Who are you calling when you trying to make a hit break up song ?
1.taylor swift
2.Adele
3.Toni Braxton
4.Eamon
5.Mario (from bad boy)
6.Neyo(because of take a bow, irreplaceable)
Anaongea Mmama mwenye hekima ๐ฃ๏ธ
" Kati ya kitu kinachoumiza wanaume wengi ni mwanamke ambae sio mtiifu, wanawake wengi huhisi kufanya hivyo ni kua na msimamo ila ukifanya hivyo mwanaume anaanza kukuona kama dume mwenzake"
----------------------------
Kitu gani kingine kinakuumiza kutoka kwa mademu?