BAJETI 2026/2027. Hapa jambo kubwa ni je mikopo yetu ni HIMILIVU? Hapana imezidi. Kwani kwa takwimu hizi
Mapato ya serikali ni Shs T36.99 kodi+T9.24 mengineyo =T36.23.
Madeni ni T7.84 yaliyoiva+T6.86 riba=T14.70.
Madeni kama asilimia ya mapato halisi ya serikali : T14.70/T36.23 = 40.57%.
Deni himilivu halitakiwi kuwa zaidi ya asilimia 18% ya mapato ya serikali. Kwa hiyo tumevuka mpaka (kima cha juu) hata kama WAKOPESHAJI watatwambia vinginevyo. Bila misaada zaidi TWAFA🏃🏻♂️🏃🏻♂️🏃🏻♂️Kodi zikizidi uwezo wa wananchi kulipa zinakwepwa au kufirisi walipaji. Inakuwa vicious circle.
A time is coming when house/land buyers will demand that developers/saler produce an authentic original 1970s map of the area to show the natural water pathways before they buy that house/land.
Rain water is definitely going back to its original path that has been in existence for 100 years
#Peace is everyone’s responsibility, beginning with civil authorities. To govern means to love one’s own country as well as neighboring countries. The commandment “love your neighbor as yourself” is equally applicable to international relations! #ApostolicJourney#Cameroon https://t.co/C4zkA2S0YB