Pamoja na kuwa Tanzania ina haki ya kuwa na mahusiano ya kirafiki na nchi yoyote duniani kwa kadri inavyowezekana, kwa maoni yangu safari ya kuelekea Moscow imefanyika katika wakati ambao si muafaka kisiasa na kidiplomasia.
Katika kipindi ambacho Marekani na Umoja wa Ulaya tayari wameonyesha kutoridhishwa na mwenendo wa kisiasa nchini Tanzania, hususan baada ya matukio ya Oktoba 2025, malalamiko ya ukiukwaji wa haki za binadamu, na kuendelea kushikiliwa kwa viongozi wa upinzani, jambo la mwisho ambalo Tanzania ilihitaji ni kutuma ujumbe unaoweza kutafsiriwa kama kuhamisha mwelekeo wake wa kimkakati kutoka kwa washirika wake wakuu wa maendeleo kwenda Moscow.
Tatizo si kwenda Moscow.
Tatizo ni kwenda Moscow wakati Washington na Brussels wanaanza kuhoji mwelekeo wa kisiasa wa Tanzania.
Diplomasia sio suala la hisia; ni suala la muda, mazingira na maslahi ya taifa.
Ukweli ambao hatupaswi kuuficha ni kwamba kwa sasa Russia haiwezi kuchukua nafasi ya Marekani na Umoja wa Ulaya katika maendeleo ya Tanzania.
Takwimu zinaonyesha wazi:
Marekani imechangia zaidi ya dola bilioni 3 katika kipindi cha 2020–2025.
Umoja wa Ulaya umechangia takribani dola bilioni 3.2.
Russia imechangia karibu sifuri katika Official Development Assistance (ODA).
Haya si maoni. Hizi ni takwimu.
Wakati mwingine katika siasa tunajidanganya kwamba washirika wanaweza kubadilishwa kwa urahisi. Historia inaonyesha sivyo.
Marekani na Umoja wa Ulaya hawatoi fedha pekee.
Wamekuwa nguzo muhimu katika:
mapambano dhidi ya UKIMWI na malaria,
chanjo na mifumo ya afya,
elimu,
maji safi,
kilimo,
uwekezaji wa sekta binafsi,
teknolojia,
mafunzo ya wataalamu,
na upatikanaji wa masoko ya kimataifa.
Pengo litakalotokana na kupungua kwa ushirikiano huo haliwezi kuzibwa kwa picha za viongozi kukutana au mikataba michache ya kisiasa.
Mataifa hayajengwi kwa alama za kidiplomasia; yanajengwa kwa maslahi halisi ya wananchi.
Swali ambalo viongozi wanapaswa kujiuliza si kama tunaweza kuwa marafiki wa Russia.
Swali ni:
Je, Russia inaweza kuchukua mzigo wa afya, elimu, uwekezaji, biashara na maendeleo ambao Marekani na Umoja wa Ulaya wameubeba kwa miongo kadhaa?
Mpaka sasa, jibu la ukweli ni hapana.
Hatari kubwa zaidi si kupoteza misaada.
Hatari kubwa ni kupoteza imani.
Mataifa yanaweza kuishi bila misaada kwa muda fulani.
Lakini ni vigumu kuishi bila imani ya wawekezaji, masoko ya kimataifa, taasisi za kifedha na washirika wa maendeleo.
Fedha za dunia zina tabia moja:
Hukimbilia kwenye utulivu, uwazi wa kisiasa na taasisi zinazoaminika.
Ndiyo maana nchi yenye busara haiharibu madaraja kabla haijajenga mengine.
Na hata kama imeamua kujenga daraja jipya kuelekea Moscow, ni hatari kubomoa madaraja yaliyoiunganisha na Washington na Brussels kwa zaidi ya nusu karne.
Kwa sababu katika siasa za kimataifa, si kila rafiki mpya ana uwezo wa kuchukua nafasi ya rafiki wa zamani.
Na katika wakati ambao Tanzania inahitaji uwekezaji zaidi, ajira zaidi, teknolojia zaidi na masoko zaidi, taifa linapaswa kuwa makini sana lisije likachanganya uhuru wa kidiplomasia na kujitenga kidiplomasia.
Uzalendo wa kweli si kupiga picha na mataifa makubwa; uzalendo wa kweli ni kuhakikisha maamuzi ya leo hayaleti gharama ambazo wananchi wa kawaida watazilipa kesho.
Huwezi kusema uko ktk chama cha siasa cha upinzani lakini unajizuia kumuunga mkono Lissu aliyeyatoa maisha yake kwa ajili ya mapambano hayo.
Wengine wanapoteza muda na pesa za Watanzania.
“Msimamo wa mwanadamu haupaswi kuwa gereza la dhamira yake.
Kuna nyakati ambapo ukimya huwa mzigo kuliko maneno.
Sidai kuwa mimi ni mkamilifu, lakini nimeamua kutii dhamira yangu kuliko kuigiza consistency isiyo na ukweli. Si busara kushinikizwa kuonyesha “uanaume wa kisiasa” kwa kubaki sehemu ambayo dhamira yako haiwezi tena kutulia”
Netanyahu in three frames:
To Iranians, he speaks of “freedom”.
To Americans, he warns of Iran's “nuclear threat".
To his Zionist audience, he calls Iranians "Amaleks".
Deception based on the geography of the audience!
🚨 JUST IN
🇮🇷 Iran has released a new viral banger song spreading rapidly across social media a track you likely won’t hear on traditional media platforms.
The world, Europe, and Spain have faced this critical moment before. In 2003, a few irresponsible leaders dragged us into an illegal war in the Middle East that brought nothing but insecurity and pain.
Our response then must be our response now:
NO to violations of international law.
NO to the illusion that we can solve the world’s problems with bombs.
NO to repeating the mistakes of the past.
NO TO WAR.
https://t.co/KpRjBfwY4B
"We strongly condemn the war being waged on Iran while negotiations were under way…. We have reaffirmed our support for the sovereignty and territorial integrity of our brotherly nation."
~ President Asif Ali Zardari, Address to Joint Session of Parliament.
Touching tribute for Edwin Mtei from Tundu Lissu in prison 👊🏽
Spana za Lissu zinauma hata zikitoka akiwa gerezani!
“Mzee Edwin Mtei alikuwa mjenzi wa demokrasia ya vyama vingi katika nchi yetu. Na kwenye hili, kama ilivyokuwa hulka yake, aliongoza kwa mfano na kwa vitendo. Alikuwa mmoja wa Waasisi na Mwenyekiti Mwanzilishi wa CHADEMA. Leo hii, CHADEMA ndio chama kikuu cha siasa katika nchi yetu; sio CCM, kwa sababu CCM ni chama-dola”
Mnaofikiri kumfunga Lissu mmefunga mawazo yake au roho yake jueni hamumkomoi mnamkomaza na kumkuza
Pumzika kwa amani Edwin Mtei 🙏🏽
Trump campaigned on an “America First” platform. Now he wants to "run" Venezuela?
60% of Americans live paycheck to paycheck. Health care is collapsing. Housing is unaffordable.
Trump should address these major crises at home and end his illegal military adventurism abroad.
Communiqué on the Situation in #Venezuela.
The African Union is following with grave concern the recent developments in the Bolivarian Republic of Venezuela, including reports of the abduction of the President of the Republic, Mr. Nicolás Maduro, and military attacks on Venezuelan institutions.
The African Union reaffirms its steadfast commitment to the fundamental principles of international law, including respect for the sovereignty of States, their territorial integrity, and the right of peoples to self-determination, as enshrined in the Charter of the United Nations.
The African Union underscores the importance of dialogue, peaceful settlement of disputes, and respect for constitutional and institutional frameworks, in a spirit of good neighbourliness, cooperation, and peaceful coexistence among nations.
The African Union emphasizes that the complex internal challenges facing Venezuela can only be sustainably addressed through inclusive political dialogue among Venezuelans themselves.
The African Union expresses its solidarity with the Venezuelan people and reiterates its commitment to the promotion of peace, stability, and mutual respect among nations and regions.
The African Union calls upon all parties concerned to exercise restraint, responsibility, and respect for international law to prevent any escalation and to preserve regional peace and stability.
Read @ https://t.co/DW9aHzKyjx