@Safaricom_Care this is really unfare,someone sends money to a wrong person,your contacted then you tell huyo mtu aongee na aliyepokea https://t.co/qkAYoUhtSD are such a disguss to your https://t.co/U5NcylbueG huyu mtu asiposhika simu? Mna upizi mwingi sana nyinyi.
Bamburi Mwisho,shughuli ya kuiopoa miili ya vijana waliozama kwenye shimo la maji taka ikiendelea bado.Kufikia sasa hamna mwili hata mmoja ulopatikana.
Vijana wawili wamefariki papo hapo huko Bamburi Mwisho,Mombasa baada ya kuanguka kwenye shimo la sewage ambalo juu yake kulikuwa na banda la video.Mkasa umetokea 4.30pm na miili bado haijatolewa mpaka sasa (9.22pm Sun)
Brass band,but huku kwetu Coast(Kilifi county) we call it https://t.co/gyyikPhPWt normally used for entertainment during weddings and other occassions.
@naivas_kenya Nyali Kenol kindly tell your guy by the name Eliud (electronics side) to give me a feed back about my TV set Hisense which I took it back to you on 18th March at around https://t.co/j4PMPZtLnx had some issues with the screen. Ama mwaipaka heena!!
Serikali ya kaunti ya Mombasa imeanza kuondoa vifusi vya jumba la ghorofa lililoporomoshwa jana na wanajeshi katika mtaa wa Kilifi Corner karibu na hospitali kuu ya eneo la Pwani.
Kenya Red Cross is supporting the evacuation of 289 patients from Coast General Teaching and Referral Hospital in Mombasa, ahead of the planned demolition of a building next to Fayaz Bakery at 6:00 am on Wednesday.
Mombasa County government orders for an evacuation of all patients at the Coast General hospital to pave way for a demolition of a nearby storey building.
Coast leaders need to nurture such talents as one a way of doing away with crime within the region.Others wise we will complain day in day out if we keep on having those boardroom engagements and zero implementations.
The China Square mall along Links Road Nyali has squarely fixed us,as Nyali dwellers since we can't enjoy anymore smooth drive to work and back home because of the traffic jam.Vipingo Ridge is our next destination sasa.
@Taifa_Leo mbona munawapotosha wasomaji wenu siku hizi kwa kuiboronga lugha...kuna tofauti ya pojo na dengu.Hizi ni nafaka mbili tofauti.Alafu sio Ndengu ni Dengu.Acheni kulisheheni sheng hili gazeti.Mwalitoa utamu acheni kupachika waandishi wasioielewa lugha barabara.
I have a feeling that people like hon. @KindikiKithure could not have
been sujected to the vetting process although it's a constitutional requirement.Waiting to see how @JunetMohamed will react when @GovWOparanya appears before the pannel on Sunday.