliwa kutoka TANU na ASP, trh 05-02-1977, akawa mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na siku chache baadae Feb 13 mwaka huo huo akateuliwa kuwa Waziri Mkuu.
🔲SOKOINE alikuwa kiungo muhimu kwenye Vita Ya Kagera 1979.
🔲Kabla ya vita kuanza, aliwaagiza maRC's wote wakusanye nyenzo zote ili kumtandika Nduli IDDI AMIN DADA. Mnamo Januari 23, 1979, aliingia mwenyewe huko kambi ya Mutukura lilipokuwa jeshi ambapo baadae tulishinda vita.