#ForEveryChild, #Changemakers4Children💙
This week we were in Kibondo with a group of our volunteers for a 4-day training w/ Govt partners.
The volunteers aim to work with the regional community development officers to end violence against women & children👧🏾👦🏾
@_GenUnlimited
@UNICEFTanzania@_GenUnlimited It was a great time for us volunteers, we have learnt and acquired different knowledge towards ending violence against women and children. KUDOS @UNICEFTanzania
Ulinzi pekee wa haki za binadamu ni ushiriki na ushirikishwaji madhubuti wa makundi yote katika jamii. Unashiriki vipi na kwa kiasi gani kuzilinda haki za wanawake hasa kwa kupinga ukatili dhidi yao?#Siku16zaKupingaUkatili2019#VunjaUkimya#UbakajiUnadhalilisha
Uongozi wa @EstlTanzania umekutana uongozi wa kamati ya MTAKUWWA ngazi ya kata Kata ya Msisi-Singida DC katka kuandaa ratiba ya utekelezaji wa mradi wa kutokomeza ukati wa kijinsia na hasa UKEKETAJI uliodhaminiwa na @FCSTZ .
Mtandao wa vijana wazidi kuimarisha nguvu yao ya umoja, kupitia mafunzo chini ya @AfriYANTanzania juu ya kujisimamia na kuisimamia jamii ili kufikia maisha yenye manufaa. @enoldek @UNFPATanzania
Empowering Society to transform the lives.
ESTL Experts @enoldek @JoshuaJly69 @swaip@rozeymfui with AfriYAN Chairperson Ms @dianaroseleonee and a secretary @BadruSuleiman