BREAKING: Kocha Mkuu wa Klabu ya @RSBfootball "Florent Ibenge" ameripotiwa kupata ajali mbaya ya gari jana alipokuwa akirejea nyumbani kutoka mazoezini.
Amejeruhiwa vibaya (amevunjika mara mbili) na hatakuwepo kwa muda mrefu kulingana na ripoti iliyotolewa.
#KitengeSports
@CarolNdosi Nadhani tutafute solution ya haya mambo. Naamini tukiamini inawezekana mabadiliko na tukifikisha ujumbe mahali husika something will change