#BREAKING: PIGO KUBWA KWA TANZANIA BAADA YA BUNGE LA ULAYA KUPITISHA HOJA YA KUVUNJA MSAADA WA MAENDELEO
Kamati za Mambo ya Nje na Maendeleo za Umoja wa Ulaya zimepitisha hoja itakayolazimisha Bunge la Ulaya kupitia Kamati ya Maendeleo kuondoa Mpango wa Kila Mwaka wa Maendeleo kwa Tanzania, hatua inayotafsiriwa kama hasara kubwa kwa taifa.
Tazama ZAIDI: https://t.co/JZztJmSLlA
Bobby Shmurda calls out Jay-Z and Roc Nation in a new post, accusing them of mishandling his career while alleging that he was pressured into accepting a plea deal:
"Now This is a billionaire 40 years old man at the time. I was a 19 year old less fortunate youth from the hood trying to make it out and this what they was doing at the top."
"now that I'm out of jail after his lawyer put me in there, Alex Spyro, which is public. You can look it up I told him I was forced. The judge said he didn't care he was sending me and all my friends upstate and we can get it on appeal."
💎🇹🇿 Tanzanite Exchange Center (TEC) Mirerani, The Official Home of Tanzanite Trade
Nestled at the foot of the world’s only known source of Tanzanite, the Tanzanite Exchange Center stands as a landmark achievement in Tanzania’s commitment to transparency, value creation, and formalization of the gemstone trade.
As the official trading hub for Tanzanite, TEC has transformed the way this rare and precious gemstone reaches global markets by providing a secure, regulated, and internationally recognized marketplace where miners, dealers, exporters, and buyers converge.
✨ Why TEC Matters
🔹 Strengthens transparency and accountability in the Tanzanite value chain.
🔹 Enhances revenue collection and contributes to national economic growth.
🔹 Creates direct market access for miners and traders.
🔹 Promotes fair pricing through a structured trading environment.
🔹 Reinforces Tanzania’s position as the sole source of Tanzanite in the world.
More than a trading center, TEC represents Tanzania’s vision of ensuring that the benefits of its natural resources are maximized through value addition, market formalization, and investor confidence.
As global demand for ethically sourced gemstones continues to grow, the Tanzanite Exchange Center remains at the heart of a success story that showcases how strategic reforms can unlock greater value from a nation's mineral wealth.
💎 One Nation. One Source. One Marketplace.
Tanzania 🇹🇿 The Home of Tanzanite.
#TanzaniaTheHomeOfTanzanite #Tanzanite #TanzaniteExchangeCenter #TEC #MiningSector #Gemstones #ValueAddition #MineralsForGrowth #InvestInTanzania #ResponsibleMining #MiningInnovation #TanzaniaMining #EconomicGrowth #MadeInTanzania #AfricaMining 💎🌍🇹🇿
Dangote has dragged the Nigerian government to court, accusing it of sabotaging his own refinery.
In an affidavit filed at the Federal High Court in Lagos, the refinery says the government has been deliberately starving it of crude oil.
Think about that. Africa’s largest refinery, in a country that pumps crude every single day, and it says it can’t get enough of that crude to run.
So Dangote is asking the court to stop the government from handing fuel import licences to other players. His logic is simple. Why keep importing fuel when we can refine it right here.
NNPC has hit back hard. They deny any sabotage, say crude supply comes down to commercial and logistical factors, and they’ve turned it around on Dangote, accusing him of trying to corner the market and become the only fuel supplier in the country.
So which is it. Is the government quietly choking the biggest industrial project Nigeria has ever built, or is one man about to end up holding the entire country’s fuel supply in his hands.
Whatever the court decides, somebody is going to come out of this a lot more powerful than they went in.
The government has approved plans to establish an International Financial Centre (IFC) in Dar es Salaam as part of efforts to attract foreign investment, improve access to capital and accelerate economic growth.
https://t.co/xVQAtx2GDW
Sababu Zilizofanya Kampuni Iliyosajiliwa Falme za Kiarabu na Rostam Aziz Kuweza Kununua Kampuni ya Gesi Tanzania Kwa Shilingi 26,000 (Tsh. 26,000)
Mnamo Aprili 13, 2026, kampuni ya Orca Energy iliyoendesha vitalu vya gesi vya Songosongo kwa takribani miaka 25 ilitangaza kuwa imefikia uamuzi wa kuuza biashara yake ya gesi Tanzania kwa takribani dola kumi, ambayo ni sawa na Shilingi 26,000 za kitanzania.
Kampuni hiyo ilitangaza kuwa wanunuzi ni ushirika wa wawili yaani kwanza kampuni ya Amber Energy Investment kutoka Falme za Kiarabu, ambayo ndio itakuwa mmiliki mkubwa kwa asilimia 51 ya hisa; mmiliki hasa wa kampuni hii hajawekwa wazi.
Mshirika wa pili ni Taifa Gas, kampuni inayomilikiwa na mfanyabiashara Rostam Aziz, ambaye atachukua asilimia 49 ya hisa. Kampuni hii kupitia kampuni zake za Pan African Energy Corporation (Mauritius) na PanAfrican Energy Tanzania (PAET) ndio mzalishaji mkubwa wa gesi inayotumika kwenye viwanda na umeme Tanzania.
Kati ya mwaka 2021 mpaka mwaka 2025 pekee kampuni hii inayoendesha visima kadhaa vya gesi katika eneo la Songosongo iliweza kupata mapato ya takribani dola milioni 513 ambazo ni sawa na Trilioni 1.3 za Kitanzania.
Sasa imekuwaje ‘mmiliki asiyefahamika’ na Rostam Aziz kuweza kununua kampuni hii kwa shilingi 26,000 pekee?
Soma zaidi>>>https://t.co/qtMTDX2hwl
Kujua kusoma, kuwa na vikaratasi sio knowledge.
Fred Douglass was a very knowledgeable person. He did not attend any class as Kabudi and Kitila.
Jamaa alikuwa na akili kweli.