In an Ebola outbreak, it's critical that those responding know what they're doing to protect themselves and others.
Dr Armand Sprecher explains the training our teams go through to provide care to patients with Ebola, and how those trained then train others on the ground, sharing knowledge.
“The city was dark because there was no electricity… it was basically covered in thick mud.”
⬆️ This is what our emergency team saw in Aceh Tamiang district, Indonesia, after Cyclone Senyar. Learn how we responded and rehabilitated health facilities: https://t.co/tvo82gm0b0
Tanzania 🇹🇿: Our teams are working in Tanzania’s Kagera region, where the authorities declared an outbreak of Marburg virus in late January. We are supporting the response by strengthening outbreak response capacity and providing training to frontline health workers and communities.
KIONGOZI WA CHADEMA SUMBAWANGA MJINI -ATEKWA NA KUPOTEZWA..!
Katibu Mwenezi wa Wilaya ya Sumbawanga Mjini DIONIZ KIPANYA ametekwa na watu waliojitambulisha ni Polisi kutoka ofisi ya RPC-RUKWA siku ya ijumaa ya tarehe 26 July 2024.
Ndugu wa DIONIZI KIPANYA wanasema siku ambayo walikuwa na kikao cha familia nyumbani kwao Kata ya Chanji,Wilaya ya Sumbawanga,mdogo wao alipigiwa simu yake ya mkononi yenye namba 0769104666 na mtu aliye mtaka atoke nje ya nyumba waonane japo dakika 1.
Alipotoka hawakumuona tena hadi leo na simu yake haikupatikana tena hadi leo hii,mashuhuda na majirani waliokuwa nje ya nyumba wanasema DIONIZ KIPANYA hakupambana wala kupinga kuwafuata watu hao ambao walijitambulisha na askari wa Jeshi la Polisi kutoka Ofisi ya RPC-Rukwa.
Ndugu zake walienda kumfuatilia vituo vyote vya polisi lakini Jeshi la Polisi mkoani Rukwa ktk vituo vyake vyote wamekana kumkamata wala kumshikilia DIONIZ KIPANYA.
Ndugu wameandikisha taarifa ya kupotea DIONIZ KIPANYA nakupewa RB namba SUM/RB/3447/2024.
Mtu yeyote mwenye taarifa yake atusaidie kuwajulisha ngudu kwa kutumia namba ya simu ya kaka yake 0756 780 973 JAMES KIPANYA.
Leo ni siku ya 8 sasa tangu DIONIZ KIPANYA atekwe na kupotea.
Boniface Jacob
Ex-Mayor
The voice of the silenced Majority.
MSF also supported the rehabilitation of the maternity ward, theater, waiting home for pregnant women, & incinerator at Liwale Municipal Hospital.
The project resulted in improved access to health services & an increased number of deliveries, reaching 500per month in 2023. [2/2]
MSF Director General in Geneva, Stephen Cornish, visited the Mother and Child Care #MamanaMtotokwanza project implemented in collaboration with the Tanzania Ministry of Health. [1/2]
The Power of #Partnership!
In Liwali district @MSF & MOH #tanzania - have improved obstetric care, training & sterilization; which has dramatically reduced maternal mortality & increased newborn survival rate! A pleasure to review the joint successes with Tanzanian officials!
The Power of #Partnership!
In Liwali district @MSF & MOH #tanzania - have improved obstetric care, training & sterilization; which has dramatically reduced maternal mortality & increased newborn survival rate! A pleasure to review the joint successes with Tanzanian officials!
Tripartite meeting #UNHCR, 🇧🇮 & 🇹🇿 in Dar-Es Salam on the voluntary #rapatriation of Burundian refugees. The repatriation of refugees in dignity and safety, accompanied by proper reintegration remains the preferred durable solution for #refugees.
To ensure comprehensive vaccination coverage💉👦👧, MSF's strategy involves reaching out to people in their communities, including remote spots.
🚐 Mobile centers are being used to effectively reach all areas.
In March 2023 a suspected #measles case emerged in Kilwa district, #Tanzania, near Liwale district where @MSF operates.
On June 22, Liwale District Hospital reported 6 suspected measles cases. The numbers have continued to rise throughout July in both districts.
KILELE CHA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA MARBURG TANZANIA.
"Tupo salama, tunasonga mbele, kwa umoja wetu tumeweza kudhibiti Ugonjwa wa Marburg Tanzania"
@ummymwalimu