Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Martin Chegere ameandika historia kwa kuwa mmoja ya Watanzania wenye umri mdogo zaidi (miaka 39) kuwahi kufikia ngazi ya Profesa.
Taarifa ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ya Juni 25 2026 imeeleza kuwa, Profesa Chegere amefikia ngazi hiyo (Associate Professor) Juni 24, 2026 kwa kupanda akitokea ngazi ya Mhadhiri Mwandamizi, baada ya kupata alama 8.39 kwa ukufunzi, utafiti na machapisho ya tafiti za kiakademia.
Yan kabla ya mwaka 1961 kuna mwamba alishakuwa na PHD tayali..
Wakati huo wachaga lundo wana master.
Hizo bachelor kama utitili.
Wakati huo sisi pale Nyasa tuna Mwanaume wakauitwa Oscar Kambona kaenda kuoa Uchagani na kufunga ndoa mambele 😅🙌
Tusiache kujifunza kwa walio Tangulia ila kwa Wachaga ni kujiumiza kamwe hatuwezi kufanana nao.
Queen Nanny of the Maroons.
Born 1686: Ghana 🇬🇭
Died 1733/1750: Jamaica 🇯🇲
For over 30 years it is said she fought and freed over 800 enslàved people on the island of Jamaica. There are many stories about her, it is said she was a queen in Ghana from the warrior Ashanti tribe when she was captured and brought to Jamaica where she later escaped and led an armed revolt against the British Empire in the mountains and jungles of Jamaica for two decades.
It is said she used guerilla warfare to fight the B.ritish who suffered great loss and later settled with a peace treaty to spare their men. She was said to also be a powerful spiritual voodoo priestess who would use her powers to shield her fighters from the attacks of the British.
One British officer who was lucky to survived her encounter described her as being small, muscular and strong with intense eyes. She wore a girdle with at least 10 different combat kn iv es. Queen Nanny is Jamaica's only female hero and there are still Maroons living in Jamaica today.
🏛️ THE SEVEN WONDERS OF THE ANCIENT WORLD
From the Great Pyramid of Giza to the Lighthouse of Alexandria, these legendary monuments showcase the brilliance, ambition, and engineering genius of ancient civilizations.
🌍 Built to inspire. ⏳ Remembered forever.
#History
A man spends 50 years teaching at MIT.
He knows his time is running out.
So he records one last lecture — everything he knows, distilled into a single hour.
He died 5 months later.
This is that lecture.
The most important hour you'll watch this week. 👇Bookmark it for later
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye kikao cha kupokea Taarifa ya Sensa ya Wanyamapori iliyofanyika nchi nzima mwaka 2024 – 2025 iliyowasilishwa na Waziri ya Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji kupitia Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI), tarehe 29 Mei, 2026 Ikulu Dar es Salaam.
"Ukitumwa upeleke ujumbe mbaya kwa mtu usiufikishe kama ulivyoupokea. Uchuje uondoe mihemko na hisia ubakishe hoja tu. Binadamu ana hulka ya kutuma ujumbe mkali sana akipitia kwa mtu kuliko akiufikisha mwenyewe usoni kwa mhusika. Ukiufikisha kavukavu utageukwa na aliyekutuma."