Kama ulikua unatafuta namba ya USA ya kutumia kwenye kufungua paypal ,inbox dollars na platform nyingine unaweza kupata hapa π
https://t.co/8Og61zaAgP
Mnaweza kutumia pia kufungua youtube channel na tiktok shop hata kama haupo Marekani
HIZI NDIZO BIASHARA UNAZOWEZA KUFANYA KWENYE MIKOA 26 YA TANZANIA.
Pia nimeunganisha na mawazo 190 ya biashara
Kupata hii PDF yenye Pages 10.
commment "nahitaji"
"Repost" hii post
Na, hakikisha umenifollow ili niweze kuingia kwenye inbox kukutumia.
π
Katika hili kundi la abiria:-
1. Kuna askari watakaolinda masanduku ya kura na hata kuruhusu kura feki ziingiie kwenye kituo vya uchaguzi.
2. Askari hao watakakikisha wanawatawanya wafuasi wa upinzani kwa mabomu ya machozi wakiandamana kudai maisha bora.
Kwenye hili kundi la abiria:-
3. Kuna watendaji wa mitaa ambao watamuwakilisha mkurugenzi kusimamia uchaguzi majimboni. Hawa nao watashiriki wizi wa kura.
4. Kuna walimu watakaosimamia pia uchaguzi.
Kwenye hili kundi lazima kuna makundi mengine yoyote ambayo kwa namna moja au nyingine yatashiriki kwa hila kutupatia viongozi tulionao sasa.
Lakini..
Baada ya uchaguzi
1. Yatanunuliwa magari ya gharama kwa kodi za abiria hawa ili kuwapatia wateule. Yale ya zamani watajiuzia yakiwa mapya kwa kigezo ni chakavu (Magari yatatelekezwa Kariakoo Gerezani kwa muda, yakiwa yameng'olewa namba za serikali kabla ya kuuzwa kwa bei ya kutupa kwa viongozi)
2. Mafuta ya petrol yatafika nchini kwa bei ya Tshs 1,120/= kwa lita lakini wateule watayawekea mlolongo wa kodi zaidi ya asilimia 100 hadi mafuta kufikia bei ya Tshs 2,400/= kwa lita.
Kodi hizi atakuja kuzilipa abilia yeyote aliyepo kwenye huu mjumuiko kwa kupandishiwa nauli na kuongezeka kwa bei ya bidhaa.
3. Kama abiria hawa wakipata janga la mafuriko au kuharibika kwa barabara, mteule atatumia helicopter kutemmbelea eneo lililoathirika (Hataki kukutana na abiria ana kwa ana)
4. Abiria huyu akianza kulalamikia hali mbaya ya maisha, ataambiwa ahamie Burundi na waziri wake wa fedha.
Lakini,
Haitachukua muda mrefu, muda wa uchaguzi utawadia tena.
Abiria huyu ataacha ubongo wake nyumbani siku ya uchaguzi, ili akamchague tena mteule huyuhuyu kwa hila.
Akirudi nyumbani ndio akili zinamrudia.
Anajikuta ana kanga mkononi,
While mteule akiwa tayari naked and erect ready for him.
Nafikiri mimi ni mtu mwenye bahati sana Duniani..!
Kila inapofika siku ya tarehe 12 May Dunia huadhimisha siku maalum ya "MAMA"
Nafikiri Duniani mimi ndiye mtu pekee mwenye mama wawili (Two mothers).
Nilipataje mama wawili? Ni hadithi ya mapenzi ya kusisimua.
Mtu na mdogo wake walionyeshana upendo wa ajabu (upendo wa agape)
Mama aliyenizaa (biological mother) aliguswa na upweke pamoja na huzuni ya mdogo wake baada ya kupata ujauzito na kuharibika kisha madaktari kumwambia hatoweza kupata tena mtoto.
Mama alikuwa mwenye huzuni na kukata tamaa ya kuishi, ndipo Dada yake akamuhaidi kutafuta mtoto na kumpatia moja kwa moja kama faraja kwake.
Mama alitimiza ahadi yake, alipojifungua aliishi na mimi siku 40, kisha akanigawa kwa mdogo wake wa tumbo moja ambaye hakuwahi kubahatika kuwa na mtoto maishani mwake.
Kwa hiyo sikuwahi kuishi naye zaidi ya siku 40, baada ya kunizaa Kisha kunikabidhi kwa mdogo wake kwa bahati nzuri kwake alikuwa tayari ana watoto watano tayari (tajiri wa watoto)
Alikuja Dar es saalam kwa mdogo wake na ujauzito, baada ya kujifungua akanikabidhi kwa mdogo wake akaondoka bila mtoto.
Hakuwahi kugeuka nyuma kurudi kudai mtoto au kuja kumuona mpaka anafariki Dunia 1997, hata aliponiona aliniona kama mtu mgeni kwake (stranger) na siyo mtoto wake.
Na mimi mara zote nilipomuona nilikimbia kwa Mama (mdogo wake) kumwambia Mama kuna mgeni kaja.
Maisha haya yaliwekezana kirahisi kwa sababu sikuwahi kulelewa na Baba na nimemuona mara 2 tu maishani mwangu kabla hajafariki
Maisha yetu sisi wawili siku zote yalikuwa yenye furaha hayakupungukiwa na kitu, sikuwahi kuhisi kukosa upendo wa mama hata kujua hadithi hii nimekuja kuijua baada ya kuadithiwa na mama mwenyewe baada ya mimi kumaliza elimu ya chuo kikuu.
Mama akanilea, akanikuza, akanisomesha na sasa najitegemea kwa malezi yake.
Nikisema nina bahati ya kuwa na mama wawili ni sababu ya hadithi hii,imagine nilipoteza Mama na nimebakia na Mama..!
Najihisi kuwa mtu mwenye bahati Duniani, heri ya siku ya Mama Duniani.
Top 100 military movies of all time πͺ
1. Saving Private Ryan (1998)
2. Apocalypse Now (1979)
3. Full Metal Jacket (1987)
4. Platoon (1986)
5. Black Hawk Down (2001)
6. Das Boot (1981)
7. The Thin Red Line (1998)
8. Paths of Glory (1957)
9. Hacksaw Ridge (2016)
10. 1917 (2019)
11. Dunkirk (2017)
12. Patton (1970)
13. Gallipoli (1981)
14. We Were Soldiers (2002)
15. Bridge on the River Kwai (1957)
16. The Deer Hunter (1978)
17. The Hurt Locker (2008)
18. Letters from Iwo Jima (2006)
19. Zulu (1964)
20. Black Book (2006)
21. Stalingrad (1993)
22. The Battle of Algiers (1966)
23. The Longest Day (1962)
24. The Bridge at Remagen (1969)
25. Zero Dark Thirty (2012)
26. Jarhead (2005)
27. The Patriot (2000)
28. Tora! Tora! Tora! (1970)
29. Master and Commander: The Far Side of the World (2003)
30. Enemy at the Gates (2001)
31. Glory (1989)
32. The Great Escape (1963)
33. All Quiet on the Western Front (1930)
34. The Wind That Shakes the Barley (2006)
35. Lone Survivor (2013)
36. Kelly's Heroes (1970)
37. The Green Berets (1968)
38. The Alamo (1960)
39. The Messenger (2009)
40. 13 Hours: The Secret Soldiers of Benghazi (2016)
41. 12 Strong (2018)
42. The Last of the Mohicans (1992)
43. The Pianist (2002)
44. Rescue Dawn (2006)
45. The Beast of War (1988)
46. A Bridge Too Far (1977)
47. Behind Enemy Lines (2001)
48. Inglourious Basterds (2009)
49. The Boys in Company C (1978)
50. Red Tails (2012)
51. Battle for Haditha (2007)
52. Courage Under Fire (1996)
53. 5 Fingers (1952)
54. Company of Heroes (2013)
55. The Finest Hours (2016)
56. Windtalkers (2002)
57. Battle of the Bulge (1965)
58. The Nightingale (2018)
59. A Midnight Clear (1992)
60. Attack on the Iron Coast (1968)
61. Sergeant York (1941)
62. Empire of the Sun (1987)
63. The Pacific (2010) - Mini-series
64. The Desert Fox: The Story of Rommel (1951)
65. The Pacific (2010) - Mini-series
66. Enemy at the Gates (2001)
67. The Monuments Men (2014)
68. Days of Glory (2006)
69. Fires on the Plain (1959)
70. The Steel Helmet (1951)
71. Battle of the Damned (2013)
72. Memphis Belle (1990)
73. Crimson Tide (1995)
74. Attack on the Iron Coast (1968)
75. Sergeant York (1941)
76. Empire of the Sun (1987)
77. The Pacific (2010) - Mini-series
78. The Desert Fox: The Story of Rommel (1951)
79. Enemy at the Gates (2001)
80. The Monuments Men (2014)
81. Days of Glory (2006)
82. Fires on the Plain (1959)
83. The Steel Helmet (1951)
84. Battle of the Damned (2013)
85. The Longest Day (1962)
86. The Bridge at Remagen (1969)
87. M*A*S*H (1970)
88. Jarhead (2005)
89. The Patriot (2000)
90. Tora! Tora! Tora! (1970)
91. Master and Commander: The Far Side of the World (2003)
92. Glory (1989)
93. The Great Escape (1963)
94. All Quiet on the Western Front (1930)
95. Platoon (1986)
96. Come and See (1985)
97. Hamburger Hill (1987)
98. The Red Badge of Courage (1951)
99. Born on the Fourth of July (1989)
100. Fort Apache (1948)
Bila izi mbinu za kivita atutoboi,π
Uwe na laini yenye zaidi ya miezi mitatu tangu isajiliwe kwa hii mitandao apa,π
Airtel(1.2GB)
Tigo(1.5GB)
Halotel(2GB)
Kwa wale wa voda utapewa link ya VPN[500MBs] per day
Cha kufanya
πRepost
πFollow @dyabala01, cmnt ADD au Njoo DM
Kuna wakati unaweza ukawa sehemu Ina WIFI na Ungependa kudownload Movie zako Chap chap
Tumia website hizi kupata MOVIES na SERIES MPYA au za ZAMANI Bure na Bila kujisajili.
Thread π§΅
Repost π
Bookmark π
Follow @techygaspar
Shuka nayo ππΎ
Kuna siku nilikutana na Tweet moja imenyooka kwa bro @NyandaAmosi ,
Ilikuwa inatoa madini flani hivi, Kuhusu kitabu cha Expert Secrets,
Nikala nondo kadhaa, Nikanote somewhere hivi,
Ile nimetoka X tu, nakutana na text ya Mwanangu mmoja,
ππ
Leo Sikukuu ya 2 EID naendelea kutoa GB za Bure.....π―
Hakikisha Umenifollow @Alphared_66
βKisha Pitia Pale pinned post Retweet Like
Coment Done nikutumie Dm chapu
... ya Siku 21 Katika Biashara Yako baada ya Kutumia Huu unaoenda Kuuona Ndani ya Sekunde 60 zijazo...
.
...basi nenda kanishitaki Kwenye Kituo Chochote Cha Polisi kilichopo Karibu Yako
.
Na Hii Ndio Sababu:
February, 2024, 2:47am...
Nikiwa usingizini π