Mahakama inasema mtuhumiwa aletwe mahakamani magereza hawamleti,Mkuu wa Wilaya au Mkoa anazuia uamuzi wa Mahakama hakamatwi. Kiongozi anaitwa na tume ya haki za binadamu na utawala bora haendi .Polisi mikoa mbali mbali wanawashikilia mahabusu wanachadema kinyume na sheria.
JAKAYA KIKWETE NI KANSA KWENYE TAIFA LA TANZANIA. HUYU NDIO CATALYST WA MAUAJI YANAONDELEA TANZANIA NA VITENDO VYOTE VYA UMINYAJI HAKI.
Mwaka jana kipindi cha uchaguzi, kuna speech mbili aliongea Kikwete ambazo zilituumiza mioyo Watanzania wengi na pia speech hizi zilituonyesha Watanzania ni nani anaemdanganya Samia Suluhu kuendelea na unyanyasaji wa Watanzania, utekaji na uuaji wa Watanzania.
Video ya kwanza, Kikwete alisema kuwa sheria za uchaguzi Tz sio mbaya, ziko sawa tu na kwamba ni kundi dogo la watu ndio linadanganya wananchi.
Imagine nchi nzima inavyolia na sheria za uchaguzi ila Kikwete anakwambia hizi ndo sheria zinafaa Tanzania.
Video ya pili Kikwete anasema kuwa bunge zima la Tanzania linatakiwa kuwa CCM tupu maana hawataki kuchanganya pumba na mchele, kwamba wao na familia zao ni mchele sisi wananchi tunaolilia haki ni pumba.
Downfall nzima ya demokrasia Tanzania ameileta Kikwete na mpaka sasa yeye ndio anazidi ku drive machafuko ndani ya nchi kwa kuhakikisha Watanzania hawapati haki.
Yes, Samia ana deserve lawama zote ila inabidi Watanzania waelewe Samia anapewa nguvu na Kikwete. Hata Samia tufanikiwe kumuondoa ila as long Kikwete bado yuko involved the siasa za Tanzania basi Watanzania tutaendelea kuuliwa nafasi CCM.
Na kinachoumiza zaidi @_AfricanUnion imempa Kikwete position ya kudeal na siasa tata nchi za Afric. Imagine master mind wa siasa tata Tanzanka ndio anapewa cheo za kusawazisha siasa tata Tanzania.
Huyu Mzeehatakiwi kupewa nafasi in any room ya uongozi popote pale. Ana damu za Watanzania kwenye mikono yake.
Things are getting worse in Tanzania.
@Europarl_EN@SenTedCruz@SenatorShaheen@SenateForeign@SecRubio
The government has now banned political rallies after the main opposition party drew massive crowds across the country.
When a government responds to overwhelming public support for the opposition by banning political rallies instead of respecting the democratic process, it should alarm everyone.
Alafu wanawanyooshea vidole wananchi kuwa wanataka kuharibu amani na wao watalinda amani…..
Waharibifu wa amani wanadai wao ndio wanalinda amani…..
#Tanzania
"An 82-page submission to the International Criminal Court by a group of civil society organizations [has] stated that the Tanzanian authorities killed more than 3,000 civilians following polling day [last October]."
https://t.co/dHCUchvlQU @euobs
Yaliyotokea October 29. Watu wa Muhimbili wanaanza kufunguka.
Imagine una watu wanajiita viongozi waliokuwa wanachukua majeruhi kwenda kuwaua.
Tarehe ni moja tu; 7.7 Tunatoka
Today, @SenatorShaheen advanced multiple pieces of bipartisan legislation at the SFRC business meeting.
Read more about the bills here ➡️https://t.co/jbBhrG3PMi
Dear United States Senate,
Tanzania's Minister of Foreign Affairs, Mahmoud Kombo, recently spoke in the Tanzanian Parliament in Dodoma, claiming that your proposed bill to impose sanctions on Tanzania is politically motivated. Additionally, Bulayo, another member of Parliament, expressed concerns that the bill does not provide them an opportunity to defend themselves, arguing that you have never visited Tanzania to discuss these issues directly with them.
This assertion is problematic. The Tanzanian regime is the one refusing to allow a fact-finding mission from the EU Parliament's Human Rights Committee, as well as refusing to invite the SADC or UN Missions. They are also uncooperative with the AU Mission, which is an international, independent commission. Now, the regime pretends to extend an open hand to the US Senate. Your proposal suggests that a UN Mission visit Tanzania to address this issue.
Moreover, Tundu Lissu remains in prison under politically motivated charges. Do you need to visit Tanzania to know that Tundu Lissu is imprisoned? You have proposed that he and other political prisoners be released, and you do not need to be in Tanzania to confirm this situation. Kidnappings are occurring, and Tanzanians need constitutional reforms, yet the regime shows no effort to facilitate this process. Your stance reflects the perspective of many Tanzanians but runs counter to a regime that does not represent the people. In fact, Kombo has stated that they will not release Lissu, underscoring the urgency of voting on your sanctions as soon as possible to take action against the regime.
Kombo further claimed that the Tanzanian government would cover your travel and accommodation expenses if you were to visit and better understand the context of police shootings that have resulted in the deaths of thousands of citizens who were allegedly accused of throwing stones at police officers. He also wants to discuss the fatal shootings that occurred on October 29, 2025.
This raises an important question: Is it appropriate for US officials to accept travel expenses from foreign governments while performing their official duties? For instance, can a senator accept funding from the Tanzanian government while investigating events surrounding election day?
In simpler terms, the Tanzanian government is suggesting that it will attempt to influence you to support its position, assuming that you might be motivated by political deals. This government has a history of trying to bribe individuals for praise and support, thereby positioning you alongside others viewed as corrupt and lacking integrity.
The regime must be held accountable for its actions, including revealing who ordered the police to shoot and kill innocent citizens. They need to explain what happened to the thousands of bodies that were left in the streets and where these bodies have been taken. We deserve to see the final respects and burial services for our brothers and sisters. There are reports that bodies from various mortuaries across the country have been taken to a mass grave, while others have been buried in undisclosed locations.
Cc.
@tedcruz@SenatorShaheen@SecRubio@SenateForeign@SenTedCruz@SFRCdems@statedeptspox_a@StateDept@AsstSecStateAF@usembassytz@UNHumanRights@UN_Women@Europarl_EN@USTreasury@FoxNews@cnni@BBCAfrica
.@DavidHundeyin's film isn't a critique of propaganda—it functions as propaganda itself: recasting #Tanzania's election massacre as foreign intrigue, burying evidence of state repression, killings, disappearances, and gaslighting the victims. My analysis: https://t.co/ivzFhzC1uA
NOT YET HEALED. STOP YOUR MOCKERY ON THE LIVES OF OUR BELOVED.
Here we are with Chairman James Mbatia a man who was stripped of his chairmanship through deceit by the so called “healing Masters”.He is not healed.
On my right hand is my younger brother Abdul Khareem, and my younger brother Mdude Mpaluka Nyagali is on the far left.
Mdude’s children have not healed.
Mdude’s wife has not healed.
Mdude’s sister has not healed.
Mdude’s friends have not healed.
It is deeply irresponsible and insensitive to joke about people’s lives. We reject slogans of “Never Never Again” or " Dumb Close Claim of Sovereingty " until our brother Mdude Mpaluka Nyagali is returned to us and all Issues of enforced Disapearences and October 29 massacre have been fully addressed and investigated.
If you hear anyone claiming that “we have been healed,” know that such a person is a manipulator and should be ignored.
There can be no healing in TANGANYIKA without:
TRUTH, JUSTICE, AND ACCOUNTABILITY.
BAK MWABUKUSI
SHAMBANI, BUSOKELO.
Kombo mliua watu wote hawa, mkajitangazia ushindi wa uongo..
Hamjawahi kuomba radhi, hamjawahi kuwatafuta ndugu wa marehemu wala familia zao, kuwaheshimu na wengine mapaka sasa hawajawahi kuona miili ya ndugu zao kuzika..
Bado mnapanga mipango ovu dhidi ya watu wema, kuwambakizia watu kesi za uongo ya mauaji yenu, bado Mnateka na kudhuru watu..
Bila aibu kwasababu wewe na familia yako mnakula hela za damu unasema mmeheal!!!!
Unafikiri Watanganyika watasahau?
Wait, let me get this straight.
So this woman ordered the killing of over 10,000 of her own citizens, then turned around and claimed the presidency.
Just days after the massacre, she stood on a podium and proudly declared that “the correct force” had been used against protesters. Then, in one of the coldest moments imaginable, she questioned grieving parents by asking: “Why did you allow your children to protest? This is why they are dead.”
When the European Union condemned the killings, she arrogantly responded: “Who are you to tell me what?”
Then the United States condemned her regime. Unlike her response to Europe, she was far more careful with America because she fears Washington. Instead of insults, she sent lobbyists to try and convince President Trump and the U.S. government to look away from the bloodshed.
As we speak, Tanzania continues paying tens of thousands of dollars every month to a Trump-aligned lobbying group in Washington, hoping Americans will ignore the massacre. But despite the lobbying, President Trump has not looked away. Members of the U.S. Congress have continued standing with the victims and condemning the killings.
When lobbying failed, she moved on to offering mineral and business deals to American companies, believing economic interests would erase the blood of innocent protesters. Some companies accepted the deals, yet still the pressure from the United States did not disappear.
And now, after failing to silence international outrage, what is her latest move?
She has turned to some of the world’s most notorious online scammers to help rewrite history , to shift blame away from her regime and somehow pin responsibility for the killings on America and President Trump. She has hired a NIGERIAN SCAMMER to do a documentary to whitewash the killings. All reputable journalists and media houses in the world refused to do her dirty work, except Nigerians, OFCOURSE!!!!
Imagine that. A government after massacring its own people now paying NIgerian scammers to attack the very countries demanding accountability.
@POTUS, @realDonaldTrump Tanzanians are begging the world not to abandon us. A country cannot heal, prosper, or remain stable while the person who ordered mass killings continues to hold power without accountability.
The people of Tanzania deserve justice. And above all, they deserve the chance to reclaim their country and live without fear.
STOP USING PROPAGANDA OVER THE LIVES OF TANGANYIKANS.
No nation is oppressing us. Our problems are the result of our own ignorance and cruelty.
We have abandoned accountability founded on the rule of law and the Constitution, and have turned ourselves into untouchable gods.
We cannot continue killing and attacking thousands of people and then claim to be sovereign; that is ignorance born out of a lack of understanding.
Sovereignty in any nation exists within civilized limits recognized by the international community.
IF WE ARE NOT READY TO HOLD OURSELVES ACCOUNTABLE, THEN THE INTERNATIONAL COMMUNITY WILL HOLD US ACCOUNTABLE.
Truth, Justice, and Accountability are the only foundations upon which this nation can be rescued from its current crisis.
BAK MWABUKUSI
Watanzania, samia suluhu hassan na genge lake wanasema maandamano ya October 29 yalifadhiliwa na “mabeberu”, samia huyo huyo anamtuma Nyalandu, Thabit Kombo, Balozi wa Tanzania USA, Elsie Sia Kanza kwenda kuongea na wanao waita mabeberu.
samia anawalipa malobist “mabeberu” (Ervin Graves Strategy Group) zaidi ya dola million 1 ili wawasaidie kufuta damu za October (kwa mwezi dola elfu 45). Huku wanapigwa za uso sana, wanapoteza pesa tu.
Nyalandu alikutana na Ted Cruz airpot Florida mwezi wa pili. Jamaa hakumuelewa.
Sen. Ted Cruz na Sen. Shaheen ndio wanafikisha Mswaada wa kuiwekea vikwazo Tanzania na kupitia tena mahusiano yetu na USA. Vikwazo vinasema vitawalenga viongozi wa maCCM na ambao wapo serikali waliohusika na mauaji ya October 29.
Watanzania, narudia tena, dunia ipo na sisi. Tuendelee kupambana.
MaCCM, nimewaambieni, hamuwezi kusafisha damu za Watanzania wenzetu zaidi ya elfu 10 mlio waua kwa kutumia pesa. Tubuni na wanibushaneni.
ICC nayo ipo njiani.
#TanzaniaMassacre #SamiaMustGo