Dear Muslim investor in Safaricom, while it is permissible to hold stock in the company, you are required to purify some of the income /dividend due to the fact that the company also earns interest.
To know the exact amount to give out, let us connect.
#safaricomdividend
Muulizaji: ikiwa unayo fedha, je utaihifadhi wapi?
Mwanachuoni maarufu Sheikh Shaarawy (mola amrehemu): nitaweka ktk benki ya Kiislam. Mimi nimefanya kazi ktk benki ya kwanza ya Kiislam duniani ambayo ni Benki ya Kiislam ya Dubai mwaka 1972...
Je wewe ungejibu vipi swali hili?
Rais Dr. Mwinyi "Tutakaa, tutazungumza maslahi ya chama chetu na nchi yetu yatakuwa mwanzo..."
Nilitarajia kuwa maslahi ya nchi yetu na watu wetu kuwa mwanzo. Kuweka maslahi ya chama mbele ya maslahi ya nchi na watu, hii ni dhamira njema kweli?
@DrHmwinyi@ZanzibariYetu
The corruption of citizens is due to corruption of the rulers, the corruption of the rulers is due to corruption of the scholars and the corruption of the scholars is due to love of wealth and fame.
- Al Shayzari, The book of the Islamic Market Inspector.
@MuslimsMatters
All of us engage with wealth in one form or the other. However, few understand it from Quranic perspective that we should think about. More explanation on each of these four to follow.
@KMoX__@TheIslamicUmmah@_Sukuk@MuslimsMatters
MAFUNZO YA UONGOZI
Sifa za Kiongozi Muadilifu kwa mujibu wa Imam Al Ghazali. Kadhalika jifunze kuhusu KUJIONGOZA (SELF-LEADERSHIP).
Ingia hapa: https://t.co/130gOWXBwc
#tanzania#uongozi
US Vice President JD Vance says the US delegation has failed to reach an agreement with Iran after 21 hours of negotiations in Pakistan.
In a very short press conference, Vance said Iran had chosen not to accept Washingtonβs terms.