Mining Bitcoin used to be a hassle, expensive rigs, sky-high electricity & tech know-how.
GoMining changes everything Turns real mining power into NFTs you can trade, hold for BTC rewards, or upgrade on-chain. I’m stoked to help you join the revolution. Scan QR code for more ⤵️
🚨 DELETE YOURSELF FROM THE INTERNET 🚨
Want to vanish from the web? This guide deletes 99.8% of your digital footprint. Follow these steps to reclaim your privacy and disappear online:
Naandika kwenu MAWAKILI wetu. Hakuna anayewalipa. Hakuna anayewaahidi kesho iliyo salama. Lakini bado mnaamka kila siku na kuchagua kusimama upande wa haki kimya kimya bila kelele bila makofi.
Mnakesha mkisoma, mkitafiti mkisafiri mbali mkibeba mzigo wa wasiwasi ambao wengi hawawezi kuuelewa. Wakati wengine wanatafuta raha nyie mnachagua wajibu. Wkt wengine wananyamaza nyie mnabeba sauti za haki.
Hii si kazi hii ni wito. Demokrasia haifi kwa siku moja hufa taratibu pale watu wema wanapochoka kusimama. Na nyie mmeamua kutochoka. Historia haiandikwi na waliokuwa na nguvu bali na wale waliokuwa na ujasiri wa kusimama pale ilipokuwa ngumu.
Mnaweka misingi ambayo hata kama haitatambulika leo itasimama kesho kama nguzo ya taifa lenye haki. Mnaumizwa, mnapuuzwa wakati mwingine mnaogopwa lakini bado mnasimama. Huo ndio ujasiri wa kweli. Huo ndio uzalendo usio na matangazo.
God bless you na wengine wote wenye hari kama zenu kote Nchini.
Much Love MAWAKILI WETU
@Caibunku@EmmanuelMkongo1 Mungu ambaye alisema zamani na baba zetu katika mitume na manabii, sikuhizi amesema nasi katika mwana aliye mweka kuwa mrithi wa yote, tena kwa yeye aliufanya ulimwengu Ebr 1:1-2
Ukimwamini Yesu utakuwa umempata Mungu wa kweli aliye wasaidia hao baba zako
Usiogope mwamini Yesu
start with the basics. 8 hours of sleep, 3L of water, meditation, daily sunlight, 30 minutes of reading and some movement daily. make this your default routine, do not go back to your old habits. this compounds to affect your entire life.
I have cracked the fucking code.
We bottom this year August-September latest. Earlier than previous cycles.
It then takes $BTC just under a year to create a new ATH.
Based on the math, we are 427 days from creating a new all time high.
And we are 120 days from creating a bottom. That means... we form a new ATH precisely between April and August 2027.
Based on this metric, we have completed 75% of the bear market.
In this image, I am measuring the time from each election to the first bull market peak, as well as how long it takes Bitcoin to surpass that peak following the subsequent election day.
The cycles are accelerating, with shorter bear markets and faster recoveries.
In the next 1 year, I’m either going to look like a genius or a complete fool. This is my prediction based on current patterns and their timing.
Sexual discipline separates boys from men.
Financial discipline separates the rich and the poor.
Discipline separates the top 1% from the 99%.
As a man, discipline is the highest form of self-respect.
Kwa wale ma low IQ ambao bado hawaelewi why niko nyuma ya Rais wangu @potus on this Iran war mtanielewa in due time…….
Kwenye hii vita ya Iran kila mtu anaangalia manufaa ya nchi yake.
1. Wa-Iran wanaotaka nchi yao ipigwe mabomu ili Islam Republic itoke madarakani bila kujali damage inayofanyika kwenye nchi yao wameamua hivi kwa manufaa ya mbeleni ya nchi yao.
2. Trump ameitikia wito wa wananchi wa Iran, kuwaokoa na serikali ya wauwaji kwa manufaa ya mbeleni ya nchi ya Marekani.
3. Israel imeitikia wito wa Wananchi wa Iran kuokolewa na serikali ya wauwaji kwa manufaa ya mbeleni na survival ya nchi ya Israel.
4. Mange Kimambi namsapoti Trump kwenye vita hii kwa manufaa ya mbeleni ya nchi ya Tanzania.
5. Chama cha CCM kipo upande wa Islamic republic na mpaka wanamlilia Khamenei kwa manufaa ya mbeleni ya chama chao. Wanajua Iran akishindwa hii vita basi madikteta wote duniani wako on notice.
6. Jiulize wewe upande ulioko kwenye hii vita una manufaa gani ya mbeleni ya nchi yako? Ukishapata jibu jiangalie kwenye kioo jiulize je wewe ni Low IQ au high IQ??? Maana kila mtu mwenye high IQ anaangalia hii vita kwa manufaa ya mbeleni ya nchi yake ila wewe unafata ushabiki maandazi usio na manufaa ya mbeleni ya nchi yako.