@Mwabuk2Boniface Nimeelewa kuwa umekataa ofa kutoka kwenye mamlaka ya kidunia (nchi) isiyo ya Mungu (iliyojiweka kibinadamu)........
Na Mungu wetu azidi kukulinda, kukubariki na akupe ujasiri.
@ukrainiansquad Why are you not negotiating??
You're problem is leadership.....
You can't have a comedian in the high office of your country. You are played. You will loose.
@gabyconscious Hakuna mtandao hapo. Kila mwezi wiki 2 nzima inakata na lazima uwapigie muhangaishane. Wameshindwa kabisa biashara na customer service mbovu.
Rais wa sasa yupo madarakani si kwa sababu alishinda uchaguzi kwa wananchi kumchagua yeye. Bali yupo kwa sababu Katiba yetu iliweka utaratibu wa makamu wa Rais kuwa Rais pale Rais aliyeko madarakani anapoaga dunia. Kusema Katiba ni kitabu tu nikujisahau.
@fbuyobe Kuna mind game.....
Wargner wanakwenda kuvamia Kiev kwa kupitia Belarus. Hii ilikuwa changa la macho kuwa Wargner iko 200Km from Moscow wakarudi nyuma kwa makubaliano waondoke Urusi na kwenda Belarus. Sasa wako 100Km from Kieve.