Working in education showed me 1st hand kids desire & flourish under structure once they become used to it. They don't like chaos, they like routines they can trust. That's safety to them.
I'm at a point in my life where I pray to keep meeting the right people. People who genuinely want the best for me, hold me in high regard, and add peace to my life.
Ukifanikiwa kupata saa 5 tu kwa wiki (sawa na wastani wa dakika 43 kwa siku) utulie na mwanao, usikilize story zake, ucheze michezo yake, ujibu maswali yake, umpongeze kwa aliyoyafanya, umrekebishe alikokosea, useme jambo atakalolikumbuka, hizo ni takribani siku 10 za mawasiliano ya mzazi na mwanae kwa mwaka. Siku 10 za ‘quality time’ na mtoto kwa mwaka.
Sasa fikiria wastani wa umri wa mtoto kwenda kidato cha kwanza, aghalabu shule ya bweni kwa wengi wetu, ni miaka 12. Huo ndio umri anakutana na watoto wa familia nyingine, walimu wanaowaza mitihani na ufaulu na watu wazima wengine ambao wakati mwingine hatuna hakika wanapanda nini kwa watoto, na wewe mzazi wake kipindi hicho utakuwa umewekeza miezi minne (au pungufu) ya kumjengea sauti atakayoisikia anapofanya maamuzi huko aliko.
Kwa umri wake huo wa miaka 12, ukiondoa takribani miaka 5 ya kulala, wataalamu wanasema kinachochukua muda wake mwingi ndicho kinachoamua anachokiamini, anachokifikiri, anachokiamua na kubeba utambulisho wake. Je, nani huyo ametumia muda mwingi na mtoto kumfundisha, kumtazamisha, kuwekeza kwenye ufahamu wake? Unadhani ni kwa kiasi gani mzazi utakuwa na ushawishi kwa mtoto huyu uliyewekeza miezi minne kwa miaka 12—tena pengine ukiadhibu zaidi na kuonya kuliko kuhusiana? Tafakari hili kabla hujasema, ‘watoto wa siku hizi hawasikii.’ Silengi kukufanya ujisikie hatia. Nakukumbusha Juni hii hapa na watoto wanarudi nyumbani.
Kijana unaenda kwenye madarasa ya uwekezaji katika HISA kwa ajili ya nini, ili iweje na kwa faida ya nani.
Ilihali mfukoni una 500,000 na stress za bills kama zote.
Huna biashara, huna kazi inayokulipa vizuri, huna kibarua kinachokupa posho ya kueleweka.
Huna backup ya background uliyotoka, kuanzia babu mpaka mjukuu macho kwako.
Bro/sis hauitaji madarasa ya uwekezaji kwenye hisa zilizoshikiliwa na vigogo ambao kesho wakiamua kutoa nusu ya mizigo yao unarudi kwenye umasikini.
Unahitaji madarasa ya ku shape mindset set yako, kushape skills zako, kushape career yako, kujua how the system works na namna ya kulandana mfumo.
Wachana na hizi illusion na matrix za kununua HISA - JIJENGE huna hadhi ya kununua hisa kwa sasa.
Ulihali
Yes and every citizen gets housing, health care, food and education. Whether youre a child, with disability, a senior, marginalized- your society has come together to ensure everyone is taken car of, this is a functional society.
Mutable Signs
Gemini , Pisces , Sagittarius , Virgo
Job opportunities coming in / getting a financial increase
Someone else is in the picture / Cheater
Moving onto bigger and better things
Whatever situation you created, you can change as well
Do the work it’s necessary
Meeting your soulmate
Your spirit guides are guiding you
Yaz , Joe , David , Zayden , Bobby , Chris, Sullivan , Dom, Stevie , Lena , Robert
Trust your intuition
You’re beating those allegations / Fake news
You’ll be relocating soon
Meeting a celebrity
Y’all won’t be together
Finding a new purpose in life
Unexpected changes happening
Write down those business ideas
Aise modern parents kuwalisha madogo misosi mingi hadi wanakuwa vibonge sio sifa. Obesity ni hatari sana hasa kwa hii lifestyle ambayo wakitoka shule hawaendi kucheza nje.
Living alone is such a beautiful experience I hope most people get to experience especially in their 20s. The beauty of not having to negotiate your space with anyone else, finding stuff exactly how you left them, discovering your style, girl dinner etc. Absolutely peak 🤌🏼
SOLO TRAVEL TIP NOBODY TELLS YOU: the airport is part of the trip. don't rush through it. get the overpriced coffee. read at the gate. watch the planes. the magic doesn't start when you land, it starts the moment you're alone with your suitcase🤎