“Hakuna Bilionea Anayemiliki Harakati Hizi.”
Nguvu yetu ni wewe. Mia yako, elfu yangu, elfu mbili yake vikikutana vinajenga sauti ambayo haiwezi kunyamazishwa.
Kama unaamini Tanzania inaweza kuwa bora zaidi, usibaki mtazamaji. Kuwa sehemu ya mabadiliko.
M-PESA: CHADEMA HQ – 0744446969
NMB: 22606600140
#NguvuYaWananchi
#KilaShilingiInaHesabu
@swahilitimes Ameshasoma nyakati kwamba kwa kutumia jina lake.mambo yanazidi kuwa magumu kwenye utawala wake haramu,. Ukitamka tu hilo jina ni s
awa na kunawa damu za Sep 25 2025
@SuluhuSamia Mhe Rais naendelea kushauri kwa dhati Tundu Lissu aachiwe huru kwani kesi haikamiliki. Hekima na busara iliyokufanya kutangaza sera ya 4Rs mara ulipoingia madarakani ikuongoze tena katika jambo hili. Simulizi hizi za kutisha za vyombo vya habari vya kimataifa, zinaibua hisia kali hasa kwa vijana, hata wazee tumekumbushwa kadhia ya operation Sogeza iliyounda vijiji vya ujamaa 1974 -1976. Taarifa hizi zinaathiri kikubwa taswira ya taifa letu na maslahi yake. Athari ni kubwa. Tutafute muafaka kupitia uwajibikaji na maridhiano. Tuwe na hofu ya Mungu na kutambua miujiza yake mfano wa risasi 16 kushindwa kukomesha uhai ingawa maumivu ni makubwa. Tutubu na kusali kuliombea taifa letu kila mtu kwa imani yake.
Mkiambiwa wananchi wamechoka upumbavu hamtaki, angalia sasa mpaka “MHESHIMIWA WAZIRI” anazomewa wazi wazi mbele ya kadamnasi😂😂.
Kukimbia hawezi, kuzuia vyombo vya habari hawezi😂😂😂😂😂😂😂!!
Kazi nzuri WANANCHI, tutafika tu.
Good Job Watanzania, wow wow wow.
Hongereni Watanzania maana zamani hata kuwazomea hivi CCM tulikuwa tunaogopa ila sasa hivi hatuwaogopi tena hawa wauwaji na machawa wao.
Watanzania, video kama hizi zinatutia moyo wanaharakati wenu tuendelee kupambana kwa niaba yenu. Yani mimi personally nimeangalia video hii nikajiambia, it’s worth it kupigania nchi yangu, Acha ma cartel waje kuniua ila napigania watu ambao wako tayari kujipigania…..,
Mmejua kunipa raha mchana huu.
@tedcruz@SenatorShaheen@Europarl_EN This is the reality in Tanzania: the people have rejected Samia Suluhu and her regime. The moment her government was mentioned, the crowd erupted in boos. The minister wasn’t even given the chance to finish his sentence.
The only reason CCM remains in power is through killings, fear and force. Tanzanians are being held hostage at gunpoint, not governed with the consent of the people.
Macho ya dunia iko Tanzania kesho!
Tusiogope huu ni ushindi tayari kilichobaki ni kutokka na ku CLAIM VICTORY 💪🏽
DM ya @instagram mnaweza kunikuta sukumeni taarifa na video - mi nitahabarisha dunia hata ka wamezuia akaunti ya Instagram na Facebook Tanzania
Akaunti zangu zina followers wengi muhimu wa kimataifa!
Nitaendelea kuwasemeeni wapendwa MSIOGOPE! Wao wanaogopa kuliko sisi
Mungu atutangulie 🙏🏽
Sambaza huu ujumbe kwa ku copy and paste kote!
#77Tunatoka #FreeTunduLissu #SamiaMustGo #JusticeForMO29
Hii nchi ngumu sana!
Tanganyika ukitaka kuiona basi ni hapo TAMISEMI - ila sasa tumeletewa DC huyu Mohamed Hasan Moyo ambaye kwa mujibu wa taarifa ni mzanzibari!
Isitoshe kumbe ni baba watoto wa Wanu na ndo mume wa kwanza - Mchengerwa ni mume namba mbili! Yaani mmekosa nchi nzima mtu wa kumweka DC hapo?
Ama kweli wanaona Tanganyika ni kiosk chao cha Kizimkazi!
Nikiwaambia #SamiaMustGo muwe mmanielewa!
#TutaelewanaTu
Wananchi wanaendelea kudai haki kupitia chama kikuu cha siasa Tanzania.
Seriously, CCM kupata crowd kama hii ni lazma mabasi yawe prmbeni hapo na pesa za ziwepo za kulipa watu waende ila Chadema, wananchi wanaenda kwa nguvu zao wenyewe na pesa wanatoa…
CCM sio chama kikuu tena Tanzania, ukifanyika uchaguzi leo hii CCM ikipata wabunge 10 kwenye majimbo itakuwa maajabu, kwenye urais ndio kabisa. CCM inawekwa madarakani na vyombo vya usalama na mahakama. CCM wao kama wao hawana nguvu ya umma anymore, walichonacho CCM kwa sasa ni SILAHA za kuwasaidia kushikili nchi kinguvu. Na historia ya dunia inatuonyesha kuwa utawala wa hivi huwa una mwisho mbaya na wananchi huwa wanashinda mwisho wa siku.
Mwalimu, Mpigania Haki ,Wananchi wa Tarime tunakukumbuka namna ulivyotutetea kwenye sakata la mgodi wa North mara (Barick nyamongo). Samia mwachieni Lissu sio Mhaini historia yake inajieleza yenyewe #FreeTunduLissu#KatibaMpya
AIBU YA MWAKA HUKO RUSIA KWA MWENYE PhD 8
SWALI ALILOULIZWA SAMIA KWA MARAISI WA CCM NI MPAKA au NYERERE TU WANGETOBOA.
Samia ameulizwa swali na mwandishi wa Habari wa Russia, tena kwenye mkutano ambao uko chini ya control ya serikali au Putin. Swali limeulizwa: 'Sisi tunafanyaje maendeleo na ushirikiano wakati kuna vikwazo?' Wakati swali linaulizwa, unaona Putin anatabasamu kwa bashasha kubwa, maana hapo ndipo Putin alitaka kujua: 'Hapa tuna rafiki au msanii tu?'
Malengo ya lile swali hili ilikuwa ni Samia ongee akiwa kwenye ardhi ya Russia na kupeleka moto mkali kwa Marekani na Ulaya. Haya ni maswali ya kijasusi, si maswali ya moja kwa moja kujibiwa kienyeji kama alivyofanya, akaanza kulia kwamba ana uhusiano na Ulaya hakuna vikwazo.
Hahaha, Putin yeye hana la kumtisha na Ulaya au Marekani, alitaka sasa aone Samia akijitoa kwenye network na kuongea kama kiongozi wa Korea Kaskazini na kujipiga kifua kwamba sisi vikwazo siyo kitisho kwetu, tuko huru, bla bla, tunasimama wenyewe, hatutaki kuingiliwa.
Hayo ndiyo majibu Putin alikuwa anasikiliza, sababu kwa mazungumzo ya chumbani, Samia najiona mwamba kwamba yeye atishiki. Sasa walimtia pale kwenye ubao aongee tena hayo anayosema. Akashindwa, na mbaya zaidi, akabadilisha na lugha kabisa kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili.
Kwa wenye akili kama ya Putin, washajua kwamba hapo hakuna mtu ni msanii tu anasaka pesa, Putin sio boya alisha mseti aseme mbele ya Dunia.
Swali lenyewe liliunganishwa kwenye angle ya Ukraine, kama angekuwa na akili kidogo kusoma chumba, angesoma kwamba hapo ni wakati wa kuchagua mchumba mmoja, Rusia au Magharibi, akaamua kutembelea vyombo vyote. Kitu ambacho hakimsaidi ni kwamba kuwa na Putin tu pale ni kimeo.
Putin kweli, malengo yake yametimia, wewe mwenye PhD 10 umeshindwa kuelewa walioulizwa nini. Anaruka akisema mimi sina vikwazo. Mwandishi wa Habari wa Urusi ametumwa na serikali ya Urusi, wanajua vikwazo vyanavyo, sasa unaambiwa na Urusi una vikwazo, wewe unamkatalia KGB? Wao wanafanyia kazi mambo ya mbele, wamesha confirm kwamba unapigwa vikwazo kila kona, unakana?
Kwa kifupi, Rusia walikua wanamwambia Samia: kwamba wewe una vikwazo tayari je tunasonga vipi mbele na wewe? Kama uwezi kukoma kwenye mazingira ya vikwazo hatuna cha kufanya na wewe, na Samia ameshindwa kuonyesha mkakati alionao ili kufanya ushirikiano akiwa na vikwazo.
Kwa Dunia ya sasa hakuna Kiongozi yeyote anayekwenda Rusia kwa sasa ambayo bado anapambana kuwa na mahusiano na Ulaya na Marekani, unapo chagua ushirika na Rusia unaachana na ushirikiano na Mataifa hayo mengine, haiwezekane ukalamba kotekote sababu hali ya sasa Dunia inakataa kutokana na Rusia kuwa kwenye mgogoro wa Kijeshi na hayo mataifa mengine.
Hivi inawezekana vipi Ulaya wakaachana mpaka na nishati ya Gas ya kutoka Rusia wananchi wao wakateseka, halafu Tanzania ikaenda Rusia kufanya biashara na Mrusi kisha Tanzania hiyo hiyo ikaenda Ulaya na Marekani kufaidia na misaada na biashara pia ? Huu ujinga mbona ni wa kiwango cha lami? Matarajio ya kila mtu ilikuwa ni hii safari ya maCCM huko Rusia ni kufunga ndoa na Rusia na kuachana na Magharibi yenye masharti mengi ya haki za binadamu na demokrasia kwamba hii ndio ilikuwa point ya safari .
Kwa hiyo Suala la vikwazo lilikuwa si la kukana; lilikuwa la kuelezea yeye, Samia, anapitisha vipi serikali ya CCM kwenye hivyo vikwazo au anakomaa vipi kwenye ushirikiano wake na Russia wakati huo akiwa na vikwazo hapo Putin angepima kama amepata mdau. Akili zimeganda, mnakomalia madaraka. Unakubali kwenda kuongea mbele ya media za nchi zinazosoma usichosema. Rusia ni majasusi wanajua vizuri Tayari ni suala la muda tu kina umma vikwazo vinakuja, sasa unawabishia
Rusia wanajua nini kilitokea Tanzania, Lakini wanajua mambo ambayo Samia amezungumza baada ya kufanya mauaji ( nimeweka video moja hapo chini) , Nchi kama Rusia unapokwenda wanakuchungulia kwa darubini , KGB wanafanyakazi yao vizuri kujua mgeni ni wa aina
@privaldinho Ni furaha kuona wamefungwa, mji umetulia hatutasikia tena majigambo ya machawa kumsifia bibi yeny chura kiziwi. Hamasa za kichawa haziwezi kusaidia katika michezo hususani soka. Hizo 500m alizo ahidi sasa azipeleke kwenye shule zenye uhaba wa matundu ya choo. CCM oyeee
Hii video ndio sababu sitokaa kurudi tena kwenye umbea mpaka haki ipatikane Tz. I feel like nina deni kubwa la kuhakikisha hivi vifo vinapata haki na vinaleta haki kwenye nchi. This video ndio sababu I will never abandon the movement.
Kwa mara ya kwanza leo naposti full clip.
Video ya kwanza ndio original video. Video ya pili ndio video niliowapostia Watanzania, nilikata jina langu. I did this to a number of videos za Arusha. For some reason vijana wengi wa Arusha walikuwa wanasema “Dada Mange ona wanatuua” au “Mtumie Mange Kimambi aone”. Nitaachia na video zingine nilizokata jina langu.
The reason I’m posting this today ni sababu wauwaji wanalipa watu kusema kuwa hawa vijana walilipwa.
@SuluhuSamia kwanini hawa vijana hawakuita jina la waliowalipa waandamane? Instead wanaita jina la dada yao aliewapa elimu ya umuhimu wa kuandamana ili kudai haki kwenye nchi yao?????? Au niliwalipa mimi???
Vijana wa Tanzania naomba mjue, I’m in this fight mpaka haki ipatikane Tz au mpaka siku nakufa…… Hakuna kitu kingine nitafanya kwenye mitandao zaidi ya kudai haki juu ya vifo hivi….