Leo 27.6.2026 nitimiza miaka miwili tangu niokotwe kwenye MBUGA YA KATAVI nikiwa na Majeraha ya KUPIGWA RISASI YA KICHWA baada ya KUTEKWA na jeshi la polisi @tanpol 23.06.2024
F1 : huu ndio muonekano wa mahali nilipopatikana ndani ya MBUGA YA KATAVI, eneo hilo ni BOMA la simba, nilikaa hapo nikiwa navuja DAMU kwa zaidi ya dakika 5 mpaka nilipopata msaada wa kibinadamu.
MUNGU akinipa maisha marefu hili eneo nitakuja kulitembelea kama sehemu ya kuutukuza ukuu wake kwa UKUU alionitendea kwenye maisha yangu na familia yangu.
F2 : Hapo nikiwa na majeraha ya kupigwa RISASI YA KICHWA na kwa mara ya kwanza kuonekana tena mbele ya macho ya watu, baada ya kutafutwa kwa siku 4. Uso ulivimba na kujawa damu kwasababu ya majeraha ya kupigwa RISASI YA KICHWA na watekaji (JESHI LA POLISI TANZANIA).
F3 : Hilo eneo ni mto wenye MAMBA NA VIBOKO na hao ni MAMBA ndio walitakiwa kuula mwili wangu baada ya kupigwa RISASI YA KICHWA. MUNGU aliwafunga vinywa hao MAMBA NA VIBOKO nikatoka eneo hili nikiwa salama mpaka pale F1 kupata msaada wa kibinadamu.
F4 : Baada ya kupata huduma ya kwanza hospitali ya WILAYA MPIMBWE nilipelekwa hospitali kubwa ya rufaa MPANDA na hapo ni baada ya kupokelewa saa mbili usiku nikiwa nimeshonwa ENEO AMBALO RISASI ILIPITA KICHWANI.
Haya yote yalifanyika kwangu tarehe hii ni neema tuu, wapo ndugu zetu wengi wanatekwa na hawapatikani, mimi ilikuwa ni neema namshukuru MUNGU.
Haya hayatakiwi kuwa maisha ya watanzania, MUNGU hakutuleta duniani ili tuishi kisha tupotezwe na ndugu wabaki na maswali ya milele tupo wapi? na mwisho waishie kuzika NGUO zetu.
Nitaendelea kusimama mstari wa mbele kukataa UTEKAJI NA KUKEMEA UTEKAJI KWA LUGHA YEYOTE ILE ambayo mimi nitaona inafaa.
MWISHO NI KUWASHUKURU WATANZANIA WOTE HII SIKU ILIKUWA KAMA SIKU YA MSIBA—MLISIMAMA NA MIMI NA MMEENDELEA KUSIMAMA NA MIMI KUPIGANIA HAKI ZANGU KWA MIAKA YOTE HII MIWILI.
BADO SIJAPATA HAKI YEYOTE ILE ILA NAAMINI NITAIPATA—KAMA NILIVYOSHINDA KIFO KWENYE MBUGA YENYE WANYAMA WAKALI NA MTO WENYE MAMBA NA VIBOKO BAADA YA KUPIGWA RISASI YA KICHWA, BASI HAKI YANGU PIA INAKUJA NI SUALA LA MUDA TUU.
SATIVA (The Walking DEAD).
KUTOKA TANZANIA KWENDA KENYA
➠ Ndege roundtrip DAR-NBO = 1-to-1.5M
➠ Bus Roundtrip DAR-Nairobi= 180k-to-250k TZS
➠ Airbnb/day= 50k-to-400k
Bolt= kama bongo tu inategemea na eneo
➠ Matatu (daladala)= 1000+ kwa trip
➠ Kukodi gari private= 80k+
➠ Clubbing na ubichi =200k+
ZINGATIA: USALAMA, Nairobi haaminiwi mtu kila mtu ni SUSPECT.
KARIBU
TABIA 6 ZA MWANAUME MWENYE THAMANI YA JUU (High Valuable Man)
1. Anajifunza kila siku.
2. Ana nidhamu binafsi.
3. Anatimiza maneno yake.
4. Ana nidhamu na pesa zake.
5. Maamuzi yoyote hafanyi kwa hisia.
6. Ana MAONO na MALENGO makubwa.
Be valuable MAN.
🚨⚪️ Marc Cucurella on playing with Vini Jr: “I do NOT care if he doesn't track back, or doesn't help defensively”.
“Let him stay fresh ALL GAME so he can score goals, I will do ALL THE DIRTY WORK for him”.
Consistency ya Maombi yao kwetu baraka zinawafikia mpaka wao.
Mama SATIVA na Mama Taivina mtakutana nao Road huko msisite kuwapa msaada wakikwama barabarani.🙏
HIZI NDIZO SITES/APPS NINAZOZIJUA ZA KUANGALIA MECHI LIVE BURE: ⚽📺🔥
✅ FawaNews (Napendelea Sana Hii)
✅ Cricfy TV
✅ Sportzfy
✅ Playfly
✅ Starball TV
✅ Epic Sports
✅ VipBox
✅ FootyBite
✅ FCTV33
✅ YouCine
✅ Camel1Live
✅ SportzSpeed24
✅ KoraLive
✅ Football Libre
✅ VIP League
✅ LiveBall
✅ GingaBet
✅ RBTV
✅ Yacine TV
✅ 808Sports
Nenda Playstore Download APP Inaitwa Quetta, Maana Ni Ads Blocker Alafu Itumie Kama Search ENGINE Ya Hizo Site Za Kuangalia Mpira Live
GOALS BEFORE THE AGE OF 30
- Start an online business
- Exercise daily
- Build emergency fund
- Learn how to cook
- Take a big risk
- Save $1k per month
- Find your true passion
- Invest in retirement
- Learn how to code
- Travel to 5 countries
- Read 10 books a year
- Fail and learn from it
- Eat healthier food
- Build your own website
- Find true friends
- Buy your first home
INSTEAD OF WATCHING NETFLIX TONIGHT.
Spend 1 hour with this.
Claude AI FULL COURSE that teaches you how to BUILD and AUTOMATE anything.
The people who watch this tonight will wake up tomorrow with a new skill.
Watch it and Bookmark it now.
Are you between the ages of 20–44
with no job or source of income?
I have the perfect remote jobs for you.
Here are some unique remote sites where you can get paid daily in USD.
Open Thread ↓
Stop telling Claude, "do this."
Stop telling Claude, "write code."
Stop telling Claude, "fix this error."
Bro you're actually treating a senior AI like a junior intern.
Here are 7 prompts you can copy and paste directly:
LIST OF 40 WEBSITES TO FIND REMOTE JOBS
1. Linkedin. com
2. Indeed. com
3. Glassdoor. com
4. FlexJobs. com
5. weworkremotely. com
6. Remote. com
7. Upwork. com
8. Freelancer. com
9. Fiverr. com
10. Guru. com
11. Toptal. com
12. AngelList. com
13. Hubstafftalent. com
14. Simplyhired. com
15. Remotive. com
16. Virtualvocations. com
17. workingnomads. com
18. Hired. com
19. cloudpeeps. com
20. taskrabbit. com
21. talent. com
22. remoteok. io
23. dremote. io
24. jooble. org
25. stackoverflow. com/jobs
26. jobspresso. com
27. onlinejobs. ph
28. simplyhired. com
29. themuse. com
30. skipthedrive. com
31. zirtual. com
32. justremote. com
33. hireable. com
34. remoteworkhub. com
35. jobbatical. com
36. freelancewritinggigs. com
37. contentwritingjobs. com
38. problogger. com/jobs
39. behance. net
40. designhill. com
Follow me @Dilesh2004
Guys do you have some free time and internet?
1/ Go to telusinternational. com
2/ Register an account
3/ Get approved
4/ Review content and evaluate search results
5/ Get paid $12 to $20/hr
6/ Used by google, microsoft, and meta
7/ Stable work every month
Well thank me now😌.
Building auth in Expo?
Skip WebViews and custom UI. Clerk Expo gives you native auth components built on SwiftUI and Jetpack Compose.
See the Expo quickstart.
HOW TO BUILD A PROFITABLE STARTUP WITH $0
1\ find a problem by reading complaints not brainstorming ideas
> reddit threads show you what users desperately want but can't find
> g2/capterra/trustpilot reviews tell you exactly what people hate about existing software
> upwork job posts show you what tasks people already pay humans to do manually
> app store reviews expose the exact features competitors are missing
> twitter/x search "looking for a tool that" and you'll find 50 problems in 10 minutes
your customers are literally telling you what to build
2\ skip the business plan. open claude code. ship something ugly by sunday night
> your MVP should solve one problem and nothing else
> if it takes longer than a weekend you're building too much
> nobody cares about your design. they care if it fixes their problem
> the first version of every successful product looked terrible
> ship it broken. fix it based on what real users tell you
3\ charge money immediately
> free users don't give you feedback. most of them will go ghost after using it once.
> if someone won't pay $20/month for your solution they don't actually have the problem
> charging from day 1 is the fastest way to validate if your idea is real
> a paying customer's opinion is worth 100 free users' opinions
4\ use the stack you already know
> the stack you choose DOES NOT MATTER.
> who churns because you used postgres instead of some new trendy database?
> the best framework is the one you can ship fastest in
> don't spend 3 weeks learning a new tool when the old one works fine.
> your customers will never ask what language you wrote it in
> technical decisions should take 5 minutes
5\ host on a $10/mo VPS
> you are not google. you do not need kubernetes for 200 users
> a single $10 server handles more traffic than you think
> don't set up infrastructure for a million users when you have 12
> scale when scaling is actually the problem. right now distribution is the problem
> every dollar you spend on AWS is a dollar you can't spend on getting customers (AKA DISTRIBUTION)
6\ answer every single support ticket/feature request yourself
> you'll learn more about your product in one week than any analytics dashboard will tell you in a year
> your users will literally tell you what to build next if you just listen
> every churned customer who explains why they left is handing you a roadmap to get even more customers
> big companies can't do this. their support team has never met their CEO. you ARE the CEO
> this is your unfair advantage. don't outsource it until you absolutely have to
7\ automate anything you do more than twice
> a cron job is cheaper than an employee and never calls in sick
> openclaw can handle monitoring, alerts, and repetitive tasks 24/7
> if you're copy-pasting the same thing daily that's a script waiting to be written
> every hour you spend automating saves you hundreds of hours later
> your goal is to build a machine that runs without you touching it
8\ post what you're building every day on twitter
> "got 2 signups today and one of them was my mom" or "this guy asked for xyz feature, built it in 30 minutes and pushed to prod"
> raw honesty builds followers faster than polished content
> those followers become your first customers because they watched you build it
> one founder posted his revenue publicly every month. one post got 400 likes and 3 acquisition offers which is insane
> your journey IS the marketing
9\ keep your burn rate so low that revenue covers it from month 1
> small but profitable beats series A every single time
> if your monthly costs are $50 you only need 3 paying customers to be profitable
> every founder who raised money wishes they hadn't given up that equity
> the freedom of not having investors telling you what to do is worth more than their check
> stay alive long enough and compounding does the rest
10\ say no to everyone who wants a piece of what you're building
> say no to anyone who wants equity in exchange for "connections" or "advice"
> say no to cofounders unless they bring something you literally cannot do yourself
> say no to agencies promising growth hacks or SEO optimization for $5k/month.
> say no to VCs who want you to 10x when you just want to build something that works
> if their advice was worth 5% of your company they'd be building their own thing
you don't need a cofounder. you don't need permission. you don't need a pitch deck
you need claude code, a problem worth solving, and the discipline to show up every day
the entire VC game is designed to make you think you need permission to start
you don't
I remember the first time I tried to publish an app. It wasn’t easy.
So if you’re a Tanzanian dev who’s built something real and just needs that final push, reach out.
I’ll help you get it in front of users. 🇹🇿