@Sisimizi3 Ungejifunza hata namna ya kupangilia Majina ya Makardinali kabla ya kutunga au kupushi barua iliyotungwa.Mbele ya macho ya wanaojua mambo unabaki wewe na aibu yako๐๐
@PMadeleka Ingawaje lakini, katika usahihi wake wa neno Falsafa,imani na itikadi tajwa hazikidhi kuitwa falsafa kwa namna ya moja kwa moja.
4Rs ni Falsafa kwa Wasio Wanafalsafa.
Lakini kwa Wanafalsafa 4Rs ni Vuguvugu (Movement).
@PMadeleka Katika dhana ya kawaida kabisa falsafa imechukuliwa katika kuelezea jumla ya mafundisho au imani ya mtu ama kikundi cha watu.
Kwa mfano falsafa ya maisha yangu,falsafa ya dini fulani, falsafa ya nchi fulani,na kdhalika.
#๐ญ๐ฏ.๐ก๐๐ก๐ข ๐๐ ๐๐จ๐๐๐
"Njia na nia ya kutafuta kitu,vinaweza kuwa sababu ya kujibiwa au kutojibiwa kwa maombi yetu kwa Mungu wetu."
5๏ธโฃ KWA NINI ALIKUNYWA BAKTERIA KWA HIARI?
Dr. Marshall hakupata ruhusa kufanya majaribio kwa panya/binadamu.
Ili kuthibitisha nadharia yake, alikunywa bakteria wa vidonda vya tumbo!
Matokeo yake? Alijipa ugonjwa, akathibitisha ukweli, na hatimaye akashinda Tuzo ya Nobel.
1๏ธโฃ DAKTARI JASIRI ALIYEUTETEA UKWELI KWA KUJIDHURU
Katika miaka ya 1980, Dr. Barry Marshall aliamini vidonda vya tumbo husababishwa na bakteria, si msongo wa mawazo.
Wenzake walimpuuza.
Alichofanya?
Alijidhuru kwa kunywa bakteria hao!
Soma simulizi yake ya kusisimua. ๐งต๐
4๏ธโฃ Zamani, vidonda vya tumbo vilitibiwa kwa dawa za kupunguza asidi tu.
Dr. Barry Marshall alithibitisha kuwa ugonjwa huu unasababishwa na bakteria na unatibika kwa antibiotiki!
Lakini ilibidi ajifanyie majaribio yeye mwenyewe kwanza. ๐งต๐