Huyu mama ameokotwa katika msitu wa hifadhi ya Mlima Kilimanjaro upande wa Machame akiwa amedhoofika sana. Baada ya kuhojiwa amesema anaitwa Safina Daudi Mrosa (49), kabila Mgogo. Anadai ametokea kijiji cha Kitange wilaya ya Gairo, mkoa wa Morogoro. Mume wake anaitwa Malima Yohana Mrosa ni fundi pikipiki maeneo ya Gairo.
Anadai alitumwa na Mungu kwenda msitu huo ili kufunga na kuomba. Anasema Mungu alimtokea na kumwambia aondoke nyumbani kwenda msituni kufanya maombi. Haijulikani amekaa siku ngapi huko msituni lakini amedhoofika kutokana na kukosa chakula. Yeyote anayewafahamu ndugu zake apige simu nambari 0689848090..
Adding videos for additional evidence, in case Samia Suluhu’s evil regime attempts to distort the facts or question the location and credibility of the photos. The 3rd video attached, that’s a different victim also shot in the head by a military grade weapon. Military grade weapons were used on unarmed Tanzanian protesters . The purpose was to instill fear and terrorize citizens.
BREAKING: VIDEO MPYA. NEW VIDEO EVIDENCE OF THE VIOLENCE THAT TANZANIANS ENDURED DURING THE INTERNET BLACKOUT UNDER SAMIA SULUHU ORDERS.
WATANZANIA AMBAO MLIKUWA MNAOGOPA KUACHIA VIDEO, PLEASE NITUMIENI ILI DUNIA IONE ILI TUPATE MSAADE WA NJE!!!!! WhatsApp +1 424 537 3057
Sasa fikiria kuna watu wanajiita wabunge wanatamba na ubunge ambao walipata kwa kumwaga damu za watu.
Asante MCHUNGAJI kwa kuja kuongeza sauti ya kukemea MAOVU kwenye nchi. Hujachelewa tunakutegemea kwenye hii safari ya kupambana na WAKOLONI WEUSI.
REPOST 200
We must do everything in our power to stop this idiot @DavidHundeyin from helping whitewash and sanitize the crimes of tyrant @SuluhuSamia’s regime. It is disgraceful that Tanzanian taxpayers’ money is being funneled through corrupt networks to bankroll propaganda aimed at covering up murders, abductions, repression, and gross human rights violations.
Tanzanians will not allow themselves to be insulted or manipulated by fake documentaries designed to cleanse the image of murderers and oppressors.
No amount of propaganda can erase the bloodshed, suffering, and injustice inflicted upon innocent citizens. #SamiaToICC #JusticeAndAccountability @IntlCrimCourt@HecheJohn@MariaSTsehai@WGEID@achpr_cadhp@UN_HRC@Smith_JeffreyT@mangekimambi@TitoMagoti
#Breaking🔥
Hundeyin: Dictator Hater Turned Paid Blood Launderer!
@DavidHundeyin
We still remember when you posted that Samia is a dictator. Now you’ve collected your bag from the dictator and switched sides completely. Paid to launder blood?
Which “documentary” are you pushing that will beat CNN, BBC & all international media on the October 29 Massacre?
You think your local Nigerian commentary can outshine multibillion-dollar outlets with actual evidence on the ground?
Who will believe a small-time Nigerian journalist like you doing damage control for a regime accused of mass killings?
Nigerians go soon talk about this your stupidity!
@sowore@fisayosoyombo@SaharaReporters@PremiumTimesng@DeleFarotimi@ruffydfire@AishaYesufu@adeyanjudeji@ToluOgunlesi
#WhatHappenedOnOctober29 #TanzaniaMassacre
BODA BODA wa Mbweni heshima yenu wanangu-wamewafukuzia watekaji mpaka wanaimgia nao kwenye kambi ya usalama wa taifa.
Baada ya kuona mnaweza kuwafikia wakaamua kusimamisha gari na wote wakatoka na bunduki kuanza kuwashambulia.
Wakati wote wanawashambulia na nyie mnakimbia huku nyuma mliokoa maisha ya DJUMBE.
MUNGU AWABARIKI WANANGU NA KAZI ZENU NA FAMILIA ZENU.🙏🏾
Tundu A.M Lissu alikamatwa akiwa Mbinga, Ruvuma Aprili 9, 2025. Tangu tarehe hiyo ya kukamatwa (Aprili 9, 2025) hadi leo (Mei 20, 2026), zimepita siku 406.
Februari 24, 2026, Mahakama Kuu ya Tanzania (Masjala Ndogo ya Dar es Salaam) iliahirisha kesi hiyo kwa muda usiojulikana (sine die). Shauri la msingi likasimama.
Hatua hii ilikuja baada ya upande wa Jamhuri kuwasilisha shauri la mapitio/rufaa katika Mahakama ya Rufani ya Tanzania kupinga uamuzi mdogo wa Mahakama Kuu.
Tangu upande wa Jamhuri ukimbilie Mahakama ya Rufaa na kesi ya msingi kusimamishwa (Februari 24, 2026) hadi leo (Mei 20, 2026), jumla zimepita siku 85.
Tunawauliza Serikali, hamtaki kuendelea na kesi yenu dhidi ya Tundu Lissu? Ushahidi wenu hautoshelezi? Vielelezo vya kuthibitisha kesi yanu vimeyeyuka?
Tunawauliza @judiciarytz, hamtaki kesi dhidi ya Tundu Lissu iendelee? Kwanini tarehe haipangwi baada ya siku 85 kupita? Majaji wa mahakama ya rufaa hawapo?
Kama hamtaki kuendelea na kesi kwa njia za mahakama, muachieni huru Tundu A.M Lissu. Kama mnataka kuendelea na kesi yenu, pangeni tarehe haraka sana.
Vinginevyo, mnaulazimisha UMMA kusimama na kumdai Tundu A.M Lissu. CHADEMA tunamtaka kiongozi wa chama chetu, uraiani. Tunasisitiza, #FreeTunduLissu.
Huyu anaeongea hivi ni mwenyekiti wa WANAWAKE TAIFA kupitia chama cha MAJAMBAZI.
Anasema yeye anahitaji Dakika 1 tuu kuuwa wanachama wa CHADEMA wote nchini.
Hutamsikia SISTA NYAHOZA kuandikia barua hawa MIKUNDU kujieleza kwanini CHAMA CHA MAJAMBAZI KISIFUNGIWE.
TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Anahitaji dakika moja tu kuwamaliza Chadema wote. Hivi hawa watu wanajua nini cha kusema na wakati gani?. Huyu ni MKT wa umoja wa wanawake taifa. Na kamwe hutamuona msajiri wa vyama akiwalima barua.
KAHAMA – SHINYANGA.
Ukisikia mavi yanagonga CHUPI ndio hii-Sista Nyahoza haamini anachokiona muda huu.
Dikteta JIKE Limejifungia linalia kwa kinachoendelea.
Asante Kahama, mwaga moto kama MADRAGON.
TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Nimepitia story ya BUYOBE , Nina maswali ya msingi
1. Baada ya Kusema tujitenge na BUYOBE! Mnakumbuka jibu la kwanza kama Reaction yake?
“Kwahiyo kusema kwamba Karatasi za Tume ya Chande Kuchomewa Zanzibar, Bara hakuna pa kuchomea ndo nimekuwa maalumu?👇🏾ALITAFUTA HURUMA KUJIBU
‼️🚨BREAKING NEWS‼️
DCI KINGAI AMEJIANDAA KUMKAMATA HECHE KWA UHAINI🙄
Uongozi haramu wa Samia Suluhu kupitia DCI imepangs kufungua kesi ya uhaini dhidi ya John Heche na wamepanga kumkamata kesho!
Lengo ni kusambaratisha chama cha CHADEMA na wanataka akae ndani muda mrefu ili warudishe wasaliti ktk uongozi na/au wamdhuru Heche wakati wa ukamataji!
Kaka @HecheJohn huu si muda wa kusema huna hatia so huogopi kukamatwa! We can’t afford ukamatwe! Wananchi wote tumlinde Heche kwa wivu mkubwa! Na tusipoamka watatumaiiza wote - we need to organize!
#TutaelewanaTu #SamiaMustGo
OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA IDHIBITIWE KABLA HAIJASABABISHA MAAFA KWA MARA YA PILI.
Tumeshauri sana na tunaendelea kushauri.Ofisi ya Msajili wa Vyama ndiyo chemichemi ya vurugu za kidemokrasia ndani ya Vyama vya Upinzani na inamchango mkubwa katika vurugu za Oktoba 29.
Kimsingi Tume ya Uchaguzi na Ofisi hii ya Msajili wa vyama kwa matendo au kutowajibika kwao zimesababisha asilimia zaidi ya 60 kupelekea Mauwaji ya Oktoba 29/2025.
Baadhi ya Maofisa wake kwa makusudi,kujipendekeza au kutumika wana mchango mkubwa sana katika kuharibu Haki, Amani ,umoja,utulivu wa kidemokrasia ndani ya vyama vya siasa na ustahimilivu wa Kidemokrasia
Ofisi hii Inafanya na Kutenda kwa kuzingita Uonevu,ubaguzi,hila na Inaongoza kwa matumizi mabaya ya Mamlaka.
Tunaweza tukalaumu vyombo vingine vya kusimamia sheria kama Polisi,Jeshi,Mahakama na vyombo vingine vya Ulinzi ila tusisahu kuwa kinu kinachofua na kuandaa hila, fitina na machafuko ni Ofisi ya Msajili wa vyama vya Siasa ambayo imeacha kazi ya kusajili vyama na imejigeuza Ofisi ya kuvutuga utulivu ndani ya vyama na kuminya uhuru wa kidemokrasia na ushiriki mpana wa vyama vya siasa.
Tusipo ziba Ufa tutajenga Ukuta,Mwanzo wa ngoma ni lele , na Asiye sikia la Mkuu huvunjika guu.Hala hala kidole na Jicho.
BAK Mwabukusi.
‼️IKITOKEA NIMETEKWA/KUPOTEZWA AU KUUWAWA, KINGAI NDO ATAKUWA MUHUSIKA NO. 1‼️
Nimepewa taarifa kwamba Mkurugenzi wa Upepelezi wa Makosa ya jinai nchini (DCI) Ramadhan Kingai ametuma Team ya maofisa wa Polisi wanitafute popote nilipo, wanifikishe kwake nikiwa hai au maiti,
Kingai anadai nimedharau na kukejeli wito wa Jeshi la Polisi ambao waliutoa siku kadhaa zilizopita.
Team hiyo aliyoituma inaongozwa na ofisa wa Polisi Kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Dodoma jina lake ni Edward Pius Soteli wengine ni
1. Detective Juma Sadick Bahat, huyu Katolewa ofisi ya RPC wa Mtwara,
2. Detective David Edward Mabula huyu katolewa ofisi ya RPC wa Ruvuma.
3. Detective Eliud Peter Kivuyo, huyu katolewa ofisi ya RPC wa Iringa
4. Detective Ally Jamal Mganzo huyu katolewa ofisi ya RPC wa Kigoma
5. Detective David Sailevo Lukumay, huyu Katolewa ofisi ya RPC wa Tabora.
Serikali haram iko na mambo ya hovyo sana yani pesa kwa ajili ya kufanya maendeleo hakuna lakin pesa za kulipa watu ili watutafute na kututeka zipo za kutosha.🚮