@Drudysseus Our God deserves the honour and praise for this Grace! We thank our God for this grace to reach 12! We are believing for great future ahead! Happy Birthday Neria! Much Love and kisses! Bibi!β€οΈπ₯°ππ
@nickmangwana great news important forvour governments in Africa to reduce unnecessary lavish expenses and prioritise investing in Services that help the people grow economically
@Chris__X__ I stand in prayer for your son and your family and call upon God Almighty by all the names He is known for to stretch His strong right hand and heal your son! May the precious blood of Jesus wash away the disease and make him whole. May God give you strength in this trying time!
@kabwelahoi @DignaFocus@mwigulunchemba1 Katiba mpya ni muhimu itasaidia kurekebisha maeneo ambayo yamepitwa na wakati na kuzingatia mazingira mapya ya kiuchumi kisiasa na kimazingira. Lakini hata iliyopo inawezesha kuwajibisha serikali maana ziko sheria. Kumbuka mlijitoa wenyewe kumalizia mchakato.
@nehemia265 @Drudysseus Serikali ni pamoja na wewe! Ila Pole ndio maisha Mwamini Mungu usijibebeshe mzigo wa machungu utaendelea kuumia bure! Mungu yupo kama uliumizwa yakabidhi kwa Mungu atakulipia anavyoona inafaa!
@kabwelahoi @DignaFocus@mwigulunchemba1 Ni muhimu sio kipaumbele!? mimi kwa miaka 10 nimekua na wananchi wa vijijini kweli sikuwahi kumsikia wakitaja katiba! Vipaumbele vyao ni elimu,Waalimu mabweni mikopo ya wale wa elimu ya juu ajira, maji umeme, huduma za afya miundo mbinu ya barabara na masoko ya Bidhaa na mitaji.
@RoseMushi19 @Drudysseus Thank you dear Rose itβs comforting to know that. I trust you are well my sister itβs been a long time. We donβt even pump into each other in Dar leave alone Msaranga!π