ππ§π· OFFICIAL: Vini Jr, back to back to back FIFA Man of the Match for Brazil. Three in a row.
π₯π²π¦ Brazil vs Morocco: π ππ π ππππ
π₯ππΉ Brazil vs Haiti: π ππ π ππππ
π₯π΄σ §σ ’σ ³σ £σ ΄σ Ώ Brazil vs Scotland: π ππ π ππππ
Hii inaitwa IGA UFE, JARIBU UFILISIKE.
1. Mbarali, Mbeya
2. Makambako, Njombe
3. Songea Mjini, Songea
4. Masasi, Mtwara
Hii ni mikutano ya hadhara katika mikoa minne tofauti kanda ya kusini na Nyasa. Mikutano mingine imefanyika asubuhi. Watu ni wengi kama mchanga.
Wananchi wamekuja wenyewe bila kusombwa na kulipwa na wamechangia TONE TONE kuendesha chama chao. Wananchi wanaipenda CHADEMA.
Mashosti wa mbogamboga, wao hadi bajeti itoke kwa MaCCM na msimu wa uchaguzi ufike ndio unaweza kuwaona majukwaani. Siasa za posho. Shensisana.
#KatibaMpya #FreeTunduLissu
Mmeona #ToneTone la Mbeya?π
Imagine watu wamekuja kwenye mkutano wetu kwa nauli zao, hawajasombwa kwenye mafuso kama akina mwafulani.πππ
Halafu baada ya kusikiliza Nondo za Viongozi wa Chama, wametuchangia na pesa kutuzesha ili tuendelee kuhubiri Injili ya Ukombozi wa Taifa letu
Huu ni upendo wa kiwango cha juu sana, watu wa Mbeya peponi moja kwa mojaπβ€οΈdhambi zenu apewe Nduli Idd Amin Mama na familia yake.
Haya magari na hawa watu wanaokuja kwenye mikutano yetu kwa njia za kufuatilia kwa njia zisizo za wazi..
Wanapaswa kujua Tunajua na tunawaona.
Sisi tunafanya siasa na tunafanya kazi yetu ya kikatiba, hatuwezi kukubali kutishiwa wala kuogopeshwa.
Acheni uhuni huu.
Detention without trial?
Tundu A.M Lissu alikamatwa Mbinga, Ruvuma Aprili 9, 2025. Zimepita siku 427 (mwaka mmoja na siku 62) tangu kukamatwa hadi leo Juni 10, 2026.
Zimepita siku 96 tangu kesi hiyo iahirishwe katika Mahakama Kuu (baada ya kusikilizwa mfululizo kwa siku 20 za kazi tangu Februari 9, 2026).
Kesi ilipangwa kuendelea kusikilizwa Mahakama ya Rufani kuanzia June 11, 2026 kufuatia upande wa Jamhuri kukatia rufaa uamuzi wa Mahakama Kuu
Lakini kesi hiyo imehairishwa tena bila kufika siku ya kesi na pasipo kutolewa sababu za msingi za kuhairishwa kwa kesi hiyo hadi Julai 6, 2026
Tangu kesi ilipoahirishwa (Machi 6, 2026) hadi itakapofika (Julai 6, 2026) kesi hiyo itakuwa imetimiza jumla ya siku 122 (miezi 4 kamili).
Tangu leo (Juni 10, 2026) hadi tarehe hiyo ya Julai 6, 2026 ambayo ndiyo itakuwa siku ya kurejea tena mahakamani, zitakuwa zimesalia siku 26.
Kwa lugha rahisi na inayoeleweka, Tundu A.M Lissu amewekwa kizuizini. Kwanini hafikishwi Mahakamani kuendelea na shauri lake tangu Machi 6, 2026?
Mahakama kwa kutumia haki zake imeamua kuchelewesha upatikanaji wa haki zake za msingi kupitia mchakato unaoonekana kukosa haki.
Tuliwaeleza mwanzo, mmemkamata Tundu A.M Lissu na kumshtaki kwa tuhuma za uongo za uhaini ambazo hamtaweza kuzithibitisha mahakamani.
Kwanini kesi ya Mwenyekiti wetu isogezwe mbele kwa mda mrefu kiasi hiki mara tu baada ya chama kueleza mpango mbovu wa polisi hapo kesho.
Chama kimeeleza nia ovu ya polisi dhidi ya chama chetu alafu kesi inasogezwa mbele!!!
Mahakama ya Tanzania inaondoa imani ya wananchi na kuchochea chuki kwa matendo kama haya.
π¨π¨ποΈ| Omar Berrarda: βMy boy was a Manchester City fan and the first thing he said to me [when I got the Manchester United job was]: βDad, okay, you can join United, but I'm going to continue supporting City.β I said: βFine, it's your choice.β But he's evolved now and he's a full-blown United supporter. He comes to many games, his favourite player is Bryan Mbeumo.β
π¨JUST IN: Man United have reach agreement with West ham to sign Mateus Fernandes. Price for 21yo midfielder β¬55.5m fixed + β¬10.5m of potential bonuses. Personal terms in place on 5+1yr deal. Must still do medical & all parties plan to complete late June. π΅πΉ
@David_Orstein