📍Dar es Salaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akitazama matokeo ya tafiti mbalimbali yaliyotolewa na Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF) wakati alipowasili katika Ukumbi wa Johari Rotana Jijini Dar es Salaam kwaajili ya Ufunguzi wa Mkutano wa Kusherehekea Miaka 30 ya Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF) tarehe 21 Oktoba 2024.
📍Dar es Salaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na viongozi mbalimbali katika picha ya pamoja na Wakurugenzi Wastaafu na Wajumbe wa Bodi ya Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (waliosimama) mara baada ya Ufunguzi wa Mkutano wa Kusherehekea Miaka 30 ya Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF) uliyofanyika katika Ukumbi wa Johari Rotana Jijini Dar es Salaam tarehe 21 Oktoba 2024.
📸:O/Makamu wa Rais
📍Dar es Salaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimkabidhi tuzo Mkurugenzi Mtendaji wa kwanza wa Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF) Prof. Samuel Wangwe wakati wa Mkutano Kusherehekea Miaka 30 ya Taasisi hiyo uliyofanyika katika Ukumbi wa Johari Rotana Jijini Dar es Salaam tarehe 21 Oktoba 2024.
📸:O/Makamu wa Rais
@policy_F He was also quite popular in our policy dialogue sessions @ESRFTZ. He'll definately be missed. May his soul rest in eternal peace till we meet again
I am honored to attend Nobel Nobel Summit in Washington DC, 23rd - 26th May 2023.
https://t.co/fxDhE14zZp
Combating evils and pitfalls of misinformation and disinformation is high on the agenda.
@ssrc_org@msisiri@ESRFTZ
Interested in taking postgraduate studies in Economics at a prestigious US University. This free webinar organized by MIT may be for you!
Inside the MITx MicroMasters® Program in Data, Economics, and Development Policy (DEDP)
https://t.co/5by8bKqSlS
@ESRFTZ@UniofOxford@tausi_kida@mnzuki@msisiri@kazi_vivian@ESTwachumi@GeorgeTemba001 One aspect of the presentation which struck me relates to the way poverty has been reduced in other countries while still increasing in Africa. In the context of Tanzania, it appears that the earlier debate around growth - poverty nexus is still relevant.
@ESRFTZ is pleased to announce a public seminar by Prof. Stefan Dercon of @UniofOxford on 18th Jan 2023, from 09:00am at #ESRF based on his new book "gambling on development: why some countries win, and others fail". Register now: https://t.co/5TE9uuVRL8
In achieving SDGs Goal 2 - "Ending Hunger and All Forms of Malnutrition," @ESRFTZ in collaboration with @IFPRI under the support from @IDRC_CRDI are conducting a study on health diets. For more information read https://t.co/QGqqJX6w6P
Zur Oren - Partnerships Coordinator from @Fondationbotnar based in Switzerland is in @Tangacity visiting ongoing projects under @Tangayetu Initiative. The Initiative is being coordinated by @ESRFTZ.
Enumerators training is key ahead of fieldwork exercises, @danford_sango, Research Fellow @ESRFTZ is facilitating enumerators training for study aiming at promoting the consumption of healthy diets in Tanzania.
Ndugu waandishi wa habari! Nimewaiteni hapa kuwaambia Ronaldo kakataa kujiunga na Kipara kwa sababu ya fitna za mabilionea wawili @1TraVeLA na @msangijeff wana hisa zao Manjesta
In a bid to strengthen the capacity for undertaking impact evaluation of development programs, @ESRFTZ is inviting potential candidates to apply to a short training course on impact evaluation, the application deadline is Monday 23rd August 2021. Apply now https://t.co/f00SxuxmGJ
From left are: H.E Amb.Anders Sjöberg @swedenintz, Prof. Godius Kahyarara PS @TZWaziriMkuu-Investment, Dr. Tausi Kida @ESRFTZ ED & H.E Amb. Riitta Swan @FinnishEmbTZ exchanging views after the Symposium on ‘Tanzania’s Path Towards Prosperity: Balancing State, Markets & Community”