Umechagua kia kinyume na kweli ya Mungu, umechagua kia kinyume na Haki, umeamua kwa makusudi kua kinyume na MADHABAHU YA KANISA,Umepigana kupata UONGOZI WA JUU WA KANISA #UASKOFU KWA MASLAHI YAKO BINAFSI, HII KAULI UTAIJUTIA KTK UHAI WAKO. WEWE NI #CHAWA.
Malezi mazuri ni kuwa kinyume na dhambi na kuwa mstari wa mbele ktk kudai haki na usawa.Hivi ndivyo Biblia inavyotaka.Yesu alisulubiwa na Mamlaka(Serikali).Rudini Bible School mkajifunze na ombeni Roho Mtakatifu awasaidie.Hamtaenda mbali kama mkikaa kimya dhidi ya uovu unaotendwa na Serikali huku mkiwa mmesimama madhabuni mkihubiri amani isiyojali haki.Mungu yuko kazini atainua watu waliolelewa kushauri,kuonya na kukemea dhambi na uasi kwa mtu yoyote na chombo chochote.TAFAKARI MALEZI YAKO.
SADAKA YA TUNDU LISSU.
Jumapili ya leo tunamtolea sadaka Mh. Tundu Lissu akiwa Gerezani ili kuwezesha Chama chake kiweze kufanya Baraza kuu.
TUMA SADAKA YAKO.
M-Pesa
Namba: 0744446969
Jina: CHADEMA HQ
NMB Bank
Namba ya Akaunti: 22606600140
Jina la Akaunti: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
TAARIFA YA MCHANGO WA KIKAO CHA BARAZA KUU LA CHADEMA
Hadi sasa, tumepokea jumla ya Shilingi 7,300,000 za michango kwa ajili ya kuwezesha kufanyika kwa Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitakachofanyika tarehe 15 Septemba 2026.
Jumla ya gharama zinazohitajika kwa ajili ya maandalizi na uendeshaji wa kikao hicho ni Shilingi 334,000,000. Tunawaalika wanachama, wapenzi, marafiki na wadau wote wa CHADEMA kuendelea kutoa michango yao ili kufanikisha shughuli hii muhimu.
CHANGIA SASA
M-Pesa
Namba: 0744446969
Jina: CHADEMA HQ
NMB Bank
Namba ya Akaunti: 22606600140
Jina la Akaunti: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Amkeni, Jumuiya ya Madola leo Tarehe 10/7/2026 Wamemchabanga vikali Samia na Genge lake la CCM, lamtaka ndani ya siku 90 wamuachie LISSU!!
Nikifa Leo ,hata kwa hiki tu kidogo , nilifika Mbinguni nitafurahi na Malaika, Nina hakika 100% Wanangu wataiona Tanzania Mpyaaaaaa ,NCHI ya Asali na Maziwa
Hatimaye, Yale mabilioni ya Fedha ya yule Bwana Waziri akizunguka Ulaya na Marekan kuyagawa , akiuza Rasilimali za NCHI ili Wauaji wa Oktoba 29, wafumbiwe macho, Yamekwenda Bureee.
Mambo unamdanganya Mama , Mombooo kweli kabisa🤣
Sasa kama Mna akili, Hawa NDIO ANAGALAU WANA UNAFUU, Mapendekezo haya mkiyafanyia Kazi ,yatazuis Hatua mbaya na za Juu kabisa kuwahi kushuhudiwa kwa WANA CCM.
EU akija kusema, US akahonga Muhuri, Mamaeeee tukutane ICC.
.
‼️AMKENI KIMENUKA HUKO JUMUIYA YA MADOLA (COMMONWEALTH)‼️
COMMONWEALTH MINISTERIAL ACTION GROUP
WAMETOA RATIBA YA HATUA ZA UTEKELEZAJI KWA TANZANIA NDANI YA SIKU 30, 60 NA 90
Pamoja na mambo mengine Serikali haram ya Nduli Idd Amin Mama imepewa siku 30 iwe imetatua suala la kuzuiliwa kwa Mhe. @TunduALissu kupitia njia ya kisiasa na kisheria lakini pia kuwaachilia huru watu wengine wote wanaoshikiliwa kwa sababu tu ya kutumia haki zao za msingi kwa njia ya amani.
Ndani ya siku 60 wameambiwa warejeshe upatikanaji kamili wa majukwaa ya kidijitali (digital platforms) kusitisha vitendo vya vitisho na unyanyasaji dhidi ya vyombo vya habari na watetezi wa uhuru wa kujieleza.
Ndani ya siku 90 wahakikishe waitishe jukwaa la kuaminika na shirikishi la mashauriano kati ya vyama vya siasa, likiwa na wawezeshaji wasioegemea upande wowote yani Jukwaa hilo liwe na mamlaka ya kujadili na kukubaliana kuhusu marekebisho ya mfumo wa uchaguzi, ushindani wa kisiasa, suala la watu waliowekwa kizuizini na uwajibikaji.
Lakini pia wametoa Onyo la Septemba 2026 kwamba Tanzania imeamriwa kuwasilisha ripoti ya utekelezaji wa mambo hayo kabla ya mkutano maalum utakaofanyika Septemba 2026.
Onyo la Novemba 2026 (Hatua Kali): Jumuiya ya Madola imetoa onyo la mwisho kwamba isipoona maendeleo yoyote kufikia Novemba 2026, itachukua hatua kali zaidi dhidi ya Tanzania (ambayo kwa sasa tayari ipo chini ya uangalizi kwenye Agenda Rasmi
Ukisikia maji yalelowana na moto umeungua ndo kama hivi.😂😂😂
Kama kuna utamaduni hatari uliokita mizizi Tanzania leo, basi ni uchawa. Ni janga kubwa kuliko saratani kwa ustawi wa taifa. Unaua ukweli, unahalalisha uongo, unazika uwajibikaji, na kuwafanya wanaosema kweli waonekane maadui. Hakuna taifa linaloweza kujengwa kwa sifa za kupangwa na kuabudiwa kwa viongozi. Taifa hujengwa na ukweli, uwajibikaji, na ujasiri wa kukosoa pale panapokuwa na makosa. Uchawa si uzalendo; ni adui wa maendeleo na kikwazo cha haki.
Serikali ya Tanzania imepewa siku 30 na Kikundi cha Mawaziri cha Jumuiya ya Madola (CMAG) kutatua suala la kuzuiliwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) taifa, Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa na kisheria, na kuwaachia huru watu wengine wanaoshikiliwa kwa sababu ya kutumia kile kilichotajwa na Jumuiya hiyo kama haki zao kwa amani.
Maelekezo hayo yametolewa Julai 10, 2026 katika mkutano wa pamoja wa dharura wa CMAG ulioambatana na kutolewa tamko hilo ambalo limetaka pia kufanyika kwa jukwaa la mashauriano linaloshirikisha vyama vyote vya siasa Tanzania ndani ya siku 90 ili kujadili mageuzi ya mfumo wa uchaguzi, ushindani wa kisiasa, masuala ya mahabusu na uwajibikaji, na ndani ya siku 60 irejeshe uhuru kamili wa matumizi ya mitandao ya kijamii.
CMAG pia imeamua kuendelea kuiweka Tanzania kwenye ajenda yake rasmi, ikisema pamoja na hatua chache zilizopigwa tangu maamuzi ya mkutano wake wa Desemba 5, 2025, bado yapo maeneo muhimu ambayo hayajatekelezwa. Kikundi hicho kimetaka kuondolewa kwa vikwazo vinavyohusu uhuru wa kukusanyika, kujieleza, shughuli za asasi za kiraia na vyombo vya habari, kufanyika kwa mazungumzo ya kisiasa kati ya vyama, pamoja na kuwepo kwa uwajibikaji kwa wahusika wa matukio ya vurugu na fidia kwa waathirika pale inapostahili.
Hata hivyo, Serikali ya Tanzania kupitia kauli za viongozi wake wa ngazi ya juu imekuwa ikisisitiza mara kadhaa kuwa haiwezi kuingilia mwenendo wa shauri la Tundu Lissu kwa kuwa suala hilo liko mahakamani, wamekuwa wakieleza kuwa Tanzania ni nchi huru na yenye mamlaka kamili ya kujiamulia mambo yake ya ndani hasa utawala wa nchi, utekelezaji wa sheria na masuala ya ndani ambayo yanaendeshwa kwa mujibu wa Katiba na sheria za Tanzania, bila kushinikizwa au kuamuliwa na mataifa au taasisi za nje.
Tamko hili limejiri baada ya mkutano huo kupokea ripoti ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola kuhusu ziara ya Mjumbe wake Maalum nchini Tanzania, Dkt. Lazarus McCarthy Chakwera (Rais mstaafu wa Malawi) ya mwezi Aprili, 2026. Wakati wa ziara hiyo, Chakwera alikutana na Rais Samia Suluhu Hassan, viongozi wa Serikali, viongozi wa vyama vya siasa, wawakilishi wa asasi za kiraia, viongozi wa dini, Tume ya Uchunguzi ya Matukio ya Wakati na Baada ya Uchaguzi wa Oktoba 29 pamoja na wadau wengine.
CMAG imekubali kukutana tena kwa dharura mwezi Septemba 2026 kupokea ripoti ya maendeleo kutoka Tanzania. Katika mkutano wa Novemba 2026, CMAG itafikiria kuchukua hatua zaidi iwapo hakutakuwa na maendeleo yaliyotarajiwa.
Aidha CMAG imesema Jumuiya ya Madola iko tayari kutoa msaada wa kiufundi kwa maombi ya Tanzania na itandelea kushirikiana na Umoja wa Afrika (AU), SADC, EAC, na Umoja wa Mataifa (UN).
Baba - Raisi Mstaafu.
Mama- Mbunge.
Mtoto: Mbunge & Waziri.
Lazima utuone tunaodai KATIBA MPYA hatuipendi AMANI ya hili taifa.
Tunataka KATIBA MPYA tukomeshe HUU UPUMBAVU.
Hii ni nchi ya watu zaidi ya milioni 60 haiwezekani miaka nenda RUDI ni nyie tuu na familia yenu kama hii nchi ni URITHI WA UKOO WENU.
Tunataka katiba mpya tusafishe huu uozo wote huu.
🚨LEO TUNAAMKA NA HABARI KUBWA ANZA KWA KUREPOST.
COMMONWEALTH MINISTERIAL ACTION GROUP
WAMETOA RATIBA YA HATUA ZA UTEKELEZAJI KWA TANZANIA NDANI YA SIKU 30, 60 NA 90
Pamoja na mambo mengine Serikali haram ya Nduli Idd Amin Mama imepewa siku 30 iwe imetatua suala la kuzuiliwa kwa Mhe. @TunduALissu kupitia njia ya kisiasa na kisheria lakini pia kuwaachilia huru watu wengine wote wanaoshikiliwa kwa sababu tu ya kutumia haki zao za msingi kwa njia ya amani.
Ndani ya siku 60 wameambiwa warejeshe upatikanaji kamili wa majukwaa ya kidijitali (digital platforms) kusitisha vitendo vya vitisho na unyanyasaji dhidi ya vyombo vya habari na watetezi wa uhuru wa kujieleza.
Ndani ya siku 90 wahakikishe waitishe jukwaa la kuaminika na shirikishi la mashauriano kati ya vyama vya siasa, likiwa na wawezeshaji wasioegemea upande wowote yani Jukwaa hilo liwe na mamlaka ya kujadili na kukubaliana kuhusu marekebisho ya mfumo wa uchaguzi, ushindani wa kisiasa, suala la watu waliowekwa kizuizini na uwajibikaji.
Lakini pia wametoa Onyo la Septemba 2026 kwamba Tanzania imeamriwa kuwasilisha ripoti ya utekelezaji wa mambo hayo kabla ya mkutano maalum utakaofanyika Septemba 2026.
Onyo la Novemba 2026 (Hatua Kali): Jumuiya ya Madola imetoa onyo la mwisho kwamba isipoona maendeleo yoyote kufikia Novemba 2026, itachukua hatua kali zaidi dhidi ya Tanzania (ambayo kwa sasa tayari ipo chini ya uangalizi kwenye Agenda Rasmi
Acha kuendelee kuwaka.
TUTAKUWEPO🫵🏾😎
SAUTI ZA MAGAIDI ZIMEMFIKIA JOHN HECHE.
Baada ya maombi ya magaidi wa haki kutaka Mh. John Heche atoe namba ili waweze kumuokotesha maokoto, nimepata wasaa wa kuzungumza na Mh. Heche nimemueleza kuwa kuna comment zaidi ya elfu 5 wanataka utoe namba wakumwagie mapesa ya kigaidi.
Jambo la kheri ni kwamba HECHE ameona asitoe namba tu ila kutokana na umuhimu wenu kwenye mchango wa kupigania haki amesema anakuja na neno kwenu kwahiyo kaeni rada maelekezo yenu yamefanyiwa KAZI.
Huu ni mzuka wa kigaidi hatuwezi kusimangwa tukavumilia sasa tunaenda kuteka mifuko yote ya Tone Tone, nchi nzima itasimama kwa muda magaidi watafanya Doria kwenye mifuko yao.
Kwa sasa Heche ndiye Mwenyekiti wa CHADEMA hadi Lissu atakapokuwa huru. Utake usitake
Sasa Heche ndo mwenye kauli ya mwisho CHADEMA. Anafanya chochote kutokana na Vikao vya chama.
Hii taarifa kwa CCM wote wanaohisi Heche ni Makamu mwenyekiti. Kwa katiba ya Chadema, kwa sasa ndiye Mwenyekiti. Mlingoti chuma bendera chuma.
Heche mnamuona mdogo lakini kiti chake kikubwa. Ndiye anayeamua Siasa za Tanzania ziendeje. Akisema hakuna maridhiano ni hakuna.
Hata mkitaka kumchafua, hachafuki, hana makandokando, hakwepi kodi, mcha Mungu.
Hata mumtukane hajibu.. Yeye kazi yake ni moja tu, kuifikisha Tanzania nchi ya ahadi.
Safari hii chama cha Wauaji, Mafisadi na Watekaji mtanyooka. Haogopi wala hatishiki.
Chuma kwelikweli. 💪
MUNGU akutunze kwakuibeba Tanzania na Watanzania mabegani mako kuwapambania haki, MUNGU awabariki wanaharakati wote na wote wenye nia njema na nchi yetu
MARATHON KUFIKIA TSH. MILIONI 334 INAENDELEA!
Safari ya kujenga nguvu ya mabadiliko inaendelea. Lengo letu ni kukusanya TSh. Milioni 334 ili kuwezesha kufanyika kwa Kikao cha Baraza Kuu kitakachofanyika Septemba 15, 2026.
Mpaka sasa tumefanikiwa kukusanya TSh. Milioni 10, lakini bado tuna safari ya kufikia lengo letu. Zimebaki siku 64 pekee.
Kila mchango, mkubwa au mdogo, una thamani. Changia leo na uwe sehemu ya kuhakikisha Baraza Kuu la Wananchi linafanyika kwa mafanikio.
CHANGIA KIKAO CHA BARAZA KUU KITAKACHOFANYIKA TAREHE 15/09/2026
M-Pesa
Namba: 0744446969
Jina: CHADEMA HQ
NMB Bank
Namba ya Akaunti: 22606600140
Jina la Akaunti: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Nilitaka kusema, “Tazama huyu mtoto wa Rais Mstaafu Kikwete anavyojipotezea heshima waziwazi.” Lakini nikasita, ndipo nikagundua kuwa mtu hawezi kupoteza kitu ambacho hana.
"Nakutaka utuombe radhi kwamba hatujui tunachokitaka, sisi Young generation (Gen Z) tunajuwa tunachokitaka, ndio maana hawa wanaofanya wanayoyafanya wanajuwa kwamba hawawezi kutupa tunachokitaka kama vijana wa Gen Z" - Rukaya