URGENT: TUNDU LISSU’S LIFE IS IN DANGER
Credible information indicates that Tundu Lissu’s life is at serious risk.
For more than 470 days, Tundu Lissu has been held in detention in Tanzania as an unconvicted prisoner, without a fair and timely resolution of his case.
His continued detention has drawn widespread international condemnation:
1. Amnesty International has declared his arrest unjust and called for his immediate release.
2. The UN Working Group on Arbitrary Detention has concluded that his detention is arbitrary.
3. On 10 July 2026, the Commonwealth Ministerial Action Group (CMAG) called on the Government of Tanzania to resolve his detention within 30 days.
For more than two decades, Tundu Lissu has faced relentless persecution for his peaceful advocacy for democracy, the rule of law, and the protection of fundamental freedoms in Tanzania. In 2017, he narrowly survived an assassination attempt after being shot multiple times.
The Tanzanian authorities bear full responsibility for Tundu Lissu’s safety, health, and life.
Protect Tundu Lissu.
The world is watching.
—Admin
SIRI YA KATAMBI KUTANGAZA HALI YA HATARI SIO VYAMA YA SIASA NI YEYE KUIBA MKE WA MTU
Hapa kuna makala yako ikiwa imepangwa vyema kihariri na kuisoma kwa urahisi, bila kubadilisha, kuongeza, au kuondoa neno hata moja:
SIRI YA KATAMBI KUTANGAZA HALI YA HATARI SIO VYAMA YA SIASA NI YEYE KUIBA MKE WA MTU
Kuna siri kubwa sana nyuma ya maagizo aliyotoa Katambi kuzuia mikutano ya vyama vya siasa na mikutano, kutokana na kile anachosema ni hali ya hatari, lakini CCM wakiendelea na mikutano kama kawaida. Huko nyuma walikuwa wakifanya hivi na CCM inaacha, lakini kwa sasa inaendelea kwani suala hili halieleweki hata ndani ya serikali na CCM.
Katambi ametumia fursa ya Samia kupenda majungu na uonevu kwa CHADEMA, kisha akajenga mazingira kwamba afungie vyama vya siasa na kutangaza hali ya hatari. Kuna wanaokubaliana naye kama Mwigulu, maana naye ana ajenda yake binafsi kwenye haya. Mwigulu yeye anaamini Samia ameshachafuka sana na si mtu makini.
Tukae hapa kwa Katambi ni hofu gani ambayo yuko nayo mpaka akafika hatua ya kuingia nchi kwenye huu uchafu. Bahati nzuri huu uchafu wake unajulikana hata ndani ya TISS, kinachomuokoa Katambi ni Samia kutafuta kila mbinu kuimaliza CHADEMA; hata hii ya Katambi anafikiria ni kwa ajili ya kumsaidia yeye kumaliza CHADEMA. Ubaya ni kwamba TISS kuna wazalendo wachache sana, wanahofu ya kusema ukweli wa mambo mengi yanayotokea, likiwemo hili la Katambi.
Mwanzo Katambi alikuwa na Kitambulisho cha TISS, lakini sasa amenyang’anywa kwa sababu alikuwa anakitumia kufanya uharifu mwingi. Kuna wengine watatu pamoja naye ambao walikuwa mawaziri wameyang'anywa vitambulisho vya TISS. Ndipo Katambi akaona atafute njia yoyote ya kujikweza.
Katambi amechukua mke wa mfanyabiashara mkubwa wa Magidini huko Arusha. Anaishi naye nyumbani kwake Dodoma, maeneo ya Mlimwa C, wakiishi kama mume na mke. Huyu ni mbunge anayejulikana kwa jina la Esther Malleko. Mume wa Esther amekasirika sana kwa haya aliyofanya Katambi na Esther. Inaonekana Esther anamjua vizuri sana mume wake. Sasa hapo ndipo Katambi akatafuta upenyo wa kutangaza hali ya hatari. Baada ya tangazo hili, anajifanya amekua adui wa taifa na CHADEMA, anatengeneza mazingira kwamba yeye anawajua sana CHADEMA ni watu hatari; hivyo ameweka mazingira ya kuwa na ulinzi mkali sana nyumbani kwake na maeneo mengine anayokwenda.
Lakini, hofu ya Katambi ni tishio la kuliwa kichwa ambalo amepata kwa kuchukua mke wa mtu. Hii ni tabia yake ya muda mrefu sana. Fikiria tumefikia hatua TAIFA zima linaingia kwenye giza nene namna hii kwa sababu ya ushenzi wa mtu anayejiita waziri wa mambo ya ndani.
Kama TRA wanafanya kazi vizuri, waangalie mambo yafuatayo: Esther amenunuliwa gari la milioni 500 na Katambi, pia kuna magari mengine matatu ambayo Katambi amemnunulia, yako kwenye UMILIKI wa Esther na mengine kwa ndugu. Hivi inawezekana vipi mtu kama Katambi aweze kumnunulia mtu magari ya mamilioni kwa idadi kubwa hivi kutokana na siasa, Hapo hapo Katambi bado awe na magari na majumba ya kifahari nje ya hizo zawadi na motisha anazotoa kwa Esther? Kuna ufisadi mkubwa sana unaendelea, Matumizi ya Katambi sio kwa Esther tu ana hudumia kwa mabilioni ya fedha wanawake wengi tu.
Katambi alimpeleka Esther nje ya nchi akiwa ameongozana na Catherine kwenda nchi moja ambayo Catherine alikwenda kuongeza makalio, Katambi amelipia gharama zote hawa wawili kuwa nje ya nchi wakati Esther akiongeza makalio. Tumefikia hatua tunaibiwa fedha zetu kwa wingi kiasi kwamba Katambi anaweza toa mamilioni kwenda kutengenezewa kalio analotaka kwa Esther, yaani liwe kama la Catherine. Ndivyo pesa wanazoibiwa vinavyotumika kufanya mambo ya kijinga kijinga kama hivyo.
Esther anapoulizwa kwa nini amemtenda hivi mumewe aliye na watoto naye, anajitetea kwa kusema mume hana kitu, hana tena ndugu za kiume kulala naye. Wameacha kufanya tendo la ndoa kwa miaka mingi, yeye hataki mume wa aina hiyo, ndiyo maana ameamua kuwa kwa Katambi. Lakini, hajavunjwa ndoa. Sababu ni kwamba anakula pesa za Katambi, na baadaye yeye na Katambi wanatengeneza kesi dhidi ya mumewe , afungwe hili Esther achukua mali zote. Katambi anapanga pia kummaliza mume wa Esther kutokana na tishio la kuliwa kichwa, ndiyo sababu ndoa ya Esther haijavunjwa sababu hawa wawili wana nia mbaya sana. Japo Katambi yeye anaonekana kumdhibiti kirahisi sana mkewe
Katambi amempiga marufuku mkewe anayejulikana kama Violent kukanyaga pale anapoisha Dodoma, kwa sababu hapo kuna Esther ameshaamia na anaishi hapo. Mkewe sasa ni wa kukaa Shinyanga tu, na anasimama kwenye makanisa na majukwaa anazungumza kuhusu haki na kuipenda nchi wakati ametelekeza familia yake. Analipia makalio ya Esther ni mshamba sana huyu kijana; Zumbukuku amekorofisha watu wengi sana kwa ufisadi na kutumia fursa yake kuwa karibu na Samia kumfanyia uovu, kumbe anafanya yake kwa wingi tu.
Hivi kweli TISS mnamuogopa Samia? Kiacha cha kuacha maujinga kama haya kufanyika! Mpaka mtu anatangaza hali ya hatari nchini sababu ya kupenda ngono na wake za watu? Tunaumiza DEMOKRASIA kwa sababu ya tamaa za ngono za Katambi.
Hapa chini nitaweka picha ya Esther na familia yake aliyetelekeza kwenda kwa Katambi. Ndio Samia na wapuuzi wengine ndani ya CCM, mjuavyo navyosambalatisha familia za watu. Na kumbe kwenye bunge lenu haramu, mmeweka wabunge wengi wajinga, wasio na elimu, kama huyu Esther hata la saba, watu wana mashaka kama amemaliza. Kuna idadi kubwa ya wabunge wasio na elimu nzuri, hata ya kidato cha 4.
Unachukua hawara yako unamfanya awe namba2 wa nchi..halafu unatengeneza njama za kumuua namba1 ili hawara yako awe namba1..uchaguzi unafika unalazimisha hawara yako awe namba1 nchi inamwaga damu inaingia kwenye laana..jamaa chanzo cha matatizo na atalipia uovu wote alioufanya..
@YerickoNyerereT Muongo mkubwa wewe nani akupe tunzo wakati wewe ni mtu wa copy and paste tu hivyo vitabu unavyodai umetunga wewe ni mwizi wa maandishi ya matojo na watu wengineo wengi tu
@SuluhuSamia Mhe Rais naendelea kushauri kwa dhati Tundu Lissu aachiwe huru kwani kesi haikamiliki. Hekima na busara iliyokufanya kutangaza sera ya 4Rs mara ulipoingia madarakani ikuongoze tena katika jambo hili. Simulizi hizi za kutisha za vyombo vya habari vya kimataifa, zinaibua hisia kali hasa kwa vijana, hata wazee tumekumbushwa kadhia ya operation Sogeza iliyounda vijiji vya ujamaa 1974 -1976. Taarifa hizi zinaathiri kikubwa taswira ya taifa letu na maslahi yake. Athari ni kubwa. Tutafute muafaka kupitia uwajibikaji na maridhiano. Tuwe na hofu ya Mungu na kutambua miujiza yake mfano wa risasi 16 kushindwa kukomesha uhai ingawa maumivu ni makubwa. Tutubu na kusali kuliombea taifa letu kila mtu kwa imani yake.
#Tanzania
The brutal @SuluhuSamia regime thinks a $3 million lobby contract - with notorious dictator-defending BGR Group - can mask systemic oppression. Instead of needed reforms, Samia is betting that PR glitz can whitewash autocracy. This will fail.
https://t.co/6qSjV7Szd4
@YerickoNyerereT Wewe kenge yericko nenda kwenye mwanahalisi digital kasome hii habari kelbu nnari mmoja a ha propaganda wakati wachawi wanashikana mashati huko chaumma
KUMBUKIZI: Masanja Kadogosa, ambaye kwa sasa ni Mbunge wa Bariadi Vijijini aliyasema hayo Februari 26, 2024, alipokuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), akizungumza na Waandishi wa Habari kabla ya kuanza kwa safari ya majaribio ya treni ya umeme ya abiria kutoka Dar es Salaam kuelekea mjini Morogoro.
Zaidi tembelea https://t.co/pNzLNt64V1
#JamiiForums #Uwajibikaji #ServiceDelivery
Nina swali, wale wapuuzi waliokuwa wanapush maridhiano kati ya Watanzania na wauwaji wa CCM wana la kusema kwa sasa????
Wanaharakati tulipokuwa tunayakataa maridhiano tulijua wauwaji hawako tayari kwa maridhiano ya kweli, wanachotaka kwenye maridhiano ni legitimacy na uwezo wa kuwazodoa international community kwa kuwaambia, msituingilie sisi tumeshafanya Maridhiano na tume heal.
About 10 minutes ago, two people, a man and a woman, showed up at my house. They knocked for several minutes. At first, I didn’t answer, hoping they would eventually leave. Instead, they kept knocking louder and louder.
Because I know my life is in danger and I’m home alone right now, I decided not to even go near the door or look through the peephole. My husband has always told me not to do that. He said if someone came to kill me, they could shoot me through the door if they knew I was standing there.
So I stayed well away from the door and asked what they wanted. They said they were looking for someone named Louis. I told them no one by that name lives here. They then asked me to open the door because they couldn’t hear me properly. I refused and told them they could speak from where they were.
The moment I said that, they started walking away. I immediately ran upstairs and recorded them from my balcony.
The woman did all the talking. The man didn’t say a word.
As I have informed you all before, the Tanzanian government has commissioned Mexican cartels to kill me. Today, while I was home alone, two Mexicans showed up at my front door.
Everything is being forwarded to the FBI.
If anything happens to me, this is where the investigation should begin.
I think the time has come for me to put away my fear of guns and buy one. Hopefully this week I find the courage to own one.
KISWAHILI
Takribani dakika 10 zilizopita, watu wawili, mwanamume na mwanamke, walifika nyumbani kwangu. Waligonga mlango kwa dakika kadhaa. Mwanzoni sikuitika, nikitumaini kwamba wangeondoka. Badala yake, waliendelea kugonga kwa nguvu zaidi na zaidi.
Kwa sababu ninajua maisha yangu yako hatarini na kwa sasa niko peke yangu nyumbani, niliamua kutosogea hata karibu na mlango wala kutazama kupitia tundu la mlango. Mume wangu amekuwa akiniambia kila mara nisifanye hivyo. Aliniambia kwamba kama kuna mtu amekuja kuniua, anaweza kunipiga risasi kupitia mlangoni akijua nimesimama nyuma ya mlango.
Kwa hiyo nilibaki mbali na mlango na kuwauliza wanataka nini. Walisema wanamtafuta mtu anayeitwa Louis. Nikawaambia hakuna mtu wa jina hilo anayeishi hapa. Kisha wakaniomba nifungue mlango wakidai hawawezi kunisikia vizuri. Nilikataa na nikawaambia wazungumze wakiwa waliposimama.
Mara tu niliposema hivyo, walianza kuondoka. Nilikimbia haraka ghorofani na kuwarekodi kutoka kwenye roshani yangu.
Mwanamke ndiye aliyekuwa akizungumza muda wote. Mwanamume hakusema hata neno moja.
Kama nilivyowaeleza hapo awali, serikali ya Tanzania imewaajiri makundi ya wahalifu wa Mexico (Mexican cartels) ili kuniua. Leo, nikiwa peke yangu nyumbani, Wamexico wawili walifika kwenye mlango wa nyumba yangu.
Taarifa zote zinawasilishwa kwa FBI.
Ikiwa chochote kitanitokea, uchunguzi unapaswa kuanzia hapa.
Nadhani muda umefika wa mimi kuacha kuogopa silaha na sina budi kununua silaha wiki hii ili mtu akigonga tena mlangoni naenda mlangoni na bunduki.
Kitila anasema bila kupambana na CCM hakuna namna tutapata #KatibaMpya anasema CCM wanatumia ubabe kama nchi nyingine za Afrika
Kitila anasema bila kutoa CCM madarakani hakuna katiba Mpya tutapata, Wananchi ndio chimbuka la katiba sio serikali au chama Tawala
@MsigwaPeter Ccm tayari wanamalizia pumzi zao za mwisho hawa tayari hawana majibu ya hoja hata itakayotolewa na mtoto wa darasa la kwanza kombilio la kubwa ni kwa vyombo vya ulinzi na usalama tu
#Tanzania
"An 82-page submission to the International Criminal Court by a group of civil society organizations [has] stated that the Tanzanian authorities killed more than 3,000 civilians following polling day [last October]."
https://t.co/dHCUchvlQU @euobs
Kumshambulia Msigwa kwa kuikimbia CCM kumetatuaje tatizo la Oktoba 29, 2025?
Je, kumjadili Msigwa mchana na usiku kumerudisha imani ya wafadhili waliogoma kutoa fedha?
Je, kumlaumu Msigwa kumeshusha bei ya mafuta na gharama za maisha?
Je, kumshambulia Msigwa kumezuia au kupunguza ufisadi unaolalamikiwa na wananchi?
Je, kumerudisha ajira, kuimarisha uchumi na kurejesha heshima ya Tanzania kimataifa?
Hakuna taifa linalotatua matatizo makubwa kwa kutafuta adui wa kisiasa wa kumlaumu. Matatizo ya taifa yanahitaji majibu ya sera, uwajibikaji na uongozi, si propaganda.
Badala ya kujadili kwa nini mtu alihama chama, swali muhimu zaidi ni:
Nini kifanyike kurejesha imani ya wawekezaji na wafadhili?
Nini kifanyike kupunguza gharama za maisha?
Nini kifanyike kupambana na ufisadi?
Nini kifanyike kuponya majeraha ya kisiasa na kujenga maridhiano ya kitaifa?
Historia haikumbuki sana waliotumia muda mwingi kuwashambulia watu; historia huwakumbuka waliotatua matatizo ya watu.
Matatizo ya Oktoba 29, 2025 na athari zake kwa taswira ya Tanzania na uhusiano na washirika wa maendeleo yameendelea kujadiliwa kimataifa.
Ndio maana waliamua kumaliza na Ndugai chapu chapu sana, Alikuwa anajua kuna madeni mengi ya hatari kutoka nchi hatari namna hii
Walijua anakwenda kutoboa siri zao wanakopa lakini fedha zinaishia juu kwa juu
A powerful finding in the U.S. Senate’s Tanzania bill:
“The Tanzanian Police and Tanzania Defense Forces killed hundreds of Tanzanian citizens” during protests against the “fraudulent and illegitimate” October 29, 2025 election.
Those are the findings of a U.S. Senate bill—not activists.
Thank you, Senators @SenatorShaheen and @SenTedCruz.
#SamiaMustGo #TanzaniaMassacre #FreeTunduLissu