Hebu tuwaze nje ya BOX!!๐ค
What if, ni mchezo wanautengeneza ili kumfanya VICEnt apate sympathy kwa wapiga kuraโฆ.kisha ndio iwe next kete yao 2030!!๐ค
Yes, coz sio mara yao ya kwanza kuyafanya hayo!! Wameshaitumia sana hii strategy huko nyuma na wakafanikiwa!!
Nikurudishe 2017
TAL alipopigwa pyuu pyuu ๐ซ
wengi walimchukia Banza kwa lile
tukio!!
Hisia zangu zinanambia #MasterMind aliitumia hii opportunity akamtuma Kizim-Job akampe pole TAL!!
sidhani kama ile move ya kwenda kumuona na kumpa pole TAL ilikuwa bahati mbaya ile, huwa always nahisi it was strategically planned na pengine mtoa pole hakujua kama ni mchoro anachorewa, yeye aliamini anatenda utuโฆ.but kuna watu behind the scene walipush ile move!!
Ili kumjengea sympathy,imani na upendo kwa raia, kwamba kati ya wanachama waandamizi wooote, ni huyu pekee kajitoa kwenda kumuona mgonjwa.
Basi huyu ana upendo sana!
Basi huyu atatufaa kutuongoza!
Huyu sio katili kama Banza!!
Kumbe MasterMind anasema huyu
Ni next kete yetu tutamtumia siku za mbeleni, tayari anauzika kwa wapiga kura!!
Haya miaka imepitaโฆ.
vipi leo bado sio katili!!?๐ค
Sasa nashangaa sana kuwaona baadhi ya wanafamilia wakiingia kwenye huu mtego tena mapema sana, bila hata kuwaza nje ya box!!
Tena wengine ni watu senior na very influential kwenye siasa na harakati!!
Wanaanza kumpongeza VICEnt kuona huruma, kumfanyia PR na kumu-endorse kwa raiaโฆ.Pasi kujua kufanya hivyo ni kurudia makosa yaleyale ya kujikuna Nyashi kisha unakata kucha kwa meno!!
Ni kweli VICEnt anaonekana kuwa mtu poa currently, lakini shida ni familia ileile!!
Iko hiviiโฆ..hawa jamaa ni very smart na calculated!
Wanajua fika now wako kwenye nyakati ngumu sana kujiuza kwa wananchi kutokana na waliyoyafanyaโฆ.Nyama ngumu kwelikweli!!
Wana changamoto kubwa
ya who is next? ambaye wata msimamisha na raia wakampokea na kumkubali bila makwasukwasu yoyote!!
Hapo sasa kwenye Who is next, ndiyo nahisi #The_Master_Mind huwa anakujaga na mchoro wa kutafuta exit!!
Kwamba watengeneze beef/vita/misunderstandings wao kwa wao ndani kwa ndani, then habari zitoke nje kwa raiaโฆ.kuwa kuna mpasuko ndani ya chama!!
Then ile kete wanayoitaka wao ndio ionekane kwa raia kama ndiyo inaonewa ndani ya chama au kama ndiyo shujaa inasimama na raia!!
Na raia tulivyo na mtindio wa ubongo tunajaa kwenye huo mfumo!
Tena wakati mwingine #MasterMind anaweza akachezesha huu mchoro bila hata kuwashirikisha wahusika wakuu, yaani main characters wakawa wanapasuana kiukweli, kumbe kuna mtu behind the scene anawachezesha filamu!!
Anagusanisha nyaya, anapigisha cheche bila wao kujuaโฆ.
KUWENI NA MISIMAMO
KUWENI NA KUMBUKUMBU
WAZENI NJE YA BOX
MSIJAE KIZEMBE
Nways labda niko wrong na hisia zangu!!
Tatizo naangalia sana movies za watu waBad wanavyoRemote Gavoo na Viongozi!!
zinaniharibu sana!!
@Roma_Mkatoliki Kuna namna tokea itoke ripoti ya tume, kuna watu wamebadili gia angani
na kujifanya wako upande wa wananchi japo kiuhalisia sio kweli
Opportunistic wanaotafuta ulaji wasio na misimamo, bendera fwata upepo.
@mchina_jr94958 Huyo anatuzuga tu, kwanini chama chake kilishiriki uchaguzi huku wakijua kuna mapungufu, na hapo kati alipoa
Kunakitu kinapikwa hapo sio bure.
๐Arsenal amekaza mwanzoni ila mwisho wa siku ameachia
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Ile interview ya Mzee Mahita, yule kaโmkubwa anayemuhoji namkubaligi sanaโ
But amenishangaza kila mzee anapoongelea matukio yake aliyoyafanya yeye anacheka tu,
means anafurahia๐ค
I was like, what's so funny here๐ณ
Mzee anasema alivyokuwa katili, alivyomzingua Mrema na Cuf,
Kaโ mkubwa anafurahia kila punchline! Ni kama alikuwa ana mu-entertain.
Sout Out kwa SD, sista ako very calm!
Na ukisoma comments za ile interview kuna watu wamemsifia sana mstaafu yule kwa utendaji wake wa kazi!!
I can see miaka 10/20 ijayo wakina Mzee Murilo, Wambura watakuja simulia utendaji wao wa kazi walioufanya na watu watapiga makofi kuwapongeza!!
Watanzania tunawahi sana kusahau!!