#MemeCoinSeason cannot exist without $FLOKI!
@RealFlokiInu is not a simple #memecoin but a well-known #crypto projects with wide ecosystem ๐คฉ
Get $FLOKI right now on StealthEX!
๐ https://t.co/dfqdOKZQW1 ๐
No registration & limits for cross-chain swap of 1000+ assets ๐ฅ
Join us on Twitch for #Floki's Marbles event!
๐ May 14th
โฐ๏ธ 2pm UTC
Follow and watch for a chance to win a share of the $2,000 prize pool! ๐
https://t.co/kx08pmpz1R
Time to smash that subscribe button because #Floki is taking over YouTube!
The worldโs second-most visited site, YouTube, has 1.7 BILLION unique visits per month.
Come help us grow our Official YouTube Channel here:
https://t.co/z5Iows3n1r
Like/Comment and Subscribe!
Leo Juni 16 Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu mmiliki wa Kampuni ya kufua umeme ya IPTL, Harbinder Seth, kulipa fidia ya shilingi bilioni 26 baada ya kupatikana na hatia ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu.
Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), Sylvester Mwakitalu amesema kuwa amewafutia mashitaka masheikh wote 36 wa Uamsho na kwamba kilichobaki sasa ni taratibu za kutoka gerezani.
Masheikh wawili kati ya hao tayari wamerejea nyumbani na kujiunga na familia zao.https://t.co/QT4rLdle7x
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge amefanya ziara ya pili ya kukagua maeneo ya mipakani kwa kutembelea mpaka wa Chiwindi mwambao mwa ziwa Nyasa unaogawa Tanzania na nchi ya Msumbiji.