#UPDATES_KESI_YA_MAWAKILI_WA_MHE_LISSU_DHIDI_YA_MKUU_WA_MAGEREZA
Part 10
Wakili wa Serikali Kalokola anaendelea kumfanyia Cross-examination Wakili wa Mhe. Lissu Paul Kisabo.
Wakili wa Serikali Kalokola: Ushahidi wa Lissu na TLS unaunga mkono mambo mliyosema?
Wakili Kisabo: Ni sahihi.
Wakili wa Serikali Kalokola: Mwenye wajibu wa kuthibitisha ni nyie mlioleta kesi?
Wakili Kisabo: Labda kama umekariri lakini inategemea na aina ya kesi.
Wakili wa Serikali Kalokola: Kazi ya ushahidi ni kuthibitisha madai?
Wakili Kisabo: Ni kweli
Wakili wa Serikali Kalokola: Kwenye kupitia kwako sheria za Magereza uliona kifungu ambacho kinazuia idadi ya watu kumlinda askari?
Wakili Kisabo: Soma kanuni ya 33 utaona inasema nini inasema mfungwa wa mauaji ni askari wawili. Sasa Lissu sio amehukumiwa kunyongwa.
Wakili wa Serikali Kalokola : Kuna katazo la mtu kukaa lockup?
Wakili Kisabo: Sikia we Bwana, tunacholalamikia hapa kwamba hatupewi access ya kuongea na mteja wetu kwa usiri kama sheria inavyosema.
Wakili wa Serikali Kalokola: Na tunakubaliana Mkuu wa Gereza anao wajibu wa kulinda.
Wakili Kisabo: Kwa mujibu wa sheria.
Wakili wa Serikali Kalokola : Sasa kile chumba kinakinzana na sheria au vipi?
Wakili Kisabo: Hivi unajielewa kweli? Hapa hatuzungumzii ukubwa wa chumba tunazungumzia kusikilizana.
Wakili wa Serikali Kalokola: Mandela rule imesema ukubwa wa chumba?
Wakili Kisabo: Haihusiani na ukubwa wa Chumba inahusiana na wakili na mteja wake wasisikilizwe. Achana na mambo ya ukubwa hayatakusaidia.
Wakili wa Serikali Kalokola: Nimemaliza.
Anasimama Wakili wa Mhe. Lissu, Advocate Edson Kilatu kwa ajili ya re-examination.
Wakili Kilatu: Umeulizwa kuhusu afya za masikio za maaskari unasemaje?
Wakili Kisabo: Walikuwa wananisikia ndio maana kuna mambo wanasema usiongee nae jambo hilo maana yake wanasikiliza. Wangekuwa hawasikiii wasingekuwepo kazini.
Wakili Kilatu: Vipi kuhusu kile chumba na ukasema hujui kama kuna kifaa kinachorekodi. Ulikuwa na maana gani?
Wakili Kisabo : Ukiongea na simu maana yake mazungumzo ya simu yanarekodiwa. Lakini pale Ukonga kwenye kile chumba kuna control room.
Wakili Kilatu: Waheshimiwa Majaji Inatosha, nimemaliza maswali yangu.
Jaji anasema sasa mleteni shahidi mwingine.
Jebra unasemaje? Ahhhh samahani ni Seka unasemaje?
Seka: Sisi tuna nguvu tunaomba tuendelee.
Jaji: Lissu unasemaje?
Mhe. Lissu: Na mimi naomba niendeleee nae huyu Mkuu wa Gereza kuanzia sasa hivi.
Kuhusu suala la Jiografia ya barabara za Dar es salaam, naomba kuwapeni taarifa kuwa mimi huwa sikai foleni huwa barabara zinasafishwa na nina magari karibia sita. Ving'ora ni vingi sana kwahiyo mimi msinionee huruma kuhusu barabara.
Jaji Rumisha anasema: Sasa mazingira kama haya wakati mwingine huwa mnasema majaji tunapoteza muda. Lakini kumbe kuna wakati huwa wateja ndio huwa hamtaki kuendelea na kesi. Tutawalazimisha sasa? Kalokola unasemaje kwahiyo?
Kalokola: Ni kweli njia huwa ni nyeupe lakini kuna mambo yanafanyika nyuma ya pazia. Usione tu askari magereza wanatembea.
Jaji Rumisha: Haya tuendeleeni kesho asubuhi na mapema saa tatu.
Mahakama imeahirishwa.
Naomba repost yako.
#UPDATES_KESI_YA_MAWAKILI_WA_MHE_LISSU_DHIDI_YA_MKUU_WA_MAGEREZA
Part 9
Mahakama imereje saa nane na dakika arobaini mchana.
Anasimama Wakili Kalokola, anasema kwenye jopo lao anamuondoa Wakili Francis Wisdom.
Sasa Wakili wa Serikali Kalokola anaanza kumuhoji maswali Shaidi ambae ni Wakili wa Mhe. Lissu Paul Kisabo.
Jaji anasema tunakukumbusha bado uko chini ya kiapo.
Kalokola endelea.
Wakili wa Serikali Kalokola: Nitaanzia eneo la mwisho. Uliambiwa kanuni ya fair trial iliyopo kwenye katiba haiwezi kupuuzwa kwa kuangalia kanuni za Magereza.
Wakili Kisabo: Ndio haziwezi.
Wakili wa Serikali Kalokola: kwenye madai yenu sio hoja kwamba kanuni za magereza ziko kinyume na katiba?
Wakili Kisabo: Hauko sahihi. Kesi hii sio ya kulalamikia kifungu chochote.
Wakili wa Serikali Kalokola: Unafahamu taratibu zote?
Wakili Kisabo: Nyingi nazifahamu.
Wakili wa Serikali Kalokola : mahabusu anapaswa kupewa huduma za matibabu na serikali?
Wakili Kisabo: Sifahamu.
Wakili wa Serikali Kalokola: Mfungwa anaweza kupewa pesa na zinaweza kuhifadhiwa na askari magereza?
Wakili Kisabo: Sijui
Wakili wa Serikali Kalokola: Umetaja jina la ambae huwa unampa pesa za Lissu ukimpelekea.
Wakili Kisabo: huwa nawapa askari magereza. Na wewe kalokola sio askari magereza.
Wakili wa Serikali Kalokola: Uliwahi kulalamika kuwa Lissu hapewi Chakula?
Wakili Kisabo: Sijawahi
Wakili wa Serikali Kalokola: Una elimu inayohusiana na mawasiliano?
Wakili Kisabo: nina elimu ya sheria. Mawasiliano pia yana sheria.
Wakili wa Serikali Kalokola: Kuna sheria inasema mawasiliano yaweje?
Wakili Kisabo: Confidentiality tu ndio kanuni.
Wakili wa Serikali Kalokola: mazungumzo ya oral yalikuwa preserved?
Wakili Kisabo: Tulizungumza, walitusikiliza. Kwahiyo hakukuwa na siri.
Wakili wa Serikali Kalokola: Mliyozungumza ni yapi?
Wakili Kisabo: Hayo mazungumzo ni siri kati yangu na mteja wangu.
Wakili wa Serikali Kalokola : Ni kweli mmekutana mara kadhaa na Mh. Lissu huko Ukonga?
WakiliKisabo: Nimesema hadi kwenye kiapo. Kuwa tulikuwa tunakutana wapi yaani ofisini kwa 3rd respondent.
Wakili wa Serikali Kalokola: Je kanuni ya 33 ndio mnayoilalamikia hii kanuni ya usimamizi wa magereza?
Wakili Kisabo: hapana.
Wakili wa Serikali Kalokola: Mtu yeyote akiingia magereza anakuwa classified?
Wakili Kisabo: Ndio uniambie sasa?
Wakili wa Serikali Kalokola: Mkuu wa Gereza anawajibika na usalama wa wafungwa?
Wakili Kisabo: sio kanuni ya 33(1)(a) itumike kwa Liss maana Lissu hajahukumiwa kunyongwa.
Kwa Kifupi Wakili Kisabo anapiga miguu yote, yuko taratibu lakini anapiga sana kwenye mshono.
Wakili wa Serikali Kalokola: ulioneshwa maoni mbalimbali ya Mkuu wa Gereza?
Wakili Kisabo: Niliona.
Wakili wa Serikali Kalokola: Kila anayeona anasikia.
Wakili Kisabo: Yes inategemea na mazingira.
Wakili wa Serikali Kalokola: umewahi kuwapima masikio maaskari magereza wa Ukonga ukajua wamesikia au hawajasikia?
Wakili Kisabo: watu nikifika naongea nao wananijibu. Ukisema hawasikii tena labda uwe na tatizo lako wewe.
Wakili wa Serikali Kalokola : Sasa mawasiliano ya simu kwenye chumba chenye vioo na ukasema kuna uwezekano wa kusikilizwa.
Wakili Kisabo: Yanasikilizwa.
Wakili wa Serikali Kalokola: Ulitaja kifaa kinachorekodi.
Wakili Kisabo: Sikijui, lakini simu yenyewe inarekodi. Sasa unataka kifaa gani kingine.
Wakili wa Serikali Kalokola: Unafahamu kwenye gereza la ukonga na magereza mengine kuna mtu anaitwa Principal Officer ambae yuko juu ya wakuu wa magereza?
Wakili Kisabo: Hawanihusu kama wakili mimi.
Wakili wa Serikali Kalokola: Ulienda au hukuenda kupeleka malalamiko kwa askari magereza wa juu?
Wakili Kisabo: Nimeshajibu hilo swali.
Wakili wa Serikali Kalokola: Mahakama hii ina uwezo wa kutekeleza maamuzi ya working group ya UN? Na uamuzi wa Jaji Mkwizu. Inaweza kutekeleza?
Kisabo: Kwanini isiweze. Kama jambo ni la kisheria. Lazima litekelezwe.
Part 10 itaendelea kwenye post inayofuata.
Naomba repost yako.
NAMSHUKURU BONGO ZOZO KWA MAONI NA USHAURI WAKE MZURI WA KIZALENDO NA UPENDO NA MAARIFA. TUNGEMSIKILIZA TUNGEPIGA HATUA KATIKA MENGI IKIWEMO KUMUACHIA TUNDU LISSU ILI KULILETA TAIFA PAMOJA. WE NEED TO MOVE ON.
Earlier today, the state staged a carefully constructed political theatre aimed at laundering responsibility for the October 2025 killings. The Chande Report, presented as an official account, has been widely criticised for sanitising state violence and obscuring accountability rather than establishing truth.
As you are all aware, under President Samia Suluhu Hassan, the CCM government has progressively tightened its grip on political space—restricting opposition activity, narrowing media freedom, and intensifying repression of dissenting voices. Having struggled to contain domestic and international scrutiny, the regime now appears to be extending its narrative beyond Tanzania’s borders.
From this evening, through Friday the 25th and into early next week, a coordinated public relations effort is expected to unfold in Nairobi. Through state-linked actors, diplomatic channels, and contracted communication firms, a deliberate attempt is being made to present the report as credible and widely accepted, while actively shaping media narratives in its favour.
For the Kenyan media, whose tradition has been anchored in scrutiny and accountability, this moment carries clear implications. Historical precedent shows the region’s press has often played a critical role in illuminating suppressed realities. That responsibility demands continued vigilance: not amplification of managed narratives, but rigorous interrogation of them.@citizentvkenya@KTNNewsKE@K24Tv@tv47news@tv47digital@Radio47_Kenya@RadioCitizenFM@SpiceFMKE@StandardKenya@NationNewspaper
@assengajrr Zingatia pia voice over isiwe used Sana kwenye channel za same niche
Na mwisho kagua script yako vizuri na wakati wa kuedit video hakikisha inalandana kwa kiasi na voice over yako.
@assengajrr Epuka Sana kutumia thumbnail zinazofanana hii ni sababu kuu ya kupigwa.
2. Heading hakikisha hazipo na same tast kwa kila video hii inafanya uonekane unawahadaa watu
3. Intro zako hakikisha hazifanana maana zikiwa the same inaonyesha una ka template kako mahali unakapa kazi tuu.
Usiku huu SC Tundu Lissu analala sakafuni gerezani Ukonga kwenye chumba cha futi 7 kwa 4, wakati muuwaji wa maelfu ya Watanzania amelala Ikulu. Sijui SC Lissu anawaza nini, Ila, nina hakika, ana amani - na anamshukuru Mungu kwa mapito haya. Mioyo yetu imejawa na shukrani🙏
Kama hauna pesa ya kulipia tool za kutengenezea content za blog, YouTube automation na Facebook monetization
Kuna hii software nitakupa bure kama unahitaji tu
→Repost
→Comment " Facebook monetization"
→Nakutumia DM
PS: Hakikisha unaitumia vizuri huwezi kukosa hela
UJUMBE WA MATESO KUTOKA KWA MH. TUNDU LISSU AKIWA GEREZANI UKONGA.
“Ndugu zangu,
Kwa wiki kadhaa sasa nimewekwa kwenye total isolation “upweke wa kulazimishwa”
Wale wafungwa wenzangu waliokuwa nami kwenye selo moja, ambao walikuwa wamehukumiwa adhabu ya kifo, wametolewa wote nimeachwa peke yangu.
Selo yangu sasa imewekwa kamera za ufuatiliaji (CCTV) zinazorekodi kila kitu ninachofanya, hadi wakati ninapokojoa au kubadilisha nguo.
Sina faragha yoyote tena. Hili si suala la usalama bali ni kudhalilishwa kwa utu wangu kama binadamu.
Naomba jambo hili lipigiwe kelele kwa nguvu zote, kwa sababu ni ukiukwaji wa wazi wa haki za binadamu na ni kosa kisheria chini ya Kanuni za Umoja wa Mataifa za Matunzo ya Wafungwa (Mandela Rules), ambazo zinasema wazi kuwa:
•Utu wa binadamu unabaki kuwa wa heshima hata akiwa gerezani (Kanuni ya 1),
•Upweke wa muda mrefu au unaomnyima mfungwa mawasiliano ni ukatili na mateso (Kanuni ya 43 na 44).
Pia ni ukiukwaji wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ibara ya 12 na 13, zinazolinda hadhi ya mtu na kumzuia kuteswa au kudhalilishwa.
Niko tayari kuvumilia hali yoyote kwa ajili ya imani yangu na msimamo wa wananchi katika haki na uhuru wa watu wetu, lakini udhalilishaji wa utu wa binadamu hauwezi kukubalika, si kwangu tu, bali kwa yeyote anayebeba jina la mwanadamu.
#REPOST UJUMBE UFIKE MBALI
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI
Leo Septemba 9, 2025
Part 1
Kesi imeanza Mhe. Lissu ameingia. Katuga amesimama na kutambulisha jopo lake na mshitakiwa amesema yuko tayari.
Jaji amesema naomba nitoe mrejesho wa tulianzia wapi jana na tuliishia wapi? Ametoa huo mrejesho kuwa sasa tuendelee na lile pingamizi la endapo mahakama hii ina mamlaka ya kuendelea.
LISSU: Mh. Jaji nashukuru, jana nilipewa nafasi nikasome. Sasa hiyo kazi nimeifanya usiku kucha kwahiyo naomba kwa kuanzia nieleze tofauti zilizopo kati ya hizi nyaraka mbili na ili nisiwachanganye ninaposema rekodi ya Ukonga maana yake ni ile niliyoletewa na hakimu wa mahakama ya Kisutu na hakimu FRANCO KISWAGA ndio alimpa Kamishina mSaidizi wa Polisi Rabi Stima.
Rekodi ya Ukonga nina maana ni hiyo nyaraka niliyoletewa na Hakimu Kiswaga.
Kwahiyo nikisema rekodi ya Mahakama hii nitakuwa namaanisha ile niliyopewa jana.
Sasa naomba nianze.
1. Utofauti wa rekodi ya Ukonga ina kurasa 16 tu. Rekodi ya Mahakama hii ina kurasa 101. Sasa hizo kurasa zingine zilikuwa wapi? Nyaraka za mahakama zinawezaje kuwa na utofauti wa namna hii? Katuga hawakumpa hii niliyonayo mimi.
2. Rekodi ya Ukonga haina ile scanned berg (kibox pembeni kulia) inamaanisha ni original. Sasa ya ukonga haina lakini niliyopewa jana inazo hizo scanned berg. Sasa ililetwa na mahakama lakini sio original.
3. Rekodi ya ukonga inaanza tarehe 18/08 na inaishia Tar. 18/08. Kwa kifupi ilianza siku hiyo hiyo na kuishia siku hiyohiyo. Kesi ilianza na kumalizika siku hiyohiyo. Rekodi ya Mahakama hii imeanzia April 10, 2025 na kuishia Agosti 18, 2025. Mliyonipa hapa ilikuwa imekamilika kwa kila kitu.
4. Ukurasa wa 1 wa rekodi ya Ukonga na Ukurasa wa 86 wa rekodi ya Mahakama hii. Ukiangalia ile ya Ukonga page 1 ni kwamba commitall proceedings ilianza immediately. Yani mwanzo pale committal proceedings open, evident on itself lakini kwenye rekodi ya mahakama hii ukurasa wa 86 kulikuwa na ubishani mkubwa sana ambao umerekodiwa. Utaona baada ya corum kuna heading inaitwa Proveedings Mr. Katuga alielezea mambo kadhaaa.... ilianza hivyo. Kinachofuata kuanzia page 86 hadi 89 ni submissions kati ya prosecution na mimi mwenyewe. Rekodi ya ukonga mabishano hayo hayapo kabisa. Lakini hii niliyopewa hapa kila kitu kipo.
Utaona kwa mfano ukurasa wa 87 rekodi ya mahakama hii Hakimu alisema nimezingatia mawasilisho ya pande zote. Na akatambua uamuzi wa mahakama kuu. Mambo hayo kwenye document nikiyoletewa hayakuwepo na hakuambatanisha.
6. Kwenye ukurasa wa 15 wa rekodi ya Ukonga kuna orodha ya mashahidi halafu kuna maneno kuwa na mimi mshitakiwa I WILL CALL THE FOLLOWING WITNESSSES
Lakini kwenye ukurasa wa 100 wa rekodi ya Mahakama hii inasema I will call my witnesses and I will have my Advocates.
Kwenye rekodi ya ukonga na kwenye orodha ya mahakama hii hawajaandikwa mashahidi wangu.
Sio kwamba hawakuwepo, niliwataja lakini nyaraka hizi hazina majina hayo.
1. Samia Suluhu Hassan
2. Isdory Mpango
3. Kassim Majaliwa
Hao wote niliwataja lakini hawakuandika kabisa.
Nitarudi kwenye hilo la majina baadae.
Lakini ieleweke kuwa majina hayo nilitaja mchana kweupe kila mtu alisikia na ilikuwa kwenye Open Court. Aliamua kwa matakwa yake mwenyewe kutokuyaandika.
Hizi nyaraka zote zimetoka Kisutu na zinadai kuwa ni committal proceedings.
Which one is forgery and which one is original.
Mahakama hii inapaswa kujibu why this differences?
Jana niligusia kidogo kwamba kulikuwa na maahirisho mengi sana.
Nilisema yalikuwa zaidi ya 10 hayo maahirisho. Niliposoma usiku nimegundua iliahirishwa mara 13.
Kesi inapoahirishwa kwenye commitall proceedings s. 265(1) the court must record the reason of adjournment and for reasonable cause that adjournment can be granted.
Na hiyo sababu ya msingi lazima iandikwe katika mwenendo.
Sasa nataka nioneshe namna mahakama ya Mh. Franco Kiswaga ilivyoheshimu huo utaratibu wa kisheria.
Part 2 inaendelea post inayofuata.
Naomba Repost yako kwenye tweet hii.
China sio bidhaa tu wanaship hadi tech.
Nanunuaga kila kitu kuanzia VPN premium,spotify logs, na software kibao.
Tena kwa bei ya chini sana
Nilete THREAD au nyie wajuaji? Au nikiwaita kwa Fursa nyie ndo FURSA?😂