We are pleased to launch the Annual Call for Proposals -- 2023 for the Canada Fund for Local Initiatives (#CFLI) for Comoros, Tanzania, and Zambia #CanadaFundDSLAM
This is the hand of the man that the Democrats feel should be brought back to the United States, because he is such “a fine and innocent person.” They said he is not a member of MS-13, even though he’s got MS-13 tattooed onto his knuckles, and two Highly Respected Courts found that he was a member of MS-13, beat up his wife, etc. I was elected to take bad people out of the United States, among other things. I must be allowed to do my job. MAKE AMERICA GREAT AGAIN!
Nimesikitika kupokea taarifa ya ajali ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa katika Kata ya Kariakoo, Wilaya ya Ilala, Mkoa wa Dar es Salaam.
Nimeuagiza Uongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Jeshi la Polisi, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, na Idara ya Menejimenti ya Maafa kufanya kila linalowezekana kufanikisha zoezi la uokoaji na tiba kwa majeruhi.
Wakati hilo likiendelea na tukimuomba Mwenyezi Mungu awape pona ya haraka majeruhi, tuwaombee pia utulivu na subra ndugu, jamaa, marafiki na Watanzania wenzetu wanaotafuta riziki zao katika eneo hili muhimu kibiashara nchini ambao kwa namna mbalimbali wameathiriwa na ajali hii.
TIRA YAMKABIDHI WAZIRI MKUU BIMA ZA AFYA 1,093
Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imekabidhi kadi za bima ya afya 1,093 kwa Waziri Mkuu Mhe. Kassimu Majaliwa wakati wa Baraza la Maulid leo Septemba 16, 2024 mkoani Geita.
Awali kabla ya kukabidhi kadi hizo Kamishina wa Bima Tanzania Dkt. Baghayo Saqware alisema
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alisaini Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote (UHI) namba 13 ya mwaka 2023 ili kuwezesha watanzania wote kunufaika na bima.
Katika kukamilisha azma hiyo, Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Dkt. Abubakar Zuber bin Ally na Kamishna wa Bima Tanzania, Dkt. Baghayo Saqware walianzisha zoezi la kutoa bima za afya 10,000 kwa watanzania mbalimbali bila kujali tofauti zao.
Awamu ya kwanza ya utoaji bima hizo elfu kumi, Dkt. Saqware amekabidhi kadi za bima 1,093 ambapo kadi 500 ni za kampuni ya Assemble na zilizobaki 593 ni za Kampuni ya Strategis. Mchakato wa kadi zilizosalia 8,907 utaendelea kutekelezwa kwa awamu chini ya kamati maalum ya Mufti ili kufikia ahadi ya kadi elfu kumi.
Bima hizo zimekidhi vigezo vyote vya kisheria na kati ya bima hizo wanaume watapata kadi 448 na wanawake kadi 605. Aidha, kadi hizo zimeshalipia hivyo, wanufaika wataweza kupata huduma za afya na matibabu mwaka mzima bila kugharamia chochote kwenye Hospital zote nchini ambazo zina mkataba na Kampuni au Skimu ya bima ya afya.
Wazo hili la kuwafikia watanzania wenye uhitaji wa bima za afya lilikuja wakati wa uzinduzi wa kitabu cha Mufti chenye maudhuhi ya maadili.
Zoezi hili kwa upande wa pili litawaunganisha watanzania wengi bila kubagua wala kujali dini, kabila, jinsia ama umri kwa kua suala la afya ni la wote.
#BimaYaAfyaKwaWote
#AfyaNiUtajiri
My wife once reported me to her pastor. The pastor called me. I blocked him.
Went to his WhatsApp church group and exited it. He chatted me, I ignored and blocked him.
He called my wife and said, "Your husband has a hot temper."
Days later, another number called me... it was the pastor's wife.
Mapema leo nchi yetu ilipoandika historia kwa uzinduzi wa Treni ya Kisasa ya Umeme (SGR) ambapo pia nimeitumia kusafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma.
Baada ya kukamilika kwa kazi hii njema, sasa tumeanza kazi ya vipande vipya vya Tabora kwenda Isaka, Isaka hadi Mwanza, pamoja na kile cha kutoka Tabora hadi Kigoma, na kisha kuunganisha na nchi majirani zetu ili kufungua milango zaidi ya fursa za kiuchumi kwa wananchi wetu.
Are you from 🇹🇿🇧🇮🇰🇲🇸🇨🇨🇩, looking to study in 🇮🇪 for the 2025-2026 academic year?
The Ireland Fellowship Programme offers future leaders the opportunity to apply for a funded 1 year Master’s level qualification in 🇮🇪.
For eligibility criteria & more ➡️
https://t.co/z2uzxaDFNP