@Vxebo_ The problem is povert that has covered almost all of Africa, they end up betting for a living, what do you expect who they are going to support? The one who has higher ℅age to win
The power of social media. This single post got the seller to take back the fake bag they sold me, issue a refund, an apology and $2,000 in settlement. They made me sign a bunch of NDA papers though.
Chezea mpare, haki nilikuwa naweweseka, natapeliwaje kifala vile…..
Kwenye hii $2,000 niliyolipwa $1,000 nawatumia Chadema. $1,000 natuma back to Tz kwa ajili ya school fees za watoto wa ndugu….
Watanzania, kuna takataka inatembea juu ya Mswaada wa kumshughurikia samia suluhu hassan na genge lake. Takataka hiyo inasema kuna vipengele vimeondolewa. Puuzeni. Mswaada unaanza kupigiwa kura wiki ijayo.
Nimesikia Kombo na Yuda wanakuja DC, watatukuta rada.
#SamiaMustGo #TanzaniaMassacre #FreeTunduLissu
‼️TETESI‼️: Hii ya kesi ya Lissu kusogezwa inaweza kuwa kutupoteza ila inawezekana akaletwa mahakamani leo na kuachiwa kwa kufutiwa kesi au njia nyingine! Au akaachiwa na kupelekwa nyumbani! Tukae standby maeneo hayo!
Hawa watawala eti hawataki Lissu aonekane ameshinda na sisi wananchi kufurahi!
Muda wote tuwe macho kuanzia hapo Ukonga hadi mahakamani na nyumbani kwake! Tukae standby kumpokea shujaa wetu maana kumwachia LAZIMA!
#FreeTunduLissu
‼️🚨HUYU NDO AWADHI JUMA HAJI AMBAE ALITOA ORDER YA ‘SHOOT TO KILL’ OKTOBA 29.‼️
Kwa msiomfahamu Awadhi Juma Haji yeye ni Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi Tanzania, yani Operesheni zote ambazo zinafanywa na Jeshi ya Polisi huyu ndo incharge Mkuu bila yeye kuidhinisha hakuna Operation inafanyika, huyu ndo Idd Amin Mama anamuandaa kuwa IGP baada ya Wambura.
Kama mtakumbuka kabla ya Oktoba 29, niliwahi kupost kuhusu uwepo wa Wanajeshi 500 wa Uganda ambao Idd Amin Mama aliwakodi kwa Mseven ili waje kutuuwa Oktoba 29, nikaweka na list ya majina feki ambayo walipewa, vyeo feki pamoja na Mikoa/Miji ambayo walipangiwa kwenda kuuwa Watanganyika siku ya Oktoba 29, 2025.
Sasa huyu Awadhi ndo ambae alikuwa anaratibu safari ya hao Wanajeshi wa Uganda tangu Wanatoka Uganda, wanapita border ya Mutukula huko Kagera mpaka wanafika Dar es salaam, yeye ndo aliwapangia hao Wanajeshi wa Uganda maeneo ya kwenda na walienda huko kabla ya Oktoba 29 so Watanganyika ambao mlikutana na Wauaji ambao walikuwa hawajui kiswahili ndo hao Waganda na aliyewapangia waje huko kwenu ni huyu Awadhi Juma.
Sasa turudi kwenye hoja ya msingi Oktoba 29, baada ya Maandamano kushika kasi kila kona ya Nchi, Serikali haram ya Nduli Idd Amin Mama ilizima mtandao, ikakata umeme sehemu kubwa ya Tanzania then IGP Wambura akatangaza hali ya hatari na kusema kwamba kufikia saa 12 jioni watu wote wawe majumbani kwao kwasababu kuanzia muda huo Jeshi la Polisi na Vyombo vya Ulinzi na Usalama watakuwa barabarani kwa ‘KAZI MAALUM’
Kabla IGP Wambura hajatoa Tangazo lake tayari yeye na Awadhi Juma, Idd Amin Mama alikuwa keshawapa maelekezo ya kuuwa watu na Awadhi alikuwa ameshaweka standby vikosi vyote ambavyo walikuwa wameviandaa kwa ajili ya kuuwa Watu Oktoba 29.
Baada ya IGP Wambura kutoa hilo Tangazo lake haram, Awadhi Juma ndo akatoa order ya SHOOT TO KILL ambapo aliambia vikosi vyao vyote kwamba, kuanzia saa 12 jioni mtu yeyote ambae watamkuta barabani wapigeni risasi, ndipo vikosi vyao viliingia barabarani na kuanza kuuwa kwa risasi kila mtu ambae walimkuta barabarani bila kujali ni nan au anafanya nini, walipomaliza kuuwa watu barabarani wakaingia mpaka kwenye majumba ya watu na kuanza kuwafyatulia risasi.
Kuna Askari wanasema kwamba siku ya Oktoba 29, baada ya kufanya Operation ya kuuwa Watanganyika wenzetu, kuna baadhi ya Polisi waliogopa kuuwa so muda ulivofika wakurudi kwenye “MAKUTANO YAO” kwa ajili ya kujipanga na mashambulizi ya siku ya pili yani Oktoba 30, Awadhi na wasaidizi wake walikuwa wanakagua silaha, Askari ambao ilionekana wametumia risasi chache walipewa adhabu na ambao hawakutumia risasi hata moja wao waliwekwa lockup, walikuja kuachiwa baada ya Nduli Idd Amin Mama kujiapisha
Awadhi na vikosi alivokuwa anaviongoza, walifanya operation ya kuuwa Watanganyika kwa siku tano mfululizo, waliuwa Watanganyika zaidi ya elfu kumi, waliuwa asubuhi, waliuwa mchana, waliuwa usiku bila huruma, walifanya yote hayo kumlinda Nduli Idd Amin Mama ili aendelee kubaki madarakan bila kupigiwa kura na Wananchi.
Ile siku ya Oktoba 29, baada ya vikosi vyao kuuwa Watanganyika wenzetu, walipoona miili ya ndugu zetu imefurika kwenye Hospital zote, waliagiza wahudumu wa afya waliokuwepo zamu siku hiyo wasitoke kazini mpaka siku watakapomaliza operesheni yao na baada ya tangazo hilo kuna wahudumu wa afya walipokonywa simu zao lengo lilikuwa ni kudhibiti taarifa kuhusu majeruhi na idadi ya waliouwawa.
Baada ya miili kufurika kwenye Hospitals mpaka mingine wakakosa pakuiweka, usiku magari ya JWTZ yalikuwa yanapita kwenye Hospital za Serikali na kusomba miili ya ndugu zetu, waliiba maelfu ya miili ya Watanganyika na miili mingi ambayo walikuwa wanaiiba ni ile ambayo waliipiga risasi kichwani na tumboni kisha wakaenda kuizika kwenye Makaburi ya Halaiki kama mizoga.
Machi 2026, Awadhi Juma alifanya ziara ya kutembelea Mikoa yote ya Tanganyika na kuwapongeza maRPC kwa kazi waliyofanya Oktoba 29, yani aliwapongeza kwa kuuwa kwa risasi Watanganyika zaid ya elfu 10.