nadhani kosa kubwa tunalofanya ni ku appeal to those in power in a legalistic, moralistic language. “sheria inasema hivi.” “hivyo si vzuri.” bro, hao watu wanajua, siyo wajinga. issue is they don’t give a fuck. instead of moralizing, organize, and challenge power on the ground!
After listening to the testimonies of Tundu Lissu’s wife and Ambassador Humphrey Polepole’s sister before the European Parliament, my heart broke.
How can you watch others suffer as a human being and remain silent?
How can other human beings cause such pain to others, then go home, spend time with their own families, hug their children, sit around the dinner table, and carry on as if nothing happened?
How?
A wife is pleading for her husband.
A sister is pleading for her brother.
Mothers are grieving.
Children are asking where their fathers are.
Families are searching for answers that never come.
And then an illegitimate government still denies all of this.
They might even send officials and spokespersons to stand before the world and deny the truth.
How can some people deny even other people’s pain?
Yaani watu wanaleta ushahidi, familia zinatoa ushuhuda, dunia inasikiliza, lakini bado mnasukuma simulizi za propaganda ili kukwepa uwajibikaji?
People present evidence, testimonies, reports, and firsthand accounts, and still the response is denial, denial, denial and narrative management instead of truth and accountability.
Some of us speak because looking away was no longer an option.
Some of us speak because our humanity would not allow us to remain silent.
Free Tundu Lissu.
Free Humphrey Polepole.
Bring back Soka.
Bring back Mdude.
And for the many others who have disappeared, tell their families where they are.
Dead or alive-tell the truth.
Where are they?
Where are the bodies of many of those killed on October 29 and in the violent aftermath that followed?
Where are the answers that families deserve?
How can a state fail its people in this way and still stand before the world and claim legitimacy while denying the pain of its own citizens?
No government can build lasting peace on denial.
No nation can heal by hiding the truth.
No society can move forward while families are still searching for their loved ones and graves remain unknown.
Truth. Accountability. Justice.
That is all these families are asking for.
And that is why some of us refuse to be silent.
@StateDept@RepMcCormick@RepJoeWilson@SenatorRisch@SenTedCruz@SenatorShaheen@SenRickScott@SenRandPaul@LeaderMcConnell@SenOssoff@SenatorWarnock@SFRCdems @SFRCgop @Europarl_EN@EP_President@amnesty@hrw@UNHumanRights@BBCWorld@Reuters@CNN@nytimes@washingtonpost
📆 #LFC Premier League fixtures in FULL
▪️ Newcastle trip first up for Iraola
▪️ Forest first home game
▪️ Derbies in November and January
https://t.co/6iP9t36AgU
Watanzania, mambo yanaendelea vizuri. Dunia ipo na sisi. Msiwe na hofu, tutashinda. Bado kuna kishindo kinakuja. Keep on fighting.
Nipo na begi la maamuzi magumu. Yajayo yanafurashisha
#TanzaniaMassacre#FreeTunduLissu
Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani @exmayor_bonifacejacob akihutubia mkutano wa hadhara mjini Kyela, Mbeya leo. ✌🏾🔥🙏🏾
NB: Mwambieni Mwenezi ‘GANJA MBICHI’ wa CCM huyu ni BONI YAI peke yake.
Pia sisi tukipanga viti kama wao hakuna eneo litatosha kwa mikutano yetu
NB mtamalizia wenyewe!
KAMA HUKUPATA NAFASI KUSOMA
"Anaandika Baba Askofu Bagonza
YUDA AMECHOKOZWA; ASICHOKOZEKE❗️❗️❗️
Yuda wa Biblia alimsaliti Bwana Yesu. Siamini kama mleta hoja anamaanisha msalitiwa katika hoja yake ni sawa na Bwana Yesu!?!? Ipo siku tusiyoijua, “Yesu” huyu aliyefumbwa katika hoja hii, atafananishwa na “Mtume” asiyelinganishwa. Hapatatosha. Mleta hoja hajachagua vizuri maneno yake na mifano yake. NIMEMSAMEHE BURE.
Sakata hili lina mapichapicha sita ya hatari.
1. Msemaji aliwahi kuchokonoana na Rais wake huko kwao mpaka akajiuzuru. Mama yetu akamchukua, akamteua. Ina maana Rais yule na Mama yetu hawako shwari? Je Mama ni Yuda wa Rais yule kwa kuwa alimchukua mleta hoja?
2. Mleta hoja ni Mzanzibari, anamnanga Yuda Mtanganyika. Hii ni kero au ufa katika muungano? Alikosekana Mtanganyika wa kumrudi Yuda Mtanganyika?
3. Mleta hoja anasali Ijumaa; anamnanga anayesali Jumapili kwa kutumia picha ya (Yuda) anayeomba huruma makanisani. Tuseme katumwa na msikiti?!
4. Maneno yake yameingia kwenye Hansard. Bunge halikukanusha. Je ni bunge zima linamwita Makamu kuwa ni Yuda?
5. Naibu Spika alipomwongoza ajikite kwenye hoja, wabunge walipiga makofi. Walifurahia Naibu Spika kuingilia au walimshangilia mtoa hoja. Je makofi hayo ni mashangilio ya tumbili wa Kijaluo anayeshangilia pori linaloungua bila kuwaza atalala wapi usiku?.
6. Hoja imetolewa siku Rais ameondoka nchini na kwa mujibu wa katiba, Makamu ndiye Mkuu wa nchi wa zamu. Mtoa hoja anamaanisha hamtambui Makamu kama Mkuu wa nchi wa zamu?
Kwa vyovyote, kuna dalili mbaya. Matiti ya binti wa Kijaluo yakiishaota, hayafichiki na hayarudi nyuma.
7. Wakristo wanaamini usaliti wa Yuda ulileta wakovu. Bila usaliti, Yesu asingekufa. Bila kifo, asingefufuka; na bila kufufuka, wokovu usingepatikana. Hakuna wokovu bila usaliti. Waliookoka wameisaliti dhambi ili wawe huru. Mleta hoja kakosea. Hakuna Yuda na hakuna Yesu katika hoja yake. Zilikuwa ni saa za jioni; Dodoma mapito ni mengi, hatujui alipitia wapi kuja bungeni.
8. Kisiasa, CCM bila tishio la upinzani wa nje, inayumba. Tulishauri mapema sana Lisu aachiwe ili aiunganishe CCM, tukapuuzwa. Angeachiwa mapema, CCM ingeungana na kusahau tofauti zake za ndani ili kukabiliana na upinzani. Hivi sasa wapo wana CCM wanamtamani Lisu ili awasaidie kuona thamani ya umoja wa chama chao. Hamjachelewa.
9. Mama alikuja na “R” nne. Moja ya “R” hizo ni REFORMS, yaani mabadiliko. Lisu akamuunga mkono Mama kwa kusema “Bila Mabadiliko, Hakuna Uchaguzi” (NO REFORM, NO ELECTION). Akakamatwa kwa uhaini wakati aliunga mkono falsafa ya 4R! Mbadilishie mashtaka mseme alikosea kumuunga mkono Mama!
10. Wenye madaraka punguzeni nguvu, ongezeni hekima. Ruto alitumia nguvu, sasa ana nguvu lakini urais (Presidency) ni dhaifu. Kambarage alitumia nguvu na hasira Januari 30, 1984, Mpaka anaondoka duniani, jambo hilo lilimtesa. Trump alimnanga Pence hadharani, akaangushwa na Biden kwenye uchaguzi. Rais na Makamu hawatenganishwi kirahisi. Si mnatuimbia maridhiano!? Ridhianeni, wapambe tukose kazi.
Kama Yuda alichokoza; aliyechokozwa asichokozeke. Kama Yuda amechokozwa; asichokozeke.
Wajaluo bhana! Eti, hata anayepotea ana anakokwenda."
Jioni ya siku aliyoandika tweet, bahati nzuri, nilikuwa hewani.
Nilipoona tweet yake nika assume:
1) He's in danger, au
2) Amekuwa compromised.
What did I do? I commented outright, discrediting the content.
Alafu nikampigia Madenge.
Huyu mzee amesikika akikiri kwa kujivunia kuwa wakati akiwa IGP alikuwa KATILI kupita kiasi.
UKATILI wa Mahita sio suala jipya!
Mtoto wake ni kati ya maaskari KATILI sana huko Arusha.
Familia yake imebobea sana katika eneo hilo; na ni hakika, kwa wakati, watavuna walichopanda.
Sawa kabisa mnaosema Marekani wasitunyanyase! Sawa! Na sisi tusidai kutonyanyaswa bali tudai kutotekwa, kutotekwa na kutouwawa bila sababu. Hivi hilo nalo ni gumu, wajameni?! Punguzeni povu midomoni, ongezeni fikra vichwani. Huo ni mkwamo mlikokwama na dawa yake si kasi ya midomo.
BARUA YA WAZI KWA CHADEMA
Chama cha siasa ni ideology; uanachama wa chama cha siasa ni values.
Chama cha siasa kinajipambanua kwa vile kinavyoamini kuhusu sera ya umma na namna jamii inavyopaswa kuenenda.
Uanachama na ufuasi wa chama cha siasa unatokea pale ambapo values za mtu binafsi zinalandana na ideology ya chama cha siasa.
Ideology ya chama cha siasa ni kama sumaku, inavuta values zinazolandana nacho.
Katika tafsiri hii, haiwezekani mtu leo akawa CHADEMA kesho akawa CCM halafu keshokutwa akawa CHADEMA.
Haiwezekani leo ukawa progressive kesho ukawa conservative halafu keshokutwa ukawa tena progressive.
Haiwezekani leo ukawa mjamaa kesho ukawa mbepari halafu keshokutwa ukawa tena mjamaa.
Hata ikitokea kwamba mwanachama wa chama cha siasa hakubaliani na mambo fulani ndani ya chama chake kiasi cha kutaka kujiondoa, ni vigumu kwa mwanachama huyu kujiunga na chama cha siasa chenye ideology tofauti kabisa na ile ya chama chake.
Ni vigumu kwa sababu values zake zilizomvuta na kujikuta amekuwa mwanachama wa chama chenye ideology A hazilandani na chama chenye ideology B.
Ikifika hatua mtu akawa na uwezo wa kuhama vyama vya siasa atakavyo, tena vyama ambavyo ni two extremes sawa na mashariki na magharibi, kuna vitu vikubwa viwili:
1. Huyu mtu sio mwanachama wala mwanasiasa, ni opportunist. Ni ile aina ya wanasiasa ambao Mwalimu Nyerere aliwaita “wanasiasa malaya malaya.”
Ni malaya malaya kwa sababu hawana values; hawavutwi na ideology. Kama hauna values maana yake ni kwamba unafit popote, ni mercenary kwa lugha ya Mwalimu. All you care about is money, fame, and material rewards. That’s all.
2. Chama kinachomruhusu yeyote kutoka na kuingia atakavyo sio chama cha siasa, ni version ya chama dola.
CCM ni mfano mzuri wa chama dola kwa sababu hakina ideology wala wanachama wake hawana values. Kinachowaleta pamoja ni kitu kimoja tu, MADARAKA; ni MASLAHI BINAFSI.
Yeyote anaweza kusajiliwa CCM, muhimu awe tu na uwezo wa kupata madaraka. Pesa na fame ndio values za CCM, yeyote mwenye haya anaweza kusajiliwa.
Hii inamaanisha pia chama cha siasa kama CHADEMA kikianza kuwa na tabia hizi za chama dola nacho kinageuka kuwa version ya chama dola.
Yani kinakuwa chama dola kisichokuwa na dola. Which means kama kikipata dola nacho kitabehave vile vile kama chama dola.
Kwa mantiki hiyo kitafit kabisa ile tafsiri ya “CCM B.”
Na ukitaka kuupima ukweli wa hili, sikiliza ile kauli ya “CHADEMA NI CHAMA CHA SIASA, MALENGO YAKE MAKUU NI KUSHIKA DOLA.”
Hii ni kauli inayoweza kutolewa na watu wasiokuwa na values ndani ya chama dola. Yes, malengo makuu ya CHADEMA KUSHIKA DOLA kama wasemavyo watu hawa hayatofautiani kivyovyote vile na malengo makuu ya CCM KUENDELEA KUBAKI KWENYE DOLA kwa njia yoyote ile.
Wote wana through line moja, DOLA KWANZA UMMA BAADAE. Hii inamaanisha pia watu hawa hawajali matatizo halisi ya umma, isipokuwa wanayatumia instrumentally kufikia malengo yao (I TRULLY HOPE THIS IS NOT THE CASE).
Hata hivyo changamoto kubwa hapa ni kwamba CHADEMA ikiamua kuwa na tabia za chama dola, kamwe haiwezi kuwa mbadala wa chama dola kwa sababu kitabia na yenyewe inakuwa chama dola.
Ikifikia hatua hiyo, CHADEMA inabadilika na kuwa mtaji mzuri sana wa kuhalalisha matendo ya chama dola na malengo yake ya kuendelea kubaki kwenye dola.
Kazi ya chama dola itakuwa kusema tu, “si mnawaona hata wao? Kuna chochote cha tofauti mnachokiona kwao?”
Matokeo yake ni kuukatisha umma tamaa kwa kuufanya ufikie hitimisho kuwa “wote ni walewale.”
Natamani CHADEMA ingejipambanua kama CHAMA CHA SIASA CHENYE IDEOLOGY NA WANACHAMA WENYE VALUES badala ya version ya chama dola inayorudufisha umalaya wa kisiasa.
Ideology inatengeneza integrity, na matokeo ya integrity ni imani ya umma.
Natumaini CHADEMA haitawafikisha watanzania kwenye ile Orwellian state ambapo wanyama waliwaangalia wanadamu kisha wakajiangalia wenyewe kisha wakawaangalia tena wanadamu na kushindwa kuelewa wapi ni wanyama na wapi ni wanadamu.
Ahsante!