Watu wa humu tunachagua sana watu sijui ni ujinga au ni upumbavu.
Nakumbuka kipindi Niffer na Mika chavala wamefugwa gerezani watu walikua wakijipendekeza kusukuma reli za kuwatoa Gerezani, lakini mwanetu sir jeff kila mtu yupo kimya huu ni ubaguzi,
Twendeni hata tukamuone tu
Mnakumbuka mnavyo tutesa, ndivyo mtakavyo teseka, mnaona mlivyo tudharau , ndivyo mtakavyo dharauliana, mnakumbuka mnavyo tuweka jela kwa ushahidi na kesi za uongo , ndivyo mtakavyo pelekana magereza, mnajua tunavyoishi kwa hofu ? sasa ni zamu yenu.
Mnakumbuka mlivyoteka na kuua watu , sasa ile mbegu imeota kwenu. Hali yenu itakuwa mbaya sana, kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti. Bahati mbaya Nchi pia inaharibika.
Mnakumbuka mnavyo tutesa, ndivyo mtakavyo teseka, mnaona mlivyo tudharau , ndivyo mtakavyo dharauliana, mnakumbuka mnavyo tuweka jela kwa ushahidi na kesi za uongo , ndivyo mtakavyo pelekana magereza, mnajua tunavyoishi kwa hofu ? sasa ni zamu yenu.
Mnakumbuka mlivyoteka na kuua watu , sasa ile mbegu imeota kwenu. Hali yenu itakuwa mbaya sana, kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti. Bahati mbaya Nchi pia inaharibika.
1/2
Habari Familia, Mungu ni Mwema baada ya Kuchukuliwa na watu nisiowafahamu Jmosi Asubuhi, niliachiwa kwa dhamana juzi jioni. Shukrani sana kwenu kwa kupiga kelele, kuniombea hata na kupambania kwa kila namna. Hata wale tuliotofautiana kwenye football, Music na itikeli zingine.
Kwa nini tusiache hashtag ya #FreeNinja?
1.Inalinda usalama wa mhanga kwa kuweka macho ya dunia kwake.
2.Inazuia tukio kusahaulika au kuzimwa.
3.Inatuma ujumbe kuwa umma unajua na unafuatilia. Paza sauti, usinyamaze
#FREENINJA
Kitendo cha Magereza na Mahakama kumpeleka Mwenyekiti wetu mahakamani bila taarifa ya mawakili wa chama na chama ni aibu na kutia mashaka sana .
Tumezuiliwa kumuona kiongozi wetu kwa miezi Karibia sita kinyume cha sheria..
Sasa anapelekwa mahakamani kwa siri na kificho nia yenu ni ipi?
Lissu ni kiongozi wa umma haiwezekani kumfanyia mambo ya ajabu kama haya.
EXCLUSIVE: Our CNN investigation found that Tanzanian police killed protesters, and signs of mass graves used to hide their brutality.
We spoke to more than 100 people, used forensic analysis of videos, and satellite imagery. The govt didn't respond to our detailed questions