@EsirEid NISAIDIENI KAZI WAKUU
Nina experience ya kazi za microfinance(mikopo) miaka 4 mpk level ya branch manager, elimu ni degrii ya Hisabati na Takwimu, ni dereva pia nina leseni hai, hata kibarua cha 10k kwa siku sawa, mambo ni mbaya,niko Kahama town 0619923421 RETWEET IFIKE MBALI ๐
@Adventure_36 Hapo mchawi Kama daladala Haina bima, Kama Ina bima bima ndio inalipa fidia kwenye huo uharibifu na Kuna kampuni zinalipa mpaka M50 kwenye uhalibifu Kama huo