2024 marks the 10th anniversary of the #SSFGuidelines!
In the lead-up to #WorldFisheriesDay, we asked stakeholders from the sector why these guidelines matter to #SmallScaleFisheries.
The response was inspiring!
Check out these videos to hear their thoughts 👇
Ushering in the Acting Permanent Secretary of the Ministry of Livestock and Fisheries to officiate the consultative workshop for developing NPOA -SSF Guidelines to Government officials #ssfguidelines#FAOFish
Kaimu katibu Mkuu wa Wizara ya mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Bw. Magese Bulayi akifurahia jambo na Afisa Uvuvi mwandamizi ambae pia ni mratibu wa mradi (focal person) wa mwongozo wa wavuvi wadogo (SSF Guidelines) Bi.Lilian Ibegwe leo (13.3.2020) mara baada ya warsha hiyo jijini Dodoma
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amesema ana matumaini makubwa na mradi wa Mwongozo wa Masuala ya Uvuvi Mdogo kwa kuwa mbali na kushughulika na wavuvi wadogo unalenga pia kuhakikisha wanawake wanahusishwa kikamilifu katika mnyororo wa uzalishaji.
Official launching of Tanzania Women Fish Workers Association (TAWFA),April 2019, During the National Consultative Workshop with the Chief Guest, Permanent Secretary of the Ministry of Livestock and Fisheries, Dr. Rashid Tamatamah. #WomeninFisheries#SSF#Gender
Making use of every opportunity to raise awareness on the #SSFGuidelines. Presenting during a workshop to review Fisheries Research Agenda in Tanzania @SSF_Nicole@PipCohen