This should alarm every Tanzanian, and our international friends.
Tundu Lissu has been locked up for over a year on fabricated treason charges by samia suluhu hassan. The fake trial has collapsed. She knows it. She also knows she is deeply unpopular while Tundu remains one of the most respected figures in the country.
Releasing him is politically dangerous for her. So the most convenient option left in her mind is simple: eliminate the problem permanently.
A regime that has already overseen the killing and disappearance of thousands will not hesitate to silence one more man.
Please, raise your voice. Keep the pressure on.
@SenatorShaheen@SFRCdems@SenTedCruz@RepBrianMast@HouseForeignGOP@HouseForeign@EUinTZ@EP_HumanRights@EP_ForeignAff@SenatorRisch@davidmcallister
#FreeTunduLissu #SamiaMustGo #CcmMustGo #TanzaniaMassacre
#FreeTunduLissuNow
The person that Tanzanians want free and active in politics is in jail, while the one that all Tanzanians want in jail is prancing about cluelessly murdering and jailing innocents
#FreeTunduLissu#SamiaMustGo
‼️ZITTO KABWE NI MNAFKI SANA‼️
Mwaka jana wakati tupo kwenye Uchaguzi wa ndani ya CHADEMA alijifanya anamsapoti sana Mhe. Lissu na kwamba alikuwa anatamani Mhe.Lissu ashinde Uenyekiti wa CHAMA.
Mungu akasaidia Mhe. Lissu akashinda Uenyekiti lakin cha ajabu sasa baada ya Mhe. Lissu kushinda, huyu huyu Zitto ambae alikuwa anajifanya anatamani sana Mhe. Lissu ashinde, alishindwa hata kutoa pongezi za kinafki, alijikausha kimyaaa kama sio yeye ambae alikuwa anatamani Lissu ashinde.😂😂😂
Ukiachana na hilo, tangu Mhe. Lissu akamatwe na kupewa kesi ya mchongo ya UHAINI hadi leo, Zitto hajawahi kwenda Mahakamani wala Magereza kumtembelea Mhe. Lissu hata kupost tu kinafki kusema Tundu Lissu sio MUHAINI hajawai.
Sasa hivi baada ya kuona European Parliament na US Senate pamoja na mambo mengine wanashikiza Mhe. Lissu aachiwe bila masharti na juzi kati Commonwealth walitoa tamko ambapo pamoja na mengine wameipa Serikali haram siku 30 iwe imemuachia huru Mhe. Lissu.
Ndo yeye anakuja humu kujifanya eti anamsemea Mhe. Lissu kwasababu keshajua kwamba soon Mhe. Lissu anaachiwa so anataka kujifanya na yeye alishiriki kumpambania, bro endelea tu na unafki wako pamoja na biashara yako ya udalali wa Siasa ila tambua kwamba Watanzania sio wajinga.
Tumepokea taarifa mbaya kuwa adui anahitaji roho yako. Lakini, tunasadiki, adui anaweza kuwa na maneno ya kwanza; ila neno la mwisho ni la Mungu. Mungu aliyekutetea hadi leo akufunike kwa mbawa zake, uwe salama, udumu na ulione kusudi lake. Stay safe, Tundu Lissu.
@MariaSTsehai@TitoMagoti Her wishes wasn't for him to be alive, she went in Nairobi to pretend and gain something.
It was about power and fame, not humanity.
#FreeTunduLissuNow
‼️🚨This alert needs to be taken VERY seriously!‼️
Tundu Lissu is held in remand for over one year on trumped up charges by Samia Suluhu! She is now stuck knowing fully well that the fake trial has collapsed but also being aware that she is highly unpopular while Tundu towers over her in national popularity and political stardom. So she doesn’t want to release him
The most convenient soution for her evil mind is to “get rid of him once and for all”
She has ordered the massacre of thousands, she will not hesitate to order the murder of anyone! Let us increase pressure and raise our voices!
#FreeTunduLissuNow