Anaitwa JUMA MFINANGA alishiriki kuwatoa majeruhi waliokuwa wanapelekwa muhimbili kwaajili ya Matibabu ili wauwawe huyu ni Afisa kipenyo pia ni mtumishi wa muhimbili hospitali.Hiyo ndo picha yake.Wananchi Tusimsahau huyu pia ni Adui wa Taifa
CCM baada ya kusikia wanawekewa vikwazo chama kizima, wakaanza taja taja CHADEMA
Sasa wanataka singizia kwamba CHADEMA inapeleka mambo nje
Mtu kama Mafwele na Makonda wamevunja haki za watu wangapi ?
Kila utekaji unapotokea CCM wako kimya, humo kwenye mitandao uwa wanatishia kuteka kila anayetoa maoni
Uchaguzi walipoambia hapana kuna changamoto nyingi wakasema wao ni wababe, Msigwa akatoka na kusema wamepewa masharti ya kuwa mashoga
Leo Hapi anasema mambo ya ndani ya nchi yamevuja nje, amekubali kuna mambo wamefanya na yamepeleka nje, lakini mwanzo walijifanya manunda
Wamepelekewa moto na EU na USA wanalia tukae mezani, wanasema kukaa wakati wamefunga wana siasa , utekaji unaendelea, Makonda na Mafwele wako ofisini, hakuna uchunguzi huru na wakimataifa umefanyika, na kuna Team imetumwa Nairobi kuteka na kuua watu
CHADEMA wasukubari kuingizwa kwenye mambo ya CCM wakati wanafanya haya mambo walishirikisha CHADEMA ? Wao wameshapewa njia ya uwajibikaji, wawajibike
CCM walibweteka wakaona zama zote ni za kutumia maguvu na kuwatisha watu na vikosi vya ulinzi na usalama.
Wakasahau kama zama zinabadilika kwamba kuna vita ya teknolojia yaani social media/social network.
Sasaivi wanahaha kila wanalofanya linaanikwa kwa nguvu kubwa mno + propaganda zinazopikwa juu yao.
CCM wangejua kama hii mbegu wameipanda wenyewe maana mlango mmoja ukifungwa mlango mwingine hufunguliwa.
Katiba mpya haikwepeke. Si mali ya CCM na serikali; ni mali ya wananchi. Mjadala wa Muungano haukwepeki wananchi waulizwe. Katiba sio kitabu bali ni maudhui yaliyomo ndani ya kitabu hicho. Huwezi kujenga serikali moja ndani ya Muungano(Zanzibar) na kuiacha nyingine(Tanganyika)
Yule SHEHE aliesema ATAWAKATA vichwa WAKRISTO mbona hajakamatwa...? AU hii ndio mbinu ABDUL kaibuni kuwa this time kateni vichwa wanainchi msipige risasi🚮🚮🚮🚮🚮🚮
TAARIFA KWA UMMA: SOLIDARITY NA WANACHAMA WETU
Mnamo tarehe 19 Juni 2026, Mahakama ya Mwanzo Kizumbi imewahukumu wanachama wanne (4) wa CHADEMA Kata ya Lyabukaende, kifungo cha miezi minne gerezani au faini ya Tsh 300,000 kila mmoja kwa madai ya “kufanya fujo” katika mkutano wa Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, @Julius_Mtatiro
Hukumu hii ni muendelezo wa mbinu za kukandamiza sauti za mabadiliko na kuwatisha wananchi. Waliohukumiwa ni;
1. Masele Bahati Lubongeja
2. Raphael Henri Masangwa
3. John Charles Mashenene
4. Zephania Lugwisha Maduhu
Wakati tukijipanga kukata rufaa, tuonyeshe mshikamano (Solidarity) kutoka kwa kila mpenda haki kuchangia faini zao ili wasiende gerezani. Jumla kuu inayohitajika ni Tsh 1,200,000.
JINSI YA KUCHANGIA:
M-PESA: 0764 662 049
Jina: CHADEMA KANDA YA SERENGETI
Nakuhakikishia wewe lipolice liuwaji HAMUTAFANIKIWA kama ni korido za kimataifa hamujui hata moja , sasa kaeni kwa kutulia muonyeshwe hizo korido zinavyofanya kazi. @tanpol mmewageuka wananchi mkawauwa subirini muona tuna tomchomoa Samia na genge lake HAMUNA TENA NAFASI KWETU
Msenge alikuwa anatisha sana watu kabla ya MO29.
Katika maRPC wasenge Tanzania
1. Mbeya
2. Ruvuma (aliemteka LISSU)
3. Huyu msenge wa Tabora
4. Kinondoni
5. MURILO
6. Arusha
7. Mwanza
Hawa MIKUNDU WAKIFA NI SHEREHE.
MAFEDHULI TULIENI NA TAFAKARINI
Kuna jambo leo nawasanua nikianza na kimama chenu mwuaji!
Documentation - suala la kuweka record ndo imewamaliza kimataifa maana mliona sifa kututishia bila kificho kutoka majukwaani, kutuua, kututeka na kututesa bila kificho kwa lengo la kutujaza hofu
Sisi hatuna majeshi, hatuna pesa wala nguvu yoyote ila tuna AKILI na UJUZI! Tumetumia taaluma zetu kuweka record kimataifa ya ufedhuli wenu! Mlijua mnaongea majukwaani Kiswahili kumbe tumetafsiiri na kuweka kwa record
Tulikuwa kwa miaka kadhaa tunapost humu watu wametekwa - zile Free Free mlizopuuza ni RECORD
Lakini tulienda mbali zaidi na kuandika ripoti, wananchi kwa mamia walipeleka submission ICC, tunaendelea kuweka comments na kulilia dunia kila dhulma! Na machawa wenu walivyokuwa wapumbavu wanakuja kututukana na kututishia na tumeweka pia kwa record
Mkaamua mtoke nje ya mipaka mje kututeka nje hii nayo imeingia kwenye record
Sasa leo mnapoona hatua hizi za Marekani na Ulaya mjue ni matokeo ya documentation ambayo wengi wetu tumeshiriki bila kuchoka! Hata leo mkituua wote mmebaki kwenye record
Maridhiano na suluhisho pekee ni #SamiaMustGo na lazima kuachia wafungwa wa kisiasa akiwemo #FreeTunduLissu na wote mliojipachika kiharamu ONDOKENI- iwekwe serikali ya mpito na tuanze mchakato wa #KatibaMpya na Uchaguzi Huru na wa Haki pia uwajibikaji kwa mauaji ya Oktoba ikiwemo kurudisha miili na kutueleza hatma ya mliowateka!
Ni ngumu ila ndo njia pekee! Na hatutakubali KABISA ujinga wowote! No compromise kwenye Haki! Endeleeni kutupuuza ila #TutaelewanaTu
Mafisadi yanayojiita wazalendo, Mkunda, Wambura na Mombo, angalieni mnavyovuliwa nguo. Badala ya kuwalinda wananchi, mmeamua kuwaua watanganyika ili kuwalinda wakoloni toka Zanzibar. Sasa kimewalamba.
Ni Jeshi la Wananchi au Jeshi la Abdul na mamake? Hamjachelewa, waondoeni.
A powerful finding in the U.S. Senate’s Tanzania bill:
“The Tanzanian Police and Tanzania Defense Forces killed hundreds of Tanzanian citizens” during protests against the “fraudulent and illegitimate” October 29, 2025 election.
Those are the findings of a U.S. Senate bill—not activists.
Thank you, Senators @SenatorShaheen and @SenTedCruz.
#SamiaMustGo #TanzaniaMassacre #FreeTunduLissu
‼️🚨TAARIFA KWA UMMA.‼️
19 Juni 2026, Mahakama ya Mwanzo Kizumbi, imewahukumu wanachama (4) wa CHADEMA Kata ya Lyabukaende kifungo cha miezi minne gerezani au faini ya Tsh 300,000 kila mmoja.
Waliohukumiwa kwa kile kinachoitwa “kufanya fujo” katika mkutano wa Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Julius S. Mtatiro ni;
1. Masele Bahati Lubongeja
2. Raphael Henri Masangwa
3. John Charles Mashenene
4. Zephania Lugwisha Maduhu
Hukumu hii ni mwendelezo wa mbinu za kukandamiza sauti za mabadiliko na kuwatisha wananchi wanaosimamia haki zao za kiraia. Tena akifanya mtu aliyewahi kuwa mpinzani wa CCM.
Wakati chama kikijipanga kuchukua hatua za kisheria ikiwemo kukata rufaa katika hatua inayofuata; Tunamuomba kila mpenda haki, Watetezi wa haki za binadamu ndani na nje ya nchi;
Kuchangia kiasi chochote ili kuwalipia faini wenzetu, kwa kila mmoja kiasi cha Tsh 300,000. Wanachama wanne (4) Jumla kuu ni Tsh 1,200,000. Tunaonyesha SOLIDARITY dhidi ya wahuni.
Jinsi ya Kuchangia:
M-Pesa Namba: 0764 662 049
Jina: CHADEMA KANDA YA SERENGETI
Mkazi wa Mbeya anayejulikana kwa jina la Mzee Msinga amesema amewahi kuwa mwanachama wa vyama mbalimbali vya siasa ikiwemo TANU, CCM na TLP kabla ya kujiunga na CHADEMA, ambapo anadai kuwa ameona chama hicho ndicho kinachotoa matumaini makubwa kwake.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Juni 15, 2026 katika Kata ya Bonde la Songwe, Jimbo la Mbeya Vijijini, Mkoa wa Mbeya, Mzee Msinga alitoa madai kuhusu kile alichokiita vitendo vya ukatili alivyodai kufanyiwa yeye na familia yake na baadhi ya askari polisi kufuatia matukio ya Oktoba 29, 2025.
Mzee Msinga alidai kuwa askari walifika nyumbani kwake, wakaharibu mali ikiwemo geti na kuwafanyia vitendo vya ukatili watoto wake, hali ambayo amesema ilisababisha baadhi yao kupata ulemavu na wengine kubaki na makovu ya kudumu. Aidha, alihoji uhalali wa vitendo hivyo na kuwataka wahusika kuwajibika.
Kauli hizo zilitolewa mbele ya wananchi waliohudhuria mkutano huo wa kisiasa.
Hata hivyo, madai hayo ni ya Mzee Msinga na hayajathibitishwa na mamlaka husika. Serikali na Jeshi la Polisi hawakuwa wametoa maelezo kuhusu tuhuma hizo katika mkutano huo.
#TANZANIA: MILIONI 900 HAZIHUSIANI KABISA NA KINACHOITWA MAANDAMANO YA MWEZI UJAO, HAPI ANASEMA UONGO - MNYIKA
Katibu Mkuu wa CHADEMA Taifa, John Mnyika akizungumza na Wanahabari Juni 17, 2026 amezungumzia milioni 900 walizopewa CHADEMA amesema zilikuwa ziwanufaishe wananwake na Watanzania kwa ujumla lakini kutokana na kufungiwa kwa siku 309 pesa hizo zilirudishwa kwa wafadhiri kama takwa na mkataba linavyosema.
Mnyika akijibu swali la Waandishi wa habari amejibu tuhuma za Ali Hapi kuwa pesa hizo walizopewa CHADEMA ni kwa ajili ya maandamano ya mwezi ujao, Mnyika amesema Hapi anapotosha na kwamba pesa hizo zilikuwa hazihusiani na kinachoitwa maandamano, "Milioni 900, hazihusiani kabisa na kinachoitwa maadamano ya mwezi ujao"
Zaidi: https://t.co/MktFyXHJGp
"Pamoja na kwamba tunapitishwa kwenye moto, tunaumizwa, kiongozi wetu yupo ndani, watu wanatekwa, haya yote mara polisi kutuita, kuzuia mikutano, kutuzuia na mengine ni usumbufu tu ili tutoke nje ya mstari, tutoke kwenye hojaz tusitazame pale tunapopata na ndio maana tunasema tunataka katiba mpya kwasababu mfumo wetu wa haki jinai umeoza, vyombo vyetu vya ulinzi na usalama havifai. Kuna siku mtu alisema mifumo ya kutoa haki inapooza watu wanapuuza kifo."
... Mimi nimeona watu wameuwawa, watu wameona watu wakitekwa sasa jiulize kwanini bado watu wanazidi kusonga mbele? Ni kwasababu hulka ya binadamu ipo hivi- ukimuonea, ukampuuza yeye pia anapuuza hata kifo anasema liwalo na liwe na sisi Chadema tumefika hapo, tunapuuza kifo, tunataka katiba mpya na tutaisukuma mpaka tuipate na mwanga ni mkubwa."
"Angalia hata watu wanaowatazama tukiwa hapa, waite wale (CCM) na tuite sisi uone nani atasikilizwa. Watu wanaifuatilia Chadema kwasababu tunazungumza mambo yanayohusu maisha yao. Maana yake watu wanaunga mkono yale tunayoyazungumzia na hili tunataka liwe kila sehemu hata mtu akikutana na mpenzi wake chumbani amwambie unga kwanza mkono Chadema na Katiba mpya ndipo tufanye mambo yetu."John Heche, Makamu Mwenyekiti wa Chadema leo Juni 17, 2026 kwenye kipindi cha SuperBreakfast cha EA-Radio.