Jamaa kitaaluma ni Mwanasheria, I hope anajua implications ya haya mambo ikiwemo taharuki inayojengeka Ndani na Nje ya Nchi. Kesho MaBalozi wataanza kutoa tahadhari kwa Raia wao waliopo TZ, ni vipi tutarudisha Imani na kusema Hali ni shwari
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amemwelekeza Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) kusitisha utoaji wa vibali vya mikutano ya hadhara kwa vyama vyote vya siasa kwa kipindi hiki, akieleza kuwa hatua hiyo inalenga kuimarisha usalama na kudhibiti vitendo vya uhalifu vinavyoweza kujitokeza.
Akijibu maswali ya wabunge bungeni jijini Dodoma leo, Juni 26, Katambi amesema serikali imebaini uwepo wa matishio ya kiusalama, ikiwemo watu wanaodaiwa kukamatwa wakiwa na silaha, mafuta ya petroli na wakipanga vitendo vya uhalifu, hivyo vyombo vya ulinzi na usalama vimepewa maelekezo ya kuongeza ulinzi katika maeneo yenye viashiria vya hatari.
Pia, amewaagiza wakuu wa mikoa na wilaya kuimarisha usimamizi wa kamati za ulinzi na usalama katika maeneo yao, huku akiliagiza Jeshi la Polisi kuchukua hatua dhidi ya maeneo ya biashara yanayokiuka sheria au yanayohatarisha usalama, ikiwemo kuyafungia kwa muda pale itakapobidi.
“I’m humbly a billionaire. I came from a lower-middle class. I decided not to buy a car and saved the money to acquire a property. Today, this is my fourth private jet that I’m flying.” — Tony Elumelu.
Mako Nishimura (西村まこ, born 1966) is a former Japanese yakuza member who is widely regarded as the only woman to have been officially accepted into the traditionally male-dominated world of the yakuza.
🇸🇪 🇪🇺 Swedish minister brings baby to EU talks
Sweden's environment minister Romina Pourmokhtari brought her three-month-old baby to an EU meeting, in a barrier-breaking move she said showed it was possible to be both "a present minister and a present mother".
Kwa TAKWIMU zilizopo sasa, Tanzania ni NCHI YA KWANZA katika Ukanda wa Afrika Mashariki kwa kuwa na WANASIASA wengi ambao ni WASOMI wa kiwango cha PHD. Hongera sana Mheshimiwa DAKTARI JOSEPH KASHEKU MSUKUMA kwa MAFANIKIO HAYO YA ELIMU.
Khaby Lame has turned viral comedy into a global business.
The most followed person on TikTok, with 161.6 million followers on the platform, is known for his spoofs and reactions to viral trends. He has landed deals with brands including Hugo Boss and Binance, as well as partnerships with Hollywood studios.
Explore the full #ForbesTopCreators 2026 list: https://t.co/CzD26jfPM1
📸: Mike Coppola via Getty Images
There’s more to the iPhone 17e than meets the eye. Like an advanced silicon chip that is said to be developed in Apple’s R&D centre in Israel.
Al Jazeera’s Al Anoud Al Aqeedi explains.
Félix Houphouët-Boigny: The Man Who Betrayed Africa
On March 6, 1957, Ghana’s first President and Pan-Africanist icon, Osagyefo Kwame Nkrumah, stood at the helm of a newly-independent Ghana, and shared his vision of a truly sovereign, truly united and truly powerful Africa.
That vision was cut short on February 24, 1966, when Nkrumah was overthrown in a CIA-backed coup.
9 years before this coup, and a month after his nation’s independence, Nkrumah went to Abidjan, the capital of Côte d’Ivoire, for a high-level meeting with the country’s first President and full-throated stooge of the West, Félix Houphouët-Boigny.
Africa would perhaps look very different today, if Nkrumah had really understood the intentions of the person he was meeting.
This is the story of how one man betrayed an entire continent.