Don't lose sleep because relatives are forcing you to marry.
Or your agemates are marrying.
That's their problem.
What should worry you is:
- Do I grow my food?
- Do I own cows & goats?
- Am I saving & investing?
- Do I have a skill?
- Do I have a house?
#BetterTogether
2027 imebaki miezi 6 tu.
2016 ilikuwa miaka 10 iliyopita.
COVID ilianza zaidi ya miaka 6 iliyopita.
Waliozaliwa 1990 wamebakiza miaka 14 tu kutimiza miaka 50.
Na leo, 2007 iko mbali zaidi kuliko 2040.
Muda unakimbia.
Acha kusubiri. Anza sasa.
Be boring. Don't chase trends. Don't follow opinions. Do your own thing. Things that feels right in your heart. Wake up early. Go for walks without music. Read books that takes weeks to finish. Watch old films nobody talks about. Music that's rare. Build a private, unimpressive life that makes you deeply happy. A slow life that feels like your own. That's all that matters.
Kwenye post za hili tamko la leo kuhusu wa 🇹🇿 pambanieni katiba.
Comments nyingi zinasema
-Huyu anatufaa anaongea lugha yetu.
-Anavyoongea kwa upole hadi raha
-Huyu anaonekana ana huruma na wananchi
-Mzee kanyooka sana anatufaa!!
Kiukweli mitanzania ni mibumunda sana, rahisi kweli kuichota akili 🚮
aaaf inasahau haraka!!
Inasahau kuwa kila aliyekuja kuwa miyeyusho alianza kwa lugha tamu hizo hizo!!
Mimi nitakuwa wa mwisho kumuamini whoever anayetoka upande ule wa vegetables.
Ni kweli VICEnt seems like a good man, tatizo anaongelea akiwa wapi!!
Mimi moyo wangu umekuwa mzito sana kuwaamini hawa……
“Hakuna mazungumzo yatakayofanyika bila Mwenyekiti kuwa nje, hakuna mazungumzo yatakayofanyika bila watu kuwajibika, na hakuna mazungumzo yatakayofanyika bila mpatanishi ambaye atakuwa katikati.” Mhe. @HecheJohn
CHANGIA
M-Pesa
Namba: 0744446969
Jina: CHADEMA HQ
Agenda ya kufunika wizi mkubwa kwenye sketa ya mafuta.. Watanzania msikubali.
Tunataka kujua kwanini Vitol ametuuzia mafuta kwa usd 260 sawa sh 689,000.
Wakati huo huo anawauzia Uganda mafuta hayo hayo kwa USD 83 sawa na sh 212,000
Msumbiji usd 90 sawa na 238,500.
Hawa watu wanaoitwa NAMARO na TPDC wamehusikaje kwenye huu ufisadi wa kufilisi Nchi.
Huu ni uhujumu uchumi mkubwa kuwahi kutokea katika Nchi hii.
Kuna zaidi ya 1.2 trilioni imeibiwa katika mafuta.
Katibu mkuu wa Nishati bwana Mataragio alisema tuna mafuta ya kutumia miezi mitatu.
Watanzania tusikubali huu wizi.