Over 500 people dead in #Tanzania's post-election crackdown, including many children. An official inquiry confirms the slaughter, but assigns zero blame to the security forces. It is clear that impunity is now the norm in this totalitarian police state.
https://t.co/dKrJ2vrIV3
China gave free visa entry to;
a) 26 European Nations
b) 5 South American Nations
d) 0 African countries
From Lusaka to every African capital city, this is exactly how the world thinks about us as Africans. Only useful for our minerals. Outside that, they don't rate us !!
Mzungu ameila sana Afrika na hataki kuiachia, Mchina anaitaka Afrika-ameshatengeneza mikakati ya kuendelea kuwepo, Mwarabu naye sasa anainyemelea...
Waafrika wenyewe?? Wote ndoto zao ni kwenda Marekani, Ulaya na Dubai.
Hiki ndio kinachofanyika nchi zingine pale wananchi wanapoandamana kuwakataa viongozi wabovu ila sio Tanzania, Tanzania kuliko serikali kuachia madaraka wakaona ni bora waue maelfu ya wananchi.
Watanzania hatuwezi kukubali kutawaliwa na serikali iliyotuua, serikali ambayo hatukuichagua…..
On the road to success, there will always be someone ahead of you. Do not let that shake your focus. Do not let it enter your mind as doubt. Your task is simple—believe in yourself, grow each day, and compete only with the person you were yesterday.