Tanzania haihitaji hofu zaidi.
Inahitaji uponyaji.
Kwa sababu taifa lililojeruhiwa, mwishowe huanza kujijeruhi lenyewe.
Leo tunapaswa kusema ukweli
si kwa chuki,si kwa kisasi,bali kwa hofu ya kweli kuhusu mustakabali wa nchi yetu.
Kama Michael Jackson alivyowahi kusema:
โTunapaswa kuponya dunia yetu iliyojeruhiwa. Machafuko, kukata tamaa, na uharibifu usio na maana tunaouona leo ni matokeo ya watu kujisikia wametengwa kutoka kwa wenzao na mazingira yao.โ
Kauli hii kwa sasa
Inakuwa onyo hata kwetu sisi Watanzania, kama sehemu ya dunia
Wananchi wanapoanza kujisikia:
hawasikilizwi, wametengwa, wananyamazishwa, wanadhalilishwa,
au wanachukuliwa kama maadui kwa sababu tu wana mawazo tofauti.
umbali wa hatari huanza kujengwa kati ya wananchi na dola.
Na historia inatufundisha jambo moja la kuogopesha:
Mataifa mengi hayaanguki kwanza kwa sababu ya adui wa nje.
Huanzia kudhoofika ndani
wakati imani ya wananchi inapokufa.
Nchi haiwezi kujenga amani ya kudumu:
kama hofu inakuwa kubwa kuliko uhuru, kama utii unakuwa muhimu kuliko ukweli, kama taasisi zinaonekana kuwa za upande mmoja, au kama ukosoaji unatafsiriwa kama usaliti.
Kwa sababu jamii iliyojeruhiwa huzalisha wananchi walioumia.
Na wananchi walioumia mwishowe huzalisha:
hasira, mgawanyiko, msimamo mkali, kukata tamaa,au chuki ya kimya kimya.
Viongozi wanapaswa kuelewa:
si kila ukimya ni amani.
Wakati mwingine watu wananyamaza kwa sababu:
wamechoka,wanaogopa,au wamekata tamaa.
Na kukata tamaa ni hatari kwa taifa lolote.
Tanzania ilijengwa juu ya msingi imara ya : utu,umoja,mazungumzo,
uvumilivu,na hisia ya kuwa taifa ni la wote.
Julius Nyerere alielewa jambo kubwa sana,taifa haliishi kwa nguvu pekee (power)
linaishi pia kwa uhalali wa kimaadili.
Wananchi wakianza kuhisi kwamba:
haki inategemea upande wa kisiasa, ambao mtu yupo, taasisi si huru tena,
au demokrasia ipo kwenye maneno lakini si kwenye vitendo,
ule mkataba wa kihisia kati ya taifa na wananchi huanza kupasuka.
Kwa hiyo haya si mashambulizi.
Hili ni onyo.
Onyo kwamba:
siasa zinapokuwa za uhasama kupita kiasi,
mamlaka zinapoanza kuogopa ukosoaji,
wapinzani wanapoonekana maadui,
na wananchi wanapopoteza imani kwa mifumo ya taifa
taifa lenyewe huanza kujeruhiwa kihisia.
Na taifa lililojeruhiwa huwa taifa lisilo tulivu.
Hatuhitaji kulewa kisiasa zaidi.
Tunahitaji hekima.
Hatuhitaji viongozi wanaotaka kusifiwa tu.
Tunahitaji viongozi wenye uwezo wa kusikiliza ukweli usiofurahisha.
Kwa sababu uzalendo si ukimya.
Wakati mwingine uzalendo ni ujasiri wa kusema:
โKuna jambo linaenda vibaya kabla hatujachelewa.โ
Kama Tanzania inataka kubaki imara,
basi uponyaji lazima uwe sera ya taifa.
Uponyaji:
kati ya viongozi na wananchi,kati ya dola na upinzani,kati ya mamlaka na uwajibikaji,kati ya sheria na haki.
Kwa sababu hakuna taifa linaloweza kuishi milele kwa:
hofu, propaganda,au mgawanyiko wa kihisia.
Mwisho wa yote,
taifa huwa imara zaidi pale wananchi wake wanapoamini kwamba:
wao ni sehemu ya taifa,wanalindwa,
wanasikilizwa,na utu wao una thamani.
Mungu ailinde Tanzania isije kuwa nchi ambayo wananchi wanaogopana kuliko kuaminiana.
Na viongozi wetu wakumbuke:
historia haitawahukumu viongozi kwa barabara, madarasa , vituo vya afya walivyojenga pekee,
bali pia watahukumiwa kwa hali ya kihisia walizoliachia taifa.
Usisahau:
โJamii iliyojeruhiwa huzaa watu waliojeruhiwaโฆ
na watu waliojeruhiwa huongeza machafuko zaidi.โ
Rev Petet simon Msigwa!
Iringa
Honored to represent @Huawei at the High-Tech Fair organized by the @ChineseEmbTZ (1โ10 May 2026) at EACLC, โ Dar es Salaam ๐น๐ฟ๐จ๐ณ
Presented Huaweiโs leading AAU 5G solutions to ICT Minister Hon. @AngellahKairuki , DG of Immigration Anna Makakala & other distinguished guests.
Honored to represent @Huawei at the High-Tech Fair organized by the @ChineseEmbTZ (1โ10 May 2026) at EACLC, โ Dar es Salaam ๐น๐ฟ๐จ๐ณ
Presented Huaweiโs leading AAU 5G solutions to ICT Minister Hon. @AngellahKairuki , DG of Immigration Anna Makakala & other distinguished guests.
๐จFull list of business executives joining President Trump on trip to China:
โข Jane Fraser (Citi)
โข Tim Cook (Apple)
โข Elon Musk (Tesla)
โข Brian Sikes (Cargill)
โข Larry Fink (Blackrock)
โข Kelly Ortberg (Boeing)
โข Ryan McInerney (Visa)
โข Chuck Robbins (Cisco)
โข Jacob Thaysen (Illumina)
โข Jim Anderson (Coherent)
โข Sanjay Mehrotra (Micron)
โข Christiano Amon (Qualcomm)
โข Michael Miebach (Mastercard)
โข Dina Powell McCormick (Meta)
โข David Solomon (Goldman Sachs)
โข H Lawrence Culp (GE Aerospace)
โข Stephen Schwarzman (Blackstone)
Babalevo anasema ili kuepuka madaktari kuogopa kufanya kazi vijijini, mishahara ya vijijini iongezwe na iwe mikubwa in comparison na wa Mjini ..
Hii imekaaje ??
Formula ya Matajiri ni ileile lalamika waoneshe uko kwenye matatizo,
Masikini wanapenda na kufurahi wakiona mtu unalalamika๐
Mzee wa nje ya box kigangwalla ameshinda hii vita.
๐๐๐ฉ๐ข๐๐๐๐ฌ ๐๐ฅ๐๐๐ | ๐ง๐ฎ๐ ๐ถ๐ป๐ด ๐๐ต๐ฒ ๐๐น๐ถ๐ฐ๐ธ๐: ๐๐ถ๐ด๐ถ๐๐ฎ๐น ๐ฅ๐ฒ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐ฃ๐ผ๐น๐ถ๐ฐ๐ ๐ฎ๐ป๐ฑ ๐๐ต๐ฒ ๐๐๐๐๐ฟ๐ฒ ๐ผ๐ณ ๐ง๐ฎ๐ป๐๐ฎ๐ป๐ถ๐ฎโ๐ ๐๐ฟ๐ฒ๐ฎ๐๐ผ๐ฟ ๐๐ฐ๐ผ๐ป๐ผ๐บ๐
TMC, in collaboration with the Internet Governance Tanzania Working Group (IGTWG), presents Issue 07 of the Tanzania State of Internet Governance Series an advocacy brief exploring the intersection of digital taxation, regulation, and the sustainability of Tanzaniaโs emerging creator economy.
As Tanzaniaโs digital landscape expands, platforms like TikTok, Instagram, and YouTube are becoming key sources of income. However, the introduction of taxation policies such as the 5% withholding tax on digital content creators, alongside restrictive regulatory practices, reveals a growing disconnect between revenue collection and ecosystem growth.
Key areas highlighted in the brief include:
โด๏ธ The rise of the creator economy as a driver of income and innovation
โด๏ธ The impact of the Finance Act 2024 on digital content creators and digital assets
โด๏ธ Internet shutdowns and platform instability as sources of economic disruption
โด๏ธ Limited access to global monetization systems and financial exclusion of creators
โด๏ธ The classification challenges and โidentity crisisโ of digital workers
โด๏ธ The need for a minimum taxable threshold to support micro-creators
โด๏ธ High data costs and infrastructural barriers affecting content production
โด๏ธ The role of digital infrastructure and payment systems in enabling growth
โด๏ธ Strategic policy recommendations for a stable, inclusive, and enabling digital ecosystem
This advocacy brief calls for a balanced approach where taxation is aligned with supportive regulation, ensuring that Tanzaniaโs digital economy remains open, predictable, and capable of driving innovation, employment, and inclusive growth.
๐ Read the full brief here: https://t.co/6CY3EzDwsl
#TMC #IGTWG #SIG2026 #TDC2026 #DigitalRights
Honored to welcome H.E. @SuluhuSamia at @Huaweiโs booth during the handover of 758 telecom sites & NICTBB project
Showcased our role in connectivity, digital inclusion & talent development plus next steps in AI, cloud & rural expansion
Proud to support digital economy journey.
Honored to welcome H.E. @SuluhuSamia at @Huaweiโs booth during the handover of 758 telecom sites & NICTBB project
Showcased our role in connectivity, digital inclusion & talent development plus next steps in AI, cloud & rural expansion
Proud to support digital economy journey.
Theย CAF Appeal Board decided that in application of Article 84 of the Regulations of the CAF Africa Cup of Nations (AFCON), the Senegal National Team is declared to have forfeited the Final Match of the TotalEnergies CAF Africa Cup of Nations (AFCON) Morocco 2025 (โthe Matchโ), with the result of the Match being recorded as 3โ0 in favour of the Fรฉdรฉration Royale Marocaine de Football (FRMF).
https://t.co/QKDI0FCKug