Introduce your boys to Sports.
Watajifunza kitu kinaitwa Resilience.
Kujua kuna kushinda, kupoteza, na ku bounce back.
Hapa ni eneo muhimu la ku manage hisia na matarajio.
Watu ambao huwa wanakufa ghafla wengi wao huwa wanaugua ndani kwa ndani bila matangazo. Baba anaumwa lakini akiangalia mzigo nyuma yake analazimika kutoka kwenda kutafuta chochote. Tunapishana tu barabarani lakini watu wamebeba maumivu makali kwenye miili yao. Life’s a b**ch!!
At personal level, Muda na energy tunayopoteza kwenye kujilaumu au kuwaza namna hili tatizo tungeweza kulizuia lisitokee, ndio uwa vinatuchelewesha kuingia phase ya problem solving.
Unaingia kwenye kukabiliana na tatizo tayari umeshachoka emotionally na physically.
Unaambiwa “Fanya kazi kama mtumwa; ili uishi kama mfalme”! Kisha unakutana na wafalme ambao hawajawahi kufanya kazi kama watumwa; na watumwa ambao hawageuki kuwa wafalme!
Ukikosa nguvu, mkumbuke Mungu. Ukikosa majibu, mkumbuke Mungu. Ukikosa njia, mkumbuke Mungu.
Kwa sababu ukubwa wa changamoto haujawahi kuwa mkubwa kuliko ukuu wa Mungu. 🙏
Sometimes ni bora angalau kundi linaloongelea issues za world cup na muziki.
Kuliko kundi linaloongelea issues za Nchimbi this Nchimbi that.
Hatuwezi kabisa kujikaza kushikilia bomba, tunacheza sana ngoma yao.
Hatujui namna ya ku-ignore things na kufocus na plans zetu!!
M.Kipanya alisema moja ya kitu Mbogamboga wamefanikiwa kwa akili au wamebahatika, ni kutengeneza upepo then watu wakaufata!!
Learn to ignore….
Video kwenye comments
Uzuri wa maisha kuna kipengele kinaitwa muda, wakati wako ukifika, kuna vitu wengine walitumia miaka 4 kuvifikia, ila wewe utatumia mwaka mmoja.
Never count yourself late.