Imagine being us..!!
Hapo hakuna kusombelea watu kwenye maroli kama ng'ombe za mnadani.
Hawa ni wapenda HAKI walioamua kushiriki mkutano wa wapigania HAKI (IBADA).
Na baada ya IBADA takatifu ya HAKI, wameshiriki kutoa SADAKA (TONE TONE).
IGA UFE.
REPOST 200.
Mamaeee HECHEE kajua kuhutubia mkoa wangu. Naangalia mpaka machozi yanatoka.
HII NDIO MBEYA MAMAE.
WATU WAPO TAYARI KWA MAANDAMANO.
WATU WANATAKA LISSU ATOLEWE HARAKA SANA #FreeTunduLissu
โผ๏ธ๐จHALI MBAYA SANA NI MWENDO WA KUWINDANA๐จโผ๏ธ
Oktoba 2025 imeacha makovu hadi ndani ya mfumo wa ulinzi na usalama! Maumivu ni makali sana!
Kuna incident baadhi yetu tulisikia ilitokea ila leo ndo kuna details zaidi! Kuna mtu alitaka kupata revenge ya ndugu yake! Sasa najiuliza unaishi kama digidigii huku unajiita Rais wa kujipachika! Hujui anayekuchekea ana nini moyoni! Hii dhambi ya kumwaga damu ni mbaya sana! Na huwa mwisho wa mtu aliyemwaga damu si nzuri!
Hata upange upangue vipi! Hatma yako imeshaandikwa - tukumbuke kisa cha Indira Gandhi na alivyouwawa!
Ushauri mzuri ni kuondoka na si kusubiri kufukuzwa
#SamiaMustGo #TutaelewanaTu
@DangaAyubu79425@chapanombombwi Uzur ulaya sio Kama hukobkijijin kwenu kwenye mafunza! Okoa family yako usipende kukaa mjini kuolewa kwa machawa huku ndg zako wakititia kwenye umaskin pro! Wananchi wameamua mwelekeo wao utafagiwa TU mzee Wala sio kupasua mishipa ya shingo hapaโ๏ธ
@DangaAyubu79425@chapanombombwi Bwana danga dume !kiwanja cuako wp mzee wa 7๐ฎ๐ฎ๐ฎ achar upumbavu wa ku bull WATU usiowajua nenda kapongezane huko kwenye vimedia chawa vyenu ๐ฎ
The time has come to release Tundu Lissu and pack your bags and go! Contrary to what Kombo, Nyalandu and Kabudi are telling you, this is it! Your illegitimate presidency is now obvious to the world and there is not path to legitimacy!
#SamiaMustGo