USHAURI BORA KABISA KUTOKA KWA PROFESA ASSAD
Msisahau kupima H.Pylori ,dundumio ,mafuta ,sukari,brusela 🧫. Haya matatizo ni balaa jipya mjini 🏙️⚠️.
Credit: Cloudsmedia @cloudstv
#doktamathew 👨⚕️ #fyp#highlights#viral 🔥📈
SARIKALI ILIFANYA MACHAFUKO YA KUUA NA KUTEKA WATU, WANANCHI WAMEFANYA MACHAFUKO YA KUCHOMA MOTO MALI ZA NCHI.
Serikali imelalamikiwa mara nyingi juu ya machafuko ya utekaji, mauaji imekaa kimya haikuchukua hatua yoyote, Serikali imelalamikiwa juu ya upotevu wa pesa za umma kwenye Ripoti ya CAG inayotolewa kila mwaka imekaa kimya, haya hayaja iumiza Tanzania tu bali tujikumbushe ya Kenya.
Kenya mwaka 2007 yalitokea maandamano makubwa kipindi cha uchaguzi kama yaliyotokea Tanzania watu zaidi ya 1500 waliuwawa.
Wakenya walichoma mali za Serikali na vibaraka wake, maandamano yale yalipelekea Kenya ikapata katiba mpya ili kukomesha machafuko mengine yasijirudie ndio maana leo wakenya wakiandamana hawachomi moto mali za umma, leo Tanzania imepita katika mapito yaleyale ya Kenya ya 2007 badala viongozi wawape wananchi walichokuwa wanakitaka wao wanaaidi kupambana na wananchi wenye maumivu makali mioyoni mwao ambayo hayajapata tiba.
Wapeni wananchi KATIBA MPYA hii ndio Dawa ya kukomesha machafuko vinginevyo hamtakuwa salama.
Jiulizeni Mlimuua Ally Kibao, Mlimuua Alphonce Mawazo kwa kumkatakata kwa mapanga na Mashoka yaani kifo cha kutisha, Mkamteka Mdude Nyagali Damu yake ikatapakaa Ardhini, Mmemteka Deusdedith Soka, Mkamteka Humphrey Polepole damu yake ikatapakaa Ardhini mmeteka watu zaidi ya 200 kabla ya uchaguzi.
Hayo yote hayakuwafanya watanzania waogope na hawakuogopa kwa sababu hayakuwapa walichokuwa wanataka, ambacho ni mateka wote waachiliwe huru, Tume huru ya uchaguzi, Katiba Mpya,Mahakama huru na Bunge Huru.
Kwahiyo Serikali ya Samia Suluhu Hassan inataka damu za watanzania zaidi ya 3000 ziende bure? Wakenya walijenga nchi yao kwa Damu ya zaidi ya watu 1500.
Leo mmeelekeza bunduki kwenye vichwa vyao, matumbo yao na miguu yao mkawauwa kama panya, msidhani mmetibu tatizo bali mmeongeza tatizo.
Wapeni wananchi wanacho kitaka kwani awamu ijayo hawata choma moto mali za umma bali watawachoma moto wale waliopuuza kilio chao cha muda mrefu.
REPOST
Imeandikwa na
Twaha Mwaipaya.
Share isomwa zaidi.
TUTAKUWEPO🫵😎
"Uwanja wa uchaguzi hauko sawa, mfumo mzima wa uchaguzi umeharibika unahitaji kusukwa upya, ndiyo maana CHADEMA inasema 'No reforms no election' CHADEMA kamwe haitaomba huruma, hisani au fadhila kutoka kwa wananchi au serikali, CHADEMA inapigania haki yake ya kushiriki katika mfumo huru na wa haki wa uchaguzi, chama hiki kinajengwa na hoja na kuwashawishi Watanzania kuona kwamba kina viongozi wa kuiongoza nchi hii," - Dkt. Rugemeleza Nshala, Mwanasheria Mkuu wa @ChademaTz
#CHADEMAPress
#EastAfricaTV
Mnaumiza, mnateka, mnapoteza na kuua watu. Mnapora chaguzi kwa mtutu wa bunduki. Watu wakiwa kimya hiyo ndiyo amani kwenu. Lakini watu wakilalamika mnasema ni wavuruga amani. Viongozi wa dini wakiungana kutetea na kudai mfumo wa haki mnawaita ni wachochezi. Shoka liko shinani!
Kuna CHEAT CODE unaweza kuitumia kwenye BEI ili uweze KUCHEKECHA UBONGO wa your next paying customer.
The key is AJIONE unampa VALUE, kumbe wapi!
What I must also mention,
Usi FALL kwenye MTEGO ya ku ASSUME wateja wana uelewa mkubwa na the VALUE unaowapa.
CHEKECHA!
🧵
Unaweza KUAMINI nili EDIT picha hizi ndani ya dakika 1 kwa kutumia AI tu? Tena FREE!
Kama unauza perfume, nguo, INFACT biashara yoyote yenye bidhaa, hauna haja kumtafuta mpiga picha na kuingia gharama nyingine
Zama za kutafuta location kali is OVER!
It's as SIMPLE as 1 2 3
🧵
@fbuyobe Hii inanikumbusha hii movie 🍿 GHOST SHIP ya mwaka 2002. Baada ya kuonekana picha kwenye satellites ya Meli ya ajabu iliyozama baharini mwaka 1962. lakini, wanabaini kuna kitu hakiko sawa team ya mabaharia wakaanza utafiti. https://t.co/bgW3oZEMSb
@bigi047 Hii huenda ilikua Siku ya Valentines Day, wamevali Red, Mwana ndio anaenda kupiga Show ndio maana ametangulia na amemsaidia kubeba ki-bag kabla ya tendo mwanaume tunaonyesha ushirikiano kusaidia hata kuvua nguo. Baada ya hapo kila mtu anajisaidia mwenyewe
Kwa Uhitaji Wa MaBati Bora ya #ALAF. Dar es salaam, Dodoma & Ruvuma na mikoa mingine. Naomba Nikuhudumie Ubora Mkubwa Bei Nafuu # 0762503489. FTH Biashara & Services