Jana ilikuwa ni Arsenal dhidi ya dunia nzima. Lakini yote kwa yote huu ni msimu mzuri sana kwa Arsenal, ubingwa wa EPL na fainali ya UCL. Kitu ambacho wenye chuki hawatakiamini ni kwamba tutarudi tena fainali ya UCL very soon na kubeba kombe la Club bingwa Ulaya. Mark this Tweet.
Hatimae nimerejea uraiani baada ya miezi 6 katika kuta za Gereza R/Bunda.
Mateso yote niliyopitia tangu 01/11/2025 - 22, Mei 2026 yamenipa nguvu ya mapambano zaidi.
Sasa basi ili kuiondoa CCM Madarakani lazima tuwe na Vijana Watundu, Vijana Wakorofi na Vijana wenye Hasira.