Miaka 2 iliyopita nilitoka jela. Mwaka jana nikanusurika jaribio la kuuawa na kuporwa pesa kadhaa.
Kitu pekee naweza kuwaambia ndugu zangu maisha yamenifundisha kuwa unaweza kupoteza kila kitu, lakini ukibaki na pumzi bado una nafasi ya kuanza upya.
Happy Birthday to me ๐
1+