Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amesema changamoto anazopitia zina mwisho, akizungumza na Viongozi na Wafuasi wa chama hicho waliofika katika Mahakama ya Rufani kufuatilia mwenendo wa kesi hiyo leo Julai 3, 2026.
Kauli hiyo imekuja baada ya Mahakama ya Rufani kusikiliza maombi ya marejeo yaliyowasilishwa na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na kuahirisha shauri hilo, ikieleza kuwa itatoa taarifa baadaye kuhusu tarehe ya kutolewa kwa uamuzi.
#MillardAyoUPDATES
Betting inazidi kunifilisi!!🥹
Nime-Give up world cup.
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Bora nibakishe mtaji ningojee EPL.
Nahamia FOREX kwa sasa,
nimeona inalipa saanaa!!
Watu wanapiga sana hela kule.
Kwa sasa natafuta mentor mzuri wa FOREX nianze darasa.
Naomba please mentor yoyote mzuri wa fx kama unamjua nicheki DM.
Kutoka Jangwani Kariakoo, hadi Atlanta, Georgia USA. Mtu aliyekuwa anatangazwa na sauti ya radi ya Mpenja leo anatajwa na Peter Drury. Fiston Mayele amefunga kwenye mashindano makubwa ya dunia na ametetema akiwa USA. Afrika imeweka historia, timu 9 kati ya 10 zimefuzu 32 bora.