Anaitwa Djaro Arungu ukipenda muite Baba Mzazi Baba๐
Mwamba aliumiza sana na kipindi chake cha Bungua Bongo watu wazima na ndevu zao walikuwa wanakula sana mikwaju๐๐
Sema jamaa anajua sana kuwapambania wasanii wanaochipukia aliifanya Tanzania iwajue mpaka wasanii wa Tarime huko akina Chifu Maker na Best Naso kila kipindi chake ilikuwa lazima agonge ngoma zao alihusika kumpaisha sana na Lukuga (Diamond Platnumz)
Kipindi cha kombe la dunia 2010 alikuwa anagonga sana nyimbo za wasanii kulikuwa na shindano la nyimbo kali inayohusu kombe la dunia humo ndani hadi Mr Ebo alishiriki huo mtanange ilikuwa balaa sana๐๐ฅ
Jamaa ana roho safi sana acha ashinde tuzo tu
Mademu wanao tumia dildo peleka moto huwezavyo kila akikojoa unamuona bado anataka tena oya ๐๐๐
Mimi ndimana dildo sizipendeleagi sana
Tazama video ๐๐๐
Huyu Saada Mkuya Salum amekua mbunge na waziri wa fedha huku bara..
Maneno muhimu kutoka kwako:
Unaelekeza mtu akienda hospital akitoa kitambulisho cha Taifa asitibiwe mpaka atoe cha Mzanzibari!!!! Ni mtu gani anaweza kuwa na kitambulisho cha Mtanzania lakini hana cha Mzanzibari?
Bila shaka ni mtu kutoka Tanganyika.
Umesema hatuna uwezo wa kutibu watu milioni 60 ambayo hiyo ni idadi ya Watanzania ambao wengi ni Watanganyika.
Je kuna siku wote wamevuka kuja kutafuta matibabu huko?
1. Saada unaweza kuwambia watu deni la Taifa ambalo kila mwezi tunalipa karibia trilioni moja na kadhaa ni kiasi gani kinatoka kwenye makusanyo ya Zanzibar?
2. Serikali za mitaa sio suala la muungano kwa katiba yetu,
Je unajua kuna wakurugenzi wa halmashauri za miji na majiji wameteueliwa kutoka Zanzibar huku Tanganyika?
Unajua kuna MADC wengi tu wameteueliwa kutoka Zanzibar wako huku bara?
Umefuatilia kwenye idara za madini, utaliii na wizara nyingi ambazo sio za Muungano kuna wakuu wa idara wangapi, wakurugenzi wa idara na maafisa wangapi kutoka Zanzibar?
Unataka Watanganyika wanaoishi huko wabaguliwe na wasipewe matibabu kwasababu ya kukosa kitambulisho cha Mzanzibari hata kama ana matibabu kadi ambayo ni sawa na bima ya afyaโฆ.
Je Wazanzibari wanaoishi huku Tanganyika na wana bima za afya za NHIF nao wanyimwe matibabu?
Huyu ni waziri wa pili ndani ya mda mfupi kutoa kauli za kibaguzi dhidi ya Watanzania wengine na hakuna kauli yet kutoka kwa aliewateuaโฆ Kwahiyo huu ndio msimamo wa ccm na ndio msimamo wa wateuzi wao.
Nani anaewatuma hawa kusema haya? Maana sio bahati mbayaโฆ nani anaewatuma kuwabagua Watanganyika?