Ninaungana na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuipongeza Klabu ya Yanga kwa ushindi wa leo na kutwaa Ubingwa wa Kombe la Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa mara ya tano mfululizo. Ninawapongeza Wachezaji, Benchi la Ufundi la Klabu ya Yanga na kwa timu zote zilizoshiriki mashindano haya.
Hongera pia kwa timu za Simba SC , Azam FC na Singida BS SC zitakazoungana na Yanga SC katika kuiwakilisha nchi kimataifa msimu ujao wa mashindano.
Michezo ni furaha na amani.
*Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi*
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ibilisi alinipanda kichwani sasa mimi ningefanya nini? Afande nilegezee kamba nikupange afande.
Kuna hawa wanaumeโni kama wanatoka kwenye chuo cha "Mind Games and Emotional Disruption".
Let me explain...
Thread:๐
We have to celebrate African football โฝ๏ธ more than singing praises for European football that is already established.
This is at the Julius Nyerere Airport in Dar Es Salaam passengers and workers not glued watching EPl but their club Yanga playing against TP Mazembe in CAF Champions league.
This is good for football development dancing in Your yard before you dance abroad.
African football has so much potential
@soka25east