"Nilizaliwa maskini… nikakulia jangwani… nikapindua mfalme… nikawa kiongozi wa miaka 42… lakini mwisho wangu ulikuwa mfupi kuliko risasi iliyoniua.”
Hayo yangeweza kuwa maneno ya mwisho ya Muammar Gaddafi, mtawala asiyependa kuitwa rais, kiongozi wa kipekee aliyekuwa na ndoto kubwa ya kuifanya Afrika kuwa bara huru, lenye kujitegemea kiuchumi na kisiasa.
Alitamani kuona Afrika ikiwa na sarafu yake ya dhahabu, benki yake kuu, jeshi lake la pamoja la ulinzi, na mfumo wake wa kibepari wa Kiafrika uliolenga maslahi ya bara hilo.
Kwa miaka mingi, Gaddafi alionekana kama shujaa kwa wengi barani Afrika, akitumia utajiri wa mafuta wa Libya kusaidia harakati za ukombozi na miradi ya maendeleo kote barani.
Lakini mwisho wake haukuwa wa heshima wala hofu kama anavyostahili kiongozi aliyedumu madarakani kwa zaidi ya miongo minne.
Aliuawa hadharani, akitembezwa mtaani kwa udhalilishaji wa hali ya juu, na mwili wake ukashushwa hadhi kabla ya kuzikwa mahali pasipojulikana huku akisema “Don’t shoot… what did I do to you?”
Hii ninmojawapo ya simulizi zenye maumivu makubwa, huzuni kubwa kwa bara la Afrika, na somo kuu juu ya siasa, uhuru wa kweli, na usaliti wa kimataifa.
Hii ni simulizi ya kuanguka kwa Muammar Gaddafimfalme wa Afrika aliyeangushwa na dunia aliyoiamini.
Thread 👇🏾 .
DESPITE ONLINE PROPAGANDA BY PAID ACTIVISTS IN KENYA: NO DEATH, NO INJURY, NO ARRESTS, NO DEMONSTRATION REPORTED IN TANZANIA
By Africa J&L Correspondent, Dar es Salaam
On December 9, Tanzania had an unexpectedly peaceful day, with no reports of violence, deaths, injuries, or demonstrations. This calm contrasted sharply with the chaos attempted by Kenyan online influencers led by Maria Sarungi, Cyprian Nyakundi, Mange Kimambi, and Hamza Mshaba who were reportedly paid to incite unrest. The influencers vented fury online over the lack of disruption, as no arrests, petrol station burnings, or shop vandalism occurred.
This followed heightened security after October's deadly violence, which claimed lives and destroyed property. Tanzanian law enforcement bolstered border controls to block looters and agitators from neighboring countries, especially Kenya. A key success was the November 18 arrest of Charles Onkuri Ongeta in Arusha, carrying a hand grenade. In ensuing weeks, thousands of illegal migrants were apprehended across regions, thwarting plans to deploy them for December 9 chaos.
Kenyan propaganda relied on misinformation, using outdated photos and videos to falsely show crowded streets and unrest. These were debunked quickly, with government officers issuing clarifications and urging safe Uhuru Day celebrations at home. Ordinary Tanzanians used social media to denounce the propaganda and condemn inciters.
The plot's foreign ties emerged two weeks prior, when Roland Malaba, linked to Sarungi's group, leaked details of a USD 2 million Ford Foundation payment for unlawful demonstrations. This revealed external funding for chaos that caused prior losses, aiming to destabilize the government.
Tanzania's proactive security and public vigilance ensured stability, highlighting resilience against external interference.
Countries That Have the Most Sex
1. 🇪🇸 Spain
2. 🇮🇹 Italy
3. 🇨🇭 Switzerland
4. 🇵🇱 Poland
5. 🇬🇷 Greece
6. 🇲🇽 Mexico
7. 🇧🇷 Brazil
8. 🇨🇳 China
9. 🇩🇪 Germany
10. 🇷🇺 Russia
11. 🇵🇹 Portugal
12. 🇺🇸 United States of America
13. 🇬🇧 United Kingdom
14. 🇦🇺 Australia
15. 🇲🇾 Malaysia